miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
ha ahaahaDah asee umenikumbusha mbali sana,
Nakumbuka nkiwa chalii nliwahi kuiba mashine ya Mzee yakunyolea ndevu nkijua ndani haina wembe ...
Nikaipitisha kwenye nyusi za upande mmoja nkawa Bonge LA kituko bmkubwa aliponiona akahis namuiga kipind ana tengeneza nyusi zke ' aseeh kipigo nlichokipata kila nkikumbuka roho inauma sana aseeh, nahis alinionea mm nlifanya nkiwa na akili za kibashite bmkubwa amenipa adhabu akijua ni makonda daaah.
Hapo ulipomalizia ndio pameniacha na Furaha at least. Kwamba pamoja na yote aliyowafanyia lakini alibaki kuwa mama yenu. Na natumaini ameakuachia funzo kwamba Yale uliyoyakosa kwake utawapa watoto wako.Mkuu she died from cancer, ila alilala chini miezi miwili lakini mwaka mzima aliugua sana.
Yani nyumba ilikuwa ni full of stress, yani tangu wadogo maisha yaliandamwa na vipigo vikali vikali, imagine nikiwa drs la pili tayari nilikuwa namuogopa mama, mbaya zaidi Tabia ya kunyimwa chakula ikapelekea udokozi Wa hela sasa ohoooo! Fimbo jamani tena ukiwa uchi. Wakati mwingine upupu anauweka kwenye Gunia alafu unavua nguo unaambiwa uingie humo, alikuwa ana pesa ila haya hazionekani( nahis hata mungu alichukia) hakuwahi kukaa na sisi km binti zake au rafiki zake,... Tukiwa tunatoka shuleni jioni nilimuangalia my lovely twin nikawa naona jinsi sura yake inavyojaa hofu wakt wenzetu wanashangilia kwa kelele "kwaheri mwalimuuuuu"... Simanzi asubuhi hakuna chai, shuleni mchana hakuna msosi, na ukikaa vibaya Nyumbani pia mnaweza kuacha kupika..
Alikuwa MTU Wa kutafuta kasoro muda wote MTU Wa kubeza, majirani walipenda kutupa msaada Wa chakula ila waliogopa ukali wake. Heeeeee!!!!!! Nilikuwa nikijiona Mie siyo MTU kabisa, nikawa naogopa hadi watoto wadogo.. Kuna Sikh moja alitufungia nje hadi asubuhi tukajibanabana kwenye magofu na baridi na mbu[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Alianza kupunguza ukali na kupiga tulipoenda kidato cha 5 Mie nilienda musoma nikakaa hukohiko hadi nikamaliza, twin akichaguliwa arusha... From there tulijitambua kuwa na die ni mabinti wazuri, tukaanza kuheshimiana na kupendana zaidi,
Tulifaulu chuo kikuu, mwaka Wa kwanza mama aligundulika kuwa ana maradhi ya cancer, nilimuuguza kwa UPENDO MKUBWA SANA, KWA GHARAMA KUBWA KWA KUJITOA BILA KINYONGO!! 2014, Aliaga dunia. Mungu amrehemu na ampumzishe kwa amani.
Dah.... Sijawahi kuiba ..... Siwezi kusema kwani hadi Leo polisi bado wanamtafuta mtuhumiwa[emoji12]Weee!!! Ulikua kibaka nini!
ha haha uache utegevukichapo ambacho sitakisahau??
aisee nimechapwa sanaa adi nilijiapiza sitokaa nichape wanangu mweeehh!
ila kuna wakati nilimpaga rafiki yangu kitabu changu nikampa chote chote jamani nilichapwa acha tuu. enzi hizo ukiwa na kitabu ni wewe na wadogo zako wote mnakitumia so mnaachiana.
ila adhabu ambayo sitaikumbuka ni ile ya kunipa mpunga na ndondo eti nile ndo mlo wangu wa usiku.
kisa nilisingizia naumwa tumbo nikajifungia chooni, wenzangu wakitwanga ili kupata pishi moja tupike.
apo nilikuwa nimetoka kuchuma kahawa afu sipendagi tuu kazi ya kutwanga........alinivizia mda wa msosi.
alinikomeshajee???
weee miss chagga kwetu ilikuwaga chuo cha kaziha haha uache utegevu
ila amekufanya uwe mchapakaziweee miss chagga kwetu ilikuwaga chuo cha kazi
Amina!Mkuu she died from cancer, ila alilala chini miezi miwili lakini mwaka mzima aliugua sana.
Yani nyumba ilikuwa ni full of stress, yani tangu wadogo maisha yaliandamwa na vipigo vikali vikali, imagine nikiwa drs la pili tayari nilikuwa namuogopa mama, mbaya zaidi Tabia ya kunyimwa chakula ikapelekea udokozi Wa hela sasa ohoooo! Fimbo jamani tena ukiwa uchi. Wakati mwingine upupu anauweka kwenye Gunia alafu unavua nguo unaambiwa uingie humo, alikuwa ana pesa ila haya hazionekani( nahis hata mungu alichukia) hakuwahi kukaa na sisi km binti zake au rafiki zake,... Tukiwa tunatoka shuleni jioni nilimuangalia my lovely twin nikawa naona jinsi sura yake inavyojaa hofu wakt wenzetu wanashangilia kwa kelele "kwaheri mwalimuuuuu"... Simanzi asubuhi hakuna chai, shuleni mchana hakuna msosi, na ukikaa vibaya Nyumbani pia mnaweza kuacha kupika..
