Umewahi kuchapwa/kupigwa na mzazi/mlezi?

Vizuri na hongera mkuu!!!
 
Mdogo angu alikua anamsumbua mama akitaka kuchapwa!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atamchenga mpaka mama hasira zinaisha! Mama akaja na mbinu mpya, anategea yuko sebleni ndo anafunga milango ya kuingilia sebleni na funguo!!! Watakimbizana humo ndani... Dogo akitoka ana alama za fimbo mwili mzima [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Miaka hiyo ya 50's to 60's kulikuwa na kama kikapu kilichofumwa kwa kamba za manila,pia kilitumika kama fimbo,ilikuwa ikining'inizwa jikoni,kwa yeyote aliye haribu fimbo ilikwenda tunguliwa na kuanza kula micharazo,.......
sintasahau siku niliyotoka nyumbani bila kuaga na kwenda kuogelea mtoni nilikuwa na umri wa miaka 7 hivi.
Balaaaaaaaaaaah😱😱
 
Duuh kumbe we ukipigwa unajikojolea [emoji40] [emoji40] [emoji40],,pole...

Sio mzaz tu ulikua unaoigwa na yyte aliekuzidi umri ukikosea tu chochote hata barabaran,,anakamata fimbo anakutandika na ukifika home kama kawa unakula vitasa vya ukwel,,

Umeqnza kupenda hela zamaaaaan std 3 hongera...(jokes [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji17] )
 
bora ulipelekwa boarding
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] aisee utoto una mengi
 
Hahahaha!!!
 
ha ha ha nimecheka mpaka duh
 
Pole mkuu..same story tofauti yetu ni kidogo sana... Mie imenifanya nashindwa kujiamini, najitibu taratiibu..
 
baba hajawai ila mama duuh, utaratibu ulikuwa saa kumi na mbili jioni kila mtu ndani na tena uwe umeaga unaenda wapi, kuna siku nikazidisha masaa, nilichapwa hata kula nilisamehe, eti hao marafiki unaoenda kwao lakini sisi hatuwaoni wakija hapa ni kina nani?
 
Ulijikojolea? Nimewaza mbali sana. Mkojo!
 
Dah... Mie kosa nililofanya sisemi.....ila mshua alinipa kipondo cha kufa mtu... Magumi, mateke na vibao....kisha akanining'iniza mtini kichwa chini miguu juu siku2 bila kunywa wala kula [emoji13] [emoji13]
mjeda huyo
 
duh pole sana nimehuzunika
 
Mimi nilipokuwa darasa la kwanza nilimtundika mimba mdada wa form 2. Aisee. Kile kipigo, hata kuhadithia siwezi!
 
nimepigwa na mama tabia ya kwenda kucheza kwa majirani tobo na wavulana na mpira wenyewe itakawa . pigwa mno mpaga nikampa mama a,k,a ya simba ........... mbaya zaidi wadogo zangu nao michezo wakaiga na mama hataki mtoto kwenda kwa jirani bila sababu .. tukawa tunapemana zamu ya kumchunga akitokea tu unasikia mtu ana sema huyo simbaaa wote tunarudi nyumbani unajifuta vumbi wewe mama anapiga sana aisee ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…