thatfunnyboy23
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 850
- 1,134
ππππππππDaaah sasa ni kweli dawa ndo inavuta au ni eneo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda wakufate mizimu na majini β¦.hlo swal mganga angekuweka kibao [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi boss unaweza kuweka yard kisarawe s vijijini gari aina ya v8 kwamba unategemea dawa itavuta wateja. KWA akili ya kawaida tu mkuu embu tufikirie hiliππWatakuja ilimradi kuna biashara zinafanyika wateja utapata tu, Matajiri wa mihogo ndiyo wateja wenyewe.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daahhh ..nna msala Mmoja huoo ntasimuliaAah ww nilimsindikiza rfk angu mganga kapandisha mashetani sijui madude gani nilikimbia vby mno weeeh hakuna cha mganga wala nin hapa duniani zaid ya Allah.
Logeni tu sie tupo kuwatesa baada ya maisha
Umetisha sana mwambanjoo huku kwa wasukuma.... maswa, nikuoneshe konk, wateja watakuja kwenye biashara yako kama mvua, ukitoka dukani watakusubir. ukija niandalie pesa ya maji,maana naacha kaz zangu
Huyo wako yuko maeneo gani?alinipa mafuta ya mvuto huyu jamaa, nikiongea na hizi pisi hazichomoi, nikamfuata tena nikamwambia nipe ya biashara akanambia ni hyohyo dogo we unachotakiwa ni kunuia tu unachotaka, aisee we acha tu hii dunia ina maajabu mengi sana
Both teams to scoreShirki au ushirikina
Huyo mkaliUkinipa pesa chafu ya chuma ulete au ya kuharibu ridhiki yangu najua. Mikono inaanza kuuma, mikono inakuwa ya moto ghafla, kichwa kitauma, macho kuwa mazito , mikono kuwa na kigugumizi pia.
Ukija kuniwangia Lazima nikuone ndotoni na nishtuke kutoka usingizi
Nikikikanyaga uchawi Lazima miguu iwe mizito ghafla .
Ndugu sikia! Mim nlikuwa mshirikina najua vizuri haya mambo!sijawai kusikia ana mizimu wala majini
Yeye hutuambia ni dawa za asili alifundishwa akiwa mdogo kusaidia kupata mifungo iliopotea , kuikinga mifugo dhidi ya wanyama wakali
na kujua mtu aliekwenda safari ya mbali kama bado yupo hai ama alishakufa
Dawa hizo pia hutumika kuwaita watoto waliokwenda mjini kutafta maisha na kusahau kurudi kijijn kusalmia wazee ,unambiwa ukifanyiwa hizo dawa utatafta kila njia urudi kwenu hata kwa mkopo ama kutembea kwa mguu
Na kuna ingine alinambia ikitokea hataki mtoto wake aende kutafuta maisha mbali na nyumban anachota unyayo wake anamix dawa na kwenda kuufunika na chungu
kuanzia hapo aliefunikwa hawez hata kufikiria kusafiri wala kwenda kuishi mbali na nyumbani.
Ccy usimulie soon naomba unitag.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daahhh ..nna msala Mmoja huoo ntasimulia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aseehh..malizia bwanaaaIlikuwa Ujiji. Nimepigika kinyama mimi na mwanangu Q. Ghafla mbele yangu naona bango la Uganga, kwa maelekezo hakukuwa mbali na pale. Tunafika tunapisha na wateja ( kama sikosei ni mtu na wakeze ).
Yule Mganga alikuwa ni mwanamke! Basi baada ya salam akaanza makeke yake, shida zetu akazipatia Mule mule toka mwanzo wa Safari yetu mpaka ile siku tunafika kwake! Shida ikawa moja tu! Anataka 40000, sasa nikajiuliza yaani huyu Bazazi ameona yoote lakini kashindwa kujua kama hatuna ata mia? Nikamwambia fresh Mmama we tufanyie kazi sisi tutakupa 60000 sio hiyo 40000, basi ile kainuka tu kuingia ndani kuchukua madubwana yake, mimi nikakusanya pesa 45000 zilikuwa pale kwenye ungo na kinokia Obama nikamwambia Q mwanangu hii nauli tusepe. Tukatokomea hivyo yaani mpaka Mwaloni. Tukauza kale kanokia 15000 jumla tukawa na 60, tukala 7000, tukalipia boti 6000 kwa kila mmoja. Kufika mbele mbele huko kuna kijiji kipo ndani ya Gombe, mida ya saa 1:30 ile Boti inazama, tunatumbukia kwenye lile ziwa, maji naanza kuyaona meusi mwanangu hajui kuogelea anakaba shingoni anaogopa kufa, hali inazidi kuwa tete kila nikijitahid anishike japo ukosi wa shati yule maaluni kakaza kabali......sitosahau. yule mama alitupiga kitu kizoto. Siiendelezi naishia hapa.
Usijali nna visa kadhaa daahh...maishaa haya acha tu dearCcy usimulie soon naomba unitag.
kweny milima ya thawi wilaya ya kondoaYupo wapi Bibi yako
na sisi tuende kulinda mifugo yetu