Umeumiza watu halafu unataka kuokoka bila kuwaomba msamaha uliowaumiza, hilo haliwezekani!

Ndo kutokuwa wakamilifu sasa, ndo maana hata licha ya kusita sita ila bado tunadondokea dhambini.
Chamsingi n kujifunza kuikataa dhambi na Tamara ndogo ndogo tukiwa kama vjana I bdo tunanguvu kubwa na ndio tegemzi Iake kwetu
 
Ukipata ufahamu wa kuokoka ni vyema kufata mchakato huu....
 
Kwani Mungu ndie kakwambia uthibitishe?
Mimi ndie nimetaka unithibitishie kutokuwepo kwake. Kusema kama yupo aje kuku prove wrong, unakuwa haujanipa proof ya madai yako.
 
Heri hata kama mtu uliyemtenda yupo mbali mfate tuu na umuombee msamahaa kibusara mana kwa simu haileti picha nzuri
Nimeuliza aliekufa. Nitampigia simu pia?
Halafu tunaongelea msamaha sio busara.
 
Haimanishi ivyo cha msingi n kuwa na hali ya kutaka usafisho na kuweza kumshirikisha Mungu huyo mtu alipo akusamehee.Na kweli utasamehewa
Swali langu lilitokana na kauli yao kuwa Mungu hasamehi dhambi zisizomhusu, anaepaswa kukusamehe ni yule uliemkosea.
 
Sijui lolote kuhusu huyo Makonda ila hadi uokoke ni mpaka upewe wokovu, anaekupa wokovu hawezi kukubariki ikiwa watu uliowakosea hujawaomba msamaha na kurudisha ulichokichukua.

Kuokoka ni siri ya mtu japo anaweza kuhadaa wengi machoni
{}
 
Kwani Mungu ndie kakwambia uthibitishe?
Mimi ndie nimetaka unithibitishie kutokuwepo kwake. Kusema kama yupo aje kuku prove wrong, unakuwa haujanipa proof ya madai yako.
Nita kuthibitishiaje kitu ambacho hakipo?

Wewe unayejua kipo ndio unatakiwa uthibitishe kipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…