Alikuwa MTU Wa kutafuta kasoro muda wote MTU Wa kubeza, majirani walipenda kutupa msaada Wa chakula ila waliogopa ukali wake. Heeeeee!!!!!! Nilikuwa nikijiona Mie siyo MTU kabisa, nikawa naogopa hadi watoto wadogo.. Kuna Sikh moja alitufungia nje hadi asubuhi tukajibanabana kwenye magofu na baridi na mbu[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Alianza kupunguza ukali na kupiga tulipoenda kidato cha 5 Mie nilienda musoma nikakaa hukohiko hadi nikamaliza, twin akichaguliwa arusha... From there tulijitambua kuwa na die ni mabinti wazuri, tukaanza kuheshimiana na kupendana zaidi,
Tulifaulu chuo kikuu, mwaka Wa kwanza mama aligundulika kuwa ana maradhi ya cancer, nilimuuguza kwa UPENDO MKUBWA SANA, KWA GHARAMA KUBWA KWA KUJITOA BILA KINYONGO!! 2014, Aliaga dunia. Mungu amrehemu na ampumzishe kwa amani.
Mungu amponye!Pole Sana. Tell us about it tunaweza kukusaidia.
Mamaangu alikua anajua kupiga si kitoto ila nashukuru hakua na lugha abusive.
Leo mm na my young sister ndio tunaomuhudumia katika maradhi yake.
Tusingeweza Kama asingetuadhibu mwanzoni, kwani tungeharibikiwa.
[emoji23][emoji23][emoji23] mwingine anakupa kipondo alafu unatoka hapo anakuita kuchukua hela ukanunue biskuti!!! Yaani maumivu yanaisha hapohapo!!!Bimkubwa anakupa kipondo unaliaaa ,ukimaliza anakuletea chakula na juisi ukila ukishiba na uchungu wa fimbo unasahau
Amen. Ameshamponya maana sasa anatembea. Alikua wa kubeba ikabidi niombe ruhusa kazini mwezi mzima nakomaa nae na kadhia za muhimbili.Mungu amponye!
[emoji23][emoji23][emoji23]kichapo ambacho sitakisahau??
aisee nimechapwa sanaa adi nilijiapiza sitokaa nichape wanangu mweeehh!
ila kuna wakati nilimpaga rafiki yangu kitabu changu nikampa chote chote jamani nilichapwa acha tuu. enzi hizo ukiwa na kitabu ni wewe na wadogo zako wote mnakitumia so mnaachiana.
ila adhabu ambayo sitaikumbuka ni ile ya kunipa mpunga na ndondo eti nile ndo mlo wangu wa usiku.
kisa nilisingizia naumwa tumbo nikajifungia chooni, wenzangu wakitwanga ili kupata pishi moja tupike.
apo nilikuwa nimetoka kuchuma kahawa afu sipendagi tuu kazi ya kutwanga........alinivizia mda wa msosi.
alinikomeshajee???
Kabisaa!!! Mtu ukizungumzia adoption watu wanakuponda sana!!! Inabidi elimu itolewe kweli kuhusu hili jambo.Baadhi ya story nlizosoma humu juu ya expirience za wanajamvi zinasikitisha.
Kuna kumwadhibu mtoto na kuna abuse,huwezi kumpiga mtoto na kumjeruhi ukasingizia eti unamfundisha,Ive seen some f#%ked up shit as a kid,kuna tabia za ajabu watu wanazo wanashindwa kuelewa wamezipataje,kumbe ni bad upbringing,watoto wanateseka jamani tena sanaa,sababu tu hawana nguvu na akili ya kujitetea,watoto wanaumizwa,wananajisiwa,kutumikishwa kazi ngumu ngumu,kuwa brainwashed kuingizwa kwenye mihadarati na mengine mengi yasiyosemeka,its a harsh reality,na wote tunahatia ya kulinyamazia hili,wazazi,serikali na wengine
Kuna watoto wanalala kwenye maboksi katikati ya mji kabisa kkoo,wewe una uwezo na nafasi unashindwa hata kumuasili yatima ama mtoto alie katika mazingira magumu mmoja ukaishi naye na kumlea kama mwanao alafu unaingia kwenye mitandao kumlaumu magu na serikali yake
Watoto yatima hawastahili kuwekwa kwenye makambi/vituo kama wakimbizi,they belong in our homes,nao wangependa kuwa katika familia na kuishi kama tunavyopenda waishi watoto wetu,adoption should be trendy,wasanii wakubwa na viongozi waonyeshe mfano
Tusiruhusu watoto wanyanyaswe mbele yetu,tukemee,tupaze sauti.
Ustawi wa jamii ni jipu,walitakiwa watoe elimu kwa jamii kuhusu hili
Mungu atakubariki ukionyesha kupenda na kujali uhai Wa binadamu mwenzio, hata usipomuasili msaidie tu afikie umri Wa kujiweza peke yake, let say unamsomesha had somewhere alafu anaweza kujitegemea, hawa watoto ombaomba ni watoto Wa ndugu zetu, ni watoto Wa Dada kaka na mabinamu...Kabisaa!!! Mtu ukizungumzia adoption watu wanakuponda sana!!! Inabidi elimu itolewe kweli kuhusu hili jambo.
Kweli kabisaMungu atakubariki ukionyesha kupenda na kujali uhai Wa binadamu mwenzio, hata usipomuasili msaidie tu afikie umri Wa kujiweza peke yake, let say unamsomesha had somewhere alafu anaweza kujitegemea, hawa watoto ombaomba ni watoto Wa ndugu zetu, ni watoto Wa Dada kaka na mabinamu...
Mkuu kutetea uhai wa MTU kunaanza taratibu... Mfano una jirani anaefinya watoto na kisu, tena anakiweka jikoni kwenye moto, au anapiga watoto sana, kemea mwambie ni kinyume na taratiibu ya malezi ya mungu, Nachukia wazazi "wanaopambana na watoto wao" MTU unamkanyagakanyaga mtoto why.....Kweli kabisa