Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?

Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?

Hii mara nyingi n ttzo la kisaikolojia ambalo lilianzia utotoni linaloitwa separarion anixiety ni au alilelewa na singo mama, au bibi na ndugu wengine tofaut na wazazi, au alishuhudia kukataliwa au alinyanyaswa sana utotoni hvo alilosa kuwaamin watu.

mtu kama huyo akiingia kwenye mahusiano anakuwa hamuamn mchumba ake hvo anatuwa na hofu mda wote na kutafuta attchment and proximity kwa huyo mchumba ake.

Bonge la point, [emoji736]. Nina dem ambae alifiwa na wazazi wake tangu akiwa mdogo alilelewa na ndugu zake kwa manyanyaso sana na wazazi wake walimuachia mali nyingi sana.

Since tukutane mimi na yeye, mapenzi yalikua moto moto sana, yeye anasoma chuo, mimi nipo kitaani napambana, demu alikua ananisupport vitu vingi sana.

Aliachiwa nyumba ilikua na vyumba vya wapangaji vingi tu na mashamba ambayo yalikua yanasimamiwa na ndugu zake waaminifu, dem alizidisha mapenzi na wivu kama wote,

Alikua hapendi kuona kwenye simu yangu meseji yoyoye ikiingia lazima atake kuisoma, ndipo tulipoanza kugombana,

Simu moja nilimpiga nusu kumuua mpaka akashindwa kuhema nikaogopa nikahisi nimeua, niliondoka na kuelekea mbali sana, lakn baada ya siku kadhaa dem alinitafta.

Alinitafuta na kuniomba msamahama, nilihisi labda ni mchongo anataka kunifanyia kitu kibaya, lakn mpaka sasa demu ananipenda sana, na anasema hajawahi kufikiria kukubari kuachana na mimi kwenye maisha yake.
 
Tukiwapenda tunawakera,Tukiwa wakaksi pia tunawakera...
Kuna mke wa mtu nilikua natoka nae zaidi ya miaka minne sasa nimeona tutakuja kuleteana matatizo. Sikutaka kumuacha kwa visa so nikaona nimtafutie njia ili yeye ndio aniache. Nilichoamua kufanya ni kumzidishia mapenzi sanaa mda wote kumcall, txt, whatsap, kila mda namsumbua sana.. Sasaivi naona ameshakereka kaamua kunipotezea mwenyewe kiroho safi..😄😄
 
Hiki mnachokijadili humu ndo nachopitia saivi, mpak nawaza ni nin hiki Nimemfanya huyu mwanamke ?

Maan hat kam ningempa Limbwata lakn bado lisingefkia kiwango hiki cha mapenzi yaliyopitiliza anayoonyesha,

kuna muda hadi nliamua kuiacha tu simu hovyo ili aishike akute meseji nazochat na mpenz wangu mwngne ili akasirike tuachane ila cha ajabu amezkuta na ameniambia kanisamehe tuendelee yan kiukweli sielew nachomokaje hap Wakuu.
Bora huyo anaakili, sasa ukute linalojifanya linawivu mbona utajuta..litapigia hadi marafiki zako simu kukushitaki. Kuna limchepuko la rafiki yangu tuliendaga nalo samakisamaki sasa lilivolewa likaanza kulia linamshtaki jamaa yangu kwangu eti jamaa anampenda mke wake kuliko anavyolipenda lenyewe, kisa jamaa alikua kamnunulia mke wake gari eti nalo alinunulie., tena hadi linasema kuwa lenyewe ni bora kuliko wife wa jamaa.
Imagine na hapo jamaa kalipangia ka-apartment kijitonyama na bado kila mwezi jamaa anamwaga milioni,plus bata la viwanja vyote vikubwa vya Dar. Halafu linamwambia eti unadhani hakuna wanaume wengine wa kunipa milioni kwa mwezi na wakaninunulia gari. Kesho yake nikamtafuta jamaa chemba nikamtusi balaa akaachana na limchepuko lake, aisee lilihaha kidogo lihame mji. Kama miezi 6 jamaa kakaza kablock kote hadi likatishia kunywa sumu, jamaa akalihurumia kwa masharti mazito likawa na adabu mno. Na tangu hapo linaniogopa balaa maana linajua mi ndo chanzo maana kumbe mara nyingi linamletea jamaa ujinga anapotezea
 
