Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Watu wa Arusha na ustaarabu ni kushoto na kulia na kupitia hao watu waso na shukrani ndo maana waganga siku hzi wamekuja na gharama plus Uongo Uongo anakupa tibu nusu usipone

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
kupitia kaka zangu ndio nikawa nawauliza anaendeleaje wanajibu mzima sku hizi havijatibuka ikaishia hivyo lakini yeye na mama yake hakuna aliepiga sim hakuna alieuliza chochote na nachojiuliza waliambiwa kuna dawa zingine ajabu hawajaulizia hata na mimi nimepotezea ni muda mref umepita sasa
 
Wewe umejuaje?
 
Kuna mtu mashuhuri kwlei enzi za magu aliletewa zengwe, mtadhani nawaseti ila ni true story alienda kwa mtaalam mmoja mimi kumuona sikuamini mama nakutana nae wakati nilizoea kumuona kwenye tv😂

Haikuchukua muda mrefu lile zengwe liliondoka jamani

Nimewashuhudia wakurugenzi na mke wa balozi mmoja akiwa kwa mtaalam kuset mambo yake😂
Sooo truee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…