Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?

Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?

2011 aisee nlikua chuo nikawabored sana sikuwa na girfriend, nikaja kumpata dada mmoja mpare wa moshi mrembo tu amaembia bizuri tu, mimi nlikua nasoma morogoro. Alikuwa secretari wa mahskama
Basi baada ya urafiki tulijikuta wapenzi.
Nikaomba aje morogoro akakubali ijumaa aje tukae whole weekend na j2 angarudi.
Sikuamini nlichokutana nacho. Ana kitundu kidogo mpaka sio poa yaan unalazimisha kupita hata km ameloa. Nlikula ile kitu mpaka miguu ikaishiwa nguvu.
J2 ilivofika nashangaa mtu ile asubuhi analia balaa kumuuliza aje akasrma mm siondoki, akaomba ruhusa job wakamruhusu tukakaa tena aliondoka j5. Tulikua gest.
Sasa simu ndo ikawa frequent hadi upo chooni anapiga, usipopokea ni kilio km kafiwa, usipompigia 🤣🤣🤣🤣akikupigia analia, akafosi kila weekend awe anakuja sasa gharama zikanishinda ikabidi tu nijikatae kimtindo.
Nlimuumiza sana yule dada huwa nikikumbuka hadi leo huwa napata taabu sana, nishapoteza mawadiliano naye jina pia nishamsahau ila sura namkumbuka
🤣🤣🤣🤣"Jina pia nilishamsahau"
 
2011 aisee nlikua chuo nikawabored sana sikuwa na girfriend, nikaja kumpata dada mmoja mpare wa moshi mrembo tu amaembia bizuri tu, mimi nlikua nasoma morogoro. Alikuwa secretari wa mahskama
Basi baada ya urafiki tulijikuta wapenzi.
Nikaomba aje morogoro akakubali ijumaa aje tukae whole weekend na j2 angarudi.
Sikuamini nlichokutana nacho. Ana kitundu kidogo mpaka sio poa yaan unalazimisha kupita hata km ameloa. Nlikula ile kitu mpaka miguu ikaishiwa nguvu.
J2 ilivofika nashangaa mtu ile asubuhi analia balaa kumuuliza aje akasrma mm siondoki, akaomba ruhusa job wakamruhusu tukakaa tena aliondoka j5. Tulikua gest.
Sasa simu ndo ikawa frequent hadi upo chooni anapiga, usipopokea ni kilio km kafiwa, usipompigia akikupigia analia, akafosi kila weekend awe anakuja sasa gharama zikanishinda ikabidi tu nijikatae kimtindo.
Nlimuumiza sana yule dada huwa nikikumbuka hadi leo huwa napata taabu sana, nishapoteza mawadiliano naye jina pia nishamsahau ila sura namkumbuka
unasahau mtu wa 2011 wakati mimi namkumbuka ex wangu wa mwaka 2004 nikiwa shule ya msingi..
 
Judy wangu wa kimara bonyokwa jmn ilikuwa kero Kweli Hadi kanifata singida kwa gharama zake niliogopa san ajabu alinizid mwaka mmoja kuzaliwa na alikuwa amewahi kuzaa kwani mtot wake alikuwa mwaka wa 2 CHUO fln ......

ALINITAMBULISHA HAD KWA MWANAE AMBae mm binafsi niliwaza Kama ingefaha nimuombe nimuoe mwanae ila sikufanya hvyo Ila mtoto nae aliqnza kunikubali mno eti anaiita Bab [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mapenzi bila kugandana siwezi [emoji3]usiponiganda namganda mwingine chakufia nini!haitakiwi unadate kama mpo kambi ya jeshi,ukinikalia kimya masaa 12 kama sababu ya maana kuwa ulikuwa mahabusu ndio ujue tumeachana rasmi
Shida unakuta mfano mtu umeoa tayari, halafu unapata mchepuko ndio anakuganda kiasi icho we utaweza wapi kuvumilia....?
 
Ila binadamu sisi Mungu atusaidie tu. Tukipendwa taabu, tukiigiziwa napo taabu. Hata haieleweki nini tunataka.
Tunataka kupendwa kwa kiasi mtu akitupenda sana tunaogopa 😃
 
Back
Top Bottom