Yani unakua sio upendo tena ni usumbufu. Mtu unakua huishi kwa amani mda wote ni kama unafuatiliwa kila dakika mtu anataka kujua uko wapi, unafanya nini, uko na nani, mbona unachelewa kujibu msg, mbona hupokei simu... khaa!
Kazi kweli kweli
 
Namaanisha umewahi kupendwa na mtu sana, wakati wewe sio kiviile.. mpaka ukaogopa.. ukaona kabisa tunakoelekea huyu atakuja kufanya kitu cha ajabu.. au atakuja kuniletea matatizo. Yaani unapendwa hadi inakua kero..!? Kuna muda mapenzi yakizidi aisee inaboa mtu mpaka unaona ni nini hiki Mungu baba?

Kuna binti mmoja nilianzisha naye mahusiano kiutani utani tu.. baada ya muda binti si akakolea? Jamani yule binti alikua ana mapenzi ya kitoto yaani kila dakika anataka kuwa na mimi, nikiwa nae hataki niondoke, nikiondoka ni simu kila dakikaa yani hadi nashindwa kufanya kazi! Na ole wangu atume msg nisijibu.. inakua kesi. Mwisho nilishindwa nikaamua kubwaga manyanga japo demu alikua pisi balaa!

Vipi wewe umewahi kukutana na hali kama hii ukaona inavyokera?
Binafsi napenda mapenzi yawe na mipaka yakizidi inaboa hua naona kama anaweka giza mbele nisione
 
Nikimuona mtu mambo safi najizima data nakuwa mzuri msumbufu upendo wa gafla nikijua ni wakawaida labda kama ni handsome , na anajua inshu . Niliachana na mmoja gafla kuna siku nilienda getoni kwake huyo kaka jamani anajua kukupa penzi vizuri.

Ila unashirikiana hadi unakosa pumzi unaitikia ila unaugumia . Unaugumia tu na hachoki nikaona kweli nitakufa nikasepa nikamkimbia nisije nikafaa na mautamu kifala 😎😎
 
Kuna mke wa mtu nilikua natoka nae zaidi ya miaka minne sasa nimeona tutakuja kuleteana matatizo. Sikutaka kumuacha kwa visa so nikaona nimtafutie njia ili yeye ndio aniache. Nilichoamua kufanya ni kumzidishia mapenzi sanaa mda wote kumcall, txt, whatsap, kila mda namsumbua sana.. Sasaivi naona ameshakereka kaamua kunipotezea mwenyewe kiroho safi..😄😄
Dah🤣🤣🤣🤣 hii mbinu nimeikopi kuanzia Leo.
 
Bonge la point, [emoji736]. Nina dem ambae alifiwa na wazazi wake tangu akiwa mdogo alilelewa na ndugu zake kwa manyanyaso sana na wazazi wake walimuachia mali nyingi sana.

Since tukutane mimi na yeye, mapenzi yalikua moto moto sana, yeye anasoma chuo, mimi nipo kitaani napambana, demu alikua ananisupport vitu vingi sana.

Aliachiwa nyumba ilikua na vyumba vya wapangaji vingi tu na mashamba ambayo yalikua yanasimamiwa na ndugu zake waaminifu, dem alizidisha mapenzi na wivu kama wote,

Alikua hapendi kuona kwenye simu yangu meseji yoyoye ikiingia lazima atake kuisoma, ndipo tulipoanza kugombana,

Simu moja nilimpiga nusu kumuua mpaka akashindwa kuhema nikaogopa nikahisi nimeua, niliondoka na kuelekea mbali sana, lakn baada ya siku kadhaa dem alinitafta.

