Umewahi kuchekeshwa na MC Pilipili?

Umewahi kuchekeshwa na MC Pilipili?

Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.

Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.

Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.

Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Akiwa analia huwa anachekesha sana. From nowhere anaanza kumwaga mvua ya machozi.
 
Ingekuwa wakati wa awamu ya 4 tungekuwa tunacheka ila awamu hii ngumu sana vicheko havitoki ukilazimisha kicheko utaishia kutoa mlio makalioni
 
Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.

Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.

Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.

Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Hana lolote,na visa vyake havichekeshi ila huwa anajichekesha mwenyewe
 
Hakuna kitu anafanya pale, naona anajikakamua tuu comedy ni talanta sio kila mtu anayo, kwaupande wa standup comedy wakenya wapo mbali sana sana tuu, sio kwamba napinga vitu vya kwetu lakini ukweli sijaona mtanzania mchekeshaji sio JOTI, MPOKI, MC PILIPILI, wote hakuna kitu
naomba kwenye list yako mtoe mpoki hao wengine waache
 
Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.

Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.

Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.

Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Hata masanja na joti hawajawahi nichekesha. Mpoki kidogo anajitahidi akiwa stand up. Huyu pilipili kwa kweli simuelewagi. Hata yule mkenya simuelewi.
 
Ukiangalia comments nyingi wengi tumeponda hapa ndio utaona watanzania wengi Tunaroho mbaya Roho ya kwa nini na wengi tumemkatisha tamaa MC pili pili tena kwa mfano mimi sijawahi kumsikiliza akichekesha sasa ndugu zangu kwa mtindo huu hatutofika


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa ulitaka watu wamsifie wakat hajui, ukiona negative nyingi ndo ujue jamaa hajui , mbona king majuto au brother K negative zinakuwa chache ....
Ukiwa na akili neg zinakufanya kuwa Bora zaid, Ila ukiwa fala utakata tamaa, Mc Pilipili ana kipaji Ila sio cha uchekeshaji
 
Yeye na Idriss Sultan 'wanajichetua tu', hawana vipaji vya kuchekesha
Idris anajua kuchekesha sana tena sana .
Hujui tu .
Nampenda idris kwa kipaji alichonacho kama hakuchekeshi wewe sio lazima huwezi kuridhisha watu wote katika dunia hii
 
Back
Top Bottom