Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Hahaha 😅😅Huku mikoani hamna labda huko studio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha 😅😅Huku mikoani hamna labda huko studio
Nilikoma[emoji2356][emoji2356], halafu alikua king'ang'anizi hatari... ata sielewi niliwezaje kuachana nae
Yeah, alikua nazo nyingi tuAlikia na pesa?
Yeah, alikua nazo nyingi tu
Hayo Mimi siyajui.. nachokumbuka alikua tu msumbufuBas itakua alikua mchicha mwiba huyo, bisha.
Shida unakuta mfano mtu umeoa tayari, halafu unapata mchepuko ndio anakuganda kiasi icho we utaweza wapi kuvumilia....?
Sasa mbona unamsema mke wangu? Na Bado namvumilia mwaka wa 10 huu kwenye ndoaSimu , texts kila mda.. line ikiwa busy tu changamoto.. usipojibu text lawama na vitu kama hivyo, alikua ana drama za kitoto sana
Hongereni sanaSasa mbona unamsema mke wangu? Na Bado namvumilia mwaka wa 10 huu kwenye ndoa
Ila naona dalili ya uvumilivu kufika Kikomo.Hongereni sana
Chai ya baridi sana hiiYaani kuna demu flani kipind nasoma secondary alikua ananipenda sana... Wakati nafanya pepa ya form four necta yeye alikua form three.... Kuna siku nafanya pepa ya hesabu mara nikasikia "HONEEEEEEEY" ghafla nikamwona huyo demu amekurupuka toka nje akaja akanibusu kwenye chumba cha mtihan halaf akasema "honey hauonekan"......... maaskar walimbutua makofi yule demu balaa
Najua watu wanaojikutaga Wana mapenzi king'ang'aumejuaje 😂
HauweziKiukweli mimi nadhani huwa nazidisha mapenzi,na kumbe ndiyo maana naachwa, naanza kuwa kauzu sasa, no calls no sms hata week iishe[emoji849]
Mkuu kwanini gharama ikushinde wakati alikupenda ilibidi ajigharamie mwenyewe.2011 aisee nlikua chuo nikawabored sana sikuwa na girfriend, nikaja kumpata dada mmoja mpare wa moshi mrembo tu amaembia bizuri tu, mimi nlikua nasoma morogoro. Alikuwa secretari wa mahskama
Basi baada ya urafiki tulijikuta wapenzi.
Nikaomba aje morogoro akakubali ijumaa aje tukae whole weekend na j2 angarudi.
Sikuamini nlichokutana nacho. Ana kitundu kidogo mpaka sio poa yaan unalazimisha kupita hata km ameloa. Nlikula ile kitu mpaka miguu ikaishiwa nguvu.
J2 ilivofika nashangaa mtu ile asubuhi analia balaa kumuuliza aje akasrma mm siondoki, akaomba ruhusa job wakamruhusu tukakaa tena aliondoka j5. Tulikua gest.
Sasa simu ndo ikawa frequent hadi upo chooni anapiga, usipopokea ni kilio km kafiwa, usipompigia akikupigia analia, akafosi kila weekend awe anakuja sasa gharama zikanishinda ikabidi tu nijikatae kimtindo.
Nlimuumiza sana yule dada huwa nikikumbuka hadi leo huwa napata taabu sana, nishapoteza mawadiliano naye jina pia nishamsahau ila sura namkumbuka
Mnaotafuta bikra ndio kama huyo sasa[emoji3]Namaanisha umewahi kupendwa na mtu sana, wakati wewe sio kiviile.. mpaka ukaogopa.. ukaona kabisa tunakoelekea huyu atakuja kufanya kitu cha ajabu.. au atakuja kuniletea matatizo. Yaani unapendwa hadi inakua kero..!? Kuna muda mapenzi yakizidi aisee inaboa mtu mpaka unaona ni nini hiki Mungu baba?
Kuna binti mmoja nilianzisha naye mahusiano kiutani utani tu.. baada ya muda binti si akakolea? Jamani yule binti alikua ana mapenzi ya kitoto yaani kila dakika anataka kuwa na mimi, nikiwa nae hataki niondoke, nikiondoka ni simu kila dakikaa yani hadi nashindwa kufanya kazi! Na ole wangu atume msg nisijibu.. inakua kesi. Mwisho nilishindwa nikaamua kubwaga manyanga japo demu alikua pisi balaa!
Vipi wewe umewahi kukutana na hali kama hii ukaona inavyokera?
Hii mara nyingi n ttzo la kisaikolojia ambalo lilianzia utotoni linaloitwa separarion anixiety ni au alilelewa na singo mama, au bibi na ndugu wengine tofaut na wazazi, au alishuhudia kukataliwa au alinyanyaswa sana utotoni hvo alilosa kuwaamin watu.Kitaalamu hii inakua inasababishwa na nini?