Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?

Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?

Hahahahah asee ni balaa,upendo ukizidi unaboa sana..
wote walonionyeshea vile nliwabwaga,kuwasliana waga hawachoki.
Yani unakua sio upendo tena ni usumbufu. Mtu unakua huishi kwa amani mda wote ni kama unafuatiliwa kila dakika mtu anataka kujua uko wapi, unafanya nini, uko na nani, mbona unachelewa kujibu msg, mbona hupokei simu... khaa!
 
Hahahahah asee ni balaa,upendo ukizidi unaboa sana..
wote walonionyeshea vile nliwabwaga,kuwasliana waga hawachoki.
Aisee ata mimi kuna kiwango cha mapenzi mwanamke akinionyesha nampiga chini maana naanza kuwaza mambo mengi kuwa huyu si anaweza ata kwenda kwa mganga akaloga huyu..?
 
Namaanisha umewahi kupendwa na mtu sana, wakati wewe sio kiviile.. mpaka ukaogopa.. ukaona kabisa tunakoelekea huyu atakuja kufanya kitu cha ajabu.. au atakuja kuniletea matatizo. Yaani unapendwa hadi inakua kero..!? Kuna muda mapenzi yakizidi aisee inaboa mtu mpaka unaona ni nini hiki Mungu baba?

Kuna binti mmoja nilianzisha naye mahusiano kiutani utani tu.. baada ya muda binti si akakolea? Jamani yule binti alikua ana mapenzi ya kitoto yaani kila dakika anataka kuwa na mimi, nikiwa nae hataki niondoke, nikiondoka ni simu kila dakikaa yani hadi nashindwa kufanya kazi! Na ole wangu atume msg nisijibu.. inakua kesi. Mwisho nilishindwa nikaamua kubwaga manyanga japo demu alikua pisi balaa!

Vipi wewe umewahi kukutana na hali kama hii ukaona inavyokera?
Umenikumbusha kuna bidada alikuwa anakuja kwangu bila taarifa, ana park gari nje anasubiri mpaka saa tisa usiku, basically stalking.

Alikuwa anavizia anione kama nitarudi na mwanamke mwingine.

Nikasema isiwe tabu.

Nikawaambia walinzi huyu akija siku yoyote mwambieni sipo.
 
Umenikumbusha kuna bidada alikuwa anakuja kwangu bila taarifa, ana park gari nje anasubiri mpaka saa tisa usiku, basically stalking.

Alikuwa anavizia anione kama nitarudi na mwanamke mwingine.

Nikasema isiwe tabu.

Nikawaambia walinzi huyu akija siku yoyote mwambieni sipo.
Na hua hawachoki kirahisi wa hivyo utashangaa anaendelea kuja hata miezi sita mbele hakati tamaa
 
Hiki mnachokijadili humu ndo nachopitia saivi, mpak nawaza ni nin hiki Nimemfanya huyu mwanamke ?

Maan hat kam ningempa Limbwata lakn bado lisingefkia kiwango hiki cha mapenzi yaliyopitiliza anayoonyesha,

kuna muda hadi nliamua kuiacha tu simu hovyo ili aishike akute meseji nazochat na mpenz wangu mwngne ili akasirike tuachane ila cha ajabu amezkuta na ameniambia kanisamehe tuendelee yan kiukweli sielew nachomokaje hap Wakuu.
 
Back
Top Bottom