heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Mi nawapiga tukio kupunguz speed zao sipendi upendo uzidi kipimo unaboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Ina kera sanaAsa ukutane na mkaka ndo ana tabia hizo[emoji18][emoji18]
😂😂😂Katika wivu uliozidi kiwango usiombe upate Binti wa kibena Mapenz inakuwa ni kero zaidi ya kero.
Upande wng Niliona Mapenzi yanaingilia Uhuru wangu Binafs nikaona Bora tuachane ili kulinda Uhuru wng.?
siku aliniita kwake usiku ile kufika tu alinirukia aisee ile siku kusema kweli nilibakwa manake sikua nimejiandaa 😄
Sema ukweli usemwe wanawake wenye shobo + kupenda sana huwa ni wale wabovu yaani unakuta hawana demand ya wanaume kuwatongoza hivyo wanaogopa ukimuacha atabaki single. Ni nadra sana ukute pisi kali kakungangania kama ruba. La hasha.
Vivyo hivyo kwa mwanaume masikini
Mi hata kama mtu nampenda siwezi kumganda 24/7 bana kuna mambo mengine ya kufanya. Halafu hua naona kama hii kugandana sana mwisho wake mnaishia kuchokana haraka kuliko wale ambao mnaonana mara moja moja.Yes! Mkipendana mnagandana 24/7/365 hiyo ndo rahaa
Kila mtu ana love language yakeMi hata kama mtu nampenda siwezi kumganda 24/7 bana kuna mambo mengine ya kufanya. Halafu hua naona kama hii kugandana sana mwisho wake mnaishia kuchokana haraka kuliko wale ambao mnaonana mara moja moja.
Ila haya maisha bana.. nimefurahi kwamba na wewe ulipata mtu wa kukuganda ukaona jinsi inavyokera, so ukamuelewa imma kwanini alikuacha 😄😄Umenikumbusha first love yangu nilikapenda kamkaka kanaitwa Emmanuel kanajifanya kalokole
Sema tulipendana sana mimi nikiwa form5 yeye chuo… yaani mpk tunaachana Hakuna mtu alitegemea kila mtu alijua tutaoana
Basi yule jamaa alianza vituko nikiwa mimi naanza mwaka wa 1 yeye ameshamaliza chuo… mimi tena ndio nampenda kufa simu kila saa asipopokea mimi ni Malala Mimi alikuwa naongea na nani… yaani ikawa kero akawa na yeye ananijibu shit weeee akajaga kuniacha nilitishia kujiua alivurugwa kunitafuta sipokei simu kumbe hata sikuwa na mpango wa kujiua baadae nilipotulia nikawasiliana nae alinitukana yule kaka sisahau
Kauli zake sasa
Nimekupa nini mpk unaning’ang’ania niambie nikurudishie
Au kosa langu kukutongoza [emoji24][emoji24]
Hanitaki yaani hata iweje hatuwezi kuwa wote
Nakurudishia namba yako sitaki tena unitafutee [emoji23][emoji23][emoji23]
Shezi sana niliteseka mimi nikajikuta nimeingia mahusiano mengi kipindi kile
After two years akarudi et anataka tugange ya jayo nilichofanya nikawa namlia hela yaani Kama sina hela ni kumuomba tu na alikuwa ananipa mwisho akachoka siku hizi simuoni hata WhatsApp
Ila mapenzi ya kugandwa gandwa ni mabayaa yana kera nilikuja kupata mtu huyo aliniganda kama ruba halafu alikuwa wa magandwa [emoji23][emoji23] yaani ndani ya wiki 2 alinitambulisha mpk ukoo wake… nilivopata upenyo mbio nilikimbiaa maana alikuwa mtu wa wivu na hasira
Heart analysis ni nini mkuu..?Mkuu wanawake wa hivyo ni wakupiga chini, wanawake ni wajanja sana anajifanya kakolea kumbe anakufanyia heart analysis na ole wako upumbazike hakuna rangi utaacha kuona kwenye hii dunia.
Wanawake ni wajanja sana na wanatuonaga sisi wanaume ni wajinga
😄😄😄😄 nilishaoa kakaUlimkosea sana muumba mkuu!!
Ipo siku utamkumbuka huyo Binti!
Ungetafuta namna ya ku handle Hali ile sio kubwaga manyanga!!
Ulimkataa mke uliepewa na Mungu mkuu!!
Kwa kawaida upendo wa Binti ukizidi kwako ni dalili kuwa mungu amekupa huyo!!
Kwa kawaida.wanawake wengi Huwa hawapendi kirahisi sisi wanaume!!yaani wengi wapo kimaslahi tu!!
Kwa usalama wako nenda kapige magoti umuombe Mungu msamaha labda anaweza kukusamehe!!
So sad!you handled badly!!
Wadada wafupi wanajua sana kupenda, hata ukisema upo uwani unapigiwa video call😂😂Namaanisha umewahi kupendwa na mtu sana, wakati wewe sio kiviile.. mpaka ukaogopa.. ukaona kabisa tunakoelekea huyu atakuja kufanya kitu cha ajabu.. au atakuja kuniletea matatizo. Yaani unapendwa hadi inakua kero..!? Kuna muda mapenzi yakizidi aisee inaboa mtu mpaka unaona ni nini hiki Mungu baba?
Kuna binti mmoja nilianzisha naye mahusiano kiutani utani tu.. baada ya muda binti si akakolea? Jamani yule binti alikua ana mapenzi ya kitoto yaani kila dakika anataka kuwa na mimi, nikiwa nae hataki niondoke, nikiondoka ni simu kila dakikaa yani hadi nashindwa kufanya kazi! Na ole wangu atume msg nisijibu.. inakua kesi. Mwisho nilishindwa nikaamua kubwaga manyanga japo demu alikua pisi balaa!
Vipi wewe umewahi kukutana na hali kama hii ukaona inavyokera?
Kuna watu wanajua kupenda wewe acha kabisa, hasa wadada wafupiHuenda alikua wewe ndo mwanaume wake wa kwanza labda
Ohoo ndio atakuganda vizuriAnatakiwa kupigwa katukio kakishikaji kumuimarisha