Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 479
- 727
Hahahahah asee ni balaa,upendo ukizidi unaboa sana..
wote walonionyeshea vile nliwabwaga,kuwasliana waga hawachoki.
wote walonionyeshea vile nliwabwaga,kuwasliana waga hawachoki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna ni upendo tu... ila sema mimi sijawahi kupenda kupitiliza hivyo so hua sielewi kinakuaga ni kitu gani 😃😃😃Ila wanawake nyie kuna mda akili zenu hua mnazijua wenyewe 🙌
Yani unakua sio upendo tena ni usumbufu. Mtu unakua huishi kwa amani mda wote ni kama unafuatiliwa kila dakika mtu anataka kujua uko wapi, unafanya nini, uko na nani, mbona unachelewa kujibu msg, mbona hupokei simu... khaa!Hahahahah asee ni balaa,upendo ukizidi unaboa sana..
wote walonionyeshea vile nliwabwaga,kuwasliana waga hawachoki.
Kuna rafiki yangu mmoja wa kike aliniambia yeye jamaa yake anampenda kiasi kwamba kila akirudi nyumbani jamaa anamkalisha mezani anaanza kumkagua kama hajaliwa huko alikotoka 😄Too much of anything is harmful!
Mapenzi ya kugandana ni Upuuzi!
Hahaa!Kuna rafiki yangu mmoja wa kike aliniambia yeye jamaa yake anampenda kiasi kwamba kila akirudi nyumbani jamaa anamkalisha mezani anaanza kumkagua kama hajaliwa huko alikotoka 😄
Aisee ata mimi kuna kiwango cha mapenzi mwanamke akinionyesha nampiga chini maana naanza kuwaza mambo mengi kuwa huyu si anaweza ata kwenda kwa mganga akaloga huyu..?Hahahahah asee ni balaa,upendo ukizidi unaboa sana..
wote walonionyeshea vile nliwabwaga,kuwasliana waga hawachoki.
Umenikumbusha kuna bidada alikuwa anakuja kwangu bila taarifa, ana park gari nje anasubiri mpaka saa tisa usiku, basically stalking.Namaanisha umewahi kupendwa na mtu sana, wakati wewe sio kiviile.. mpaka ukaogopa.. ukaona kabisa tunakoelekea huyu atakuja kufanya kitu cha ajabu.. au atakuja kuniletea matatizo. Yaani unapendwa hadi inakua kero..!? Kuna muda mapenzi yakizidi aisee inaboa mtu mpaka unaona ni nini hiki Mungu baba?
Kuna binti mmoja nilianzisha naye mahusiano kiutani utani tu.. baada ya muda binti si akakolea? Jamani yule binti alikua ana mapenzi ya kitoto yaani kila dakika anataka kuwa na mimi, nikiwa nae hataki niondoke, nikiondoka ni simu kila dakikaa yani hadi nashindwa kufanya kazi! Na ole wangu atume msg nisijibu.. inakua kesi. Mwisho nilishindwa nikaamua kubwaga manyanga japo demu alikua pisi balaa!
Vipi wewe umewahi kukutana na hali kama hii ukaona inavyokera?
Mbaya zaidi ukute mtu anakupenda kias hicho halafu wewe bado hujamuelewa upo mguu ndani mguu nje hapo ndio unakereka zaidi unaanza kutafuta sababu ya kuchapa lapa..Hamna ni upendo tu... ila sema mimi sijawahi kupenda kupitiliza hivyo so hua sielewi kinakuaga ni kitu gani 😃😃😃
Kwakweli 🤣🤣Mbaya zaidi ukute mtu anakupenda kias hicho halafu wewe bado hujamuelewa upo mguu ndani mguu nje hapo ndio unakereka zaidi unaanza kutafuta sababu ya kuchapa lapa..
Na hua hawachoki kirahisi wa hivyo utashangaa anaendelea kuja hata miezi sita mbele hakati tamaaUmenikumbusha kuna bidada alikuwa anakuja kwangu bila taarifa, ana park gari nje anasubiri mpaka saa tisa usiku, basically stalking.
Alikuwa anavizia anione kama nitarudi na mwanamke mwingine.
Nikasema isiwe tabu.
Nikawaambia walinzi huyu akija siku yoyote mwambieni sipo.
Wanapenda Wapiii wanafiki tu!Dunia ina mambo hii kuna watu wanajua kupenda bana....😀
Poleni mliokutana na hayo mambo. Niombe yasinikute😃Mkuu usiombe ukakutwa na hiyo hali inakera balaa japo kweli kupendwa kuna raha yake lakini ikizidi ni bonge la kero asikuambie mtu
kweli etiHuyo ni mgonjwa wa afya ya akili
Anakuaje eti dada yangu?Asa ukutane na mkaka ndo ana tabia hizo😌😌