Alinitafuta na kuniomba msamahama, nilihisi labda ni mchongo anataka kunifanyia kitu kibaya, lakn mpaka sasa demu ananipenda sana, na anasema hajawahi kufikiria kukubari kuachana na mimi kwenye maisha yake.
Yap ndugu hii nakumbuka nilsoma mwaka wa tatu coz ya psychology..ving tulivosoma ukiwa darsan unaweza kuhs utani ila kumbe kwenye maisha vina uhalisia sana
 
Bonge la point, [emoji736]. Nina dem ambae alifiwa na wazazi wake tangu akiwa mdogo alilelewa na ndugu zake kwa manyanyaso sana na wazazi wake walimuachia mali nyingi sana.

Since tukutane mimi na yeye, mapenzi yalikua moto moto sana, yeye anasoma chuo, mimi nipo kitaani napambana, demu alikua ananisupport vitu vingi sana.

Aliachiwa nyumba ilikua na vyumba vya wapangaji vingi tu na mashamba ambayo yalikua yanasimamiwa na ndugu zake waaminifu, dem alizidisha mapenzi na wivu kama wote,

Alikua hapendi kuona kwenye simu yangu meseji yoyoye ikiingia lazima atake kuisoma, ndipo tulipoanza kugombana,

Simu moja nilimpiga nusu kumuua mpaka akashindwa kuhema nikaogopa nikahisi nimeua, niliondoka na kuelekea mbali sana, lakn baada ya siku kadhaa dem alinitafta.

Alinitafuta na kuniomba msamahama, nilihisi labda ni mchongo anataka kunifanyia kitu kibaya, lakn mpaka sasa demu ananipenda sana, na anasema hajawahi kufikiria kukubari kuachana na mimi kwenye maisha yake.
Separation enxiety ilifanyiwa experiment na mtaalam Ainsworth kwa kutumia strange situation. mtoto wa kwanza alitelekezwa na mama yake kwa mtu ambaye mtoto hawajah kumuona.. matokeo yakaonesha mtoto alilia sana na hata mama baada ya kurud mtoto alilia tena ikimaanisha alikuwa hayupo comfortable...hii ndo inayowakumba hao wenye matatizo ya kupenda sana coz wanajua wametelekezwa utoton haijalish n kifo au la hvo unakosa kumuamn mzaz aliyepndoka pia wanashindwa kumuamin mgeni waliyeachwa naye..Mtoto wa pili alitelekezwa kwa mgeni huyu mtoto Hakulia kubaki na mgeni na wala hakulia hata mama alivorudi..Hii inamaana kuwa Mtoto n disorganized ndo hao wakikua unakuta shulen n makorofi ,kuwapiga wengine etc..coz wanahis kwa kufanya hvo Watacompasate mabaya waliyoshuhudia utotoni....Psychologist Remmy
 
Nikimuona mtu mambo safi najizima data nakuwa mzuri msumbufu upendo wa gafla nikijua ni wakawaida labda kama ni handsome , na anajua inshu . Niliachana na mmoja gafla kuna siku nilienda getoni kwake huyo kaka jamani anajua kukupa penzi vizuri.

Ila unashirikiana hadi unakosa pumzi unaitikia ila unaugumia . Unaugumia tu na hachoki nikaona kweli nitakufa nikasepa nikamkimbia nisije nikafaa na mautamu kifala [emoji41][emoji41]

Utindio wa ubongo is real [emoji23]
 
Dawa yake wa hivo we mpelekee moto/mahitaji yako yote kwake yawe si sex Kila dakika lazima atapunguza mwenyewe tu
 
Sema ukweli usemwe wanawake wenye shobo + kupenda sana huwa ni wale wabovu yaani unakuta hawana demand ya wanaume kuwatongoza hivyo wanaogopa ukimuacha atabaki single. Ni nadra sana ukute pisi kali kakungangania kama ruba. La hasha.

Vivyo hivyo kwa mwanaume masikini
Sio kweli mkuu, wanawake pisi ndo huwa Wanapenda kwa ukweli tena akipenda ndo kapenda haswaa,

Labda hujawahi kupendwa na wanawake wa sampuli hii.
 
Back
Top Bottom