Queenever1
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 422
- 815
Na stive nyereremc pilipili,idrisa na ebitoke hawajawahi kunichekesha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na stive nyereremc pilipili,idrisa na ebitoke hawajawahi kunichekesha.
ana kipaji cha kufanya ujinga mbele za watu !!!!Sasa ulitaka watu wamsifie wakat hajui, ukiona negative nyingi ndo ujue jamaa hajui , mbona king majuto au brother K negative zinakuwa chache ....
Ukiwa na akili neg zinakufanya kuwa Bora zaid, Ila ukiwa fala utakata tamaa, Mc Pilipili ana kipaji Ila sio cha uchekeshaji
Aache kulia achekwe???Yeye na Idriss Sultan 'wanajichetua tu', hawana vipaji vya kuchekesha
kweli jamaa wakenya ni noma sana....iyo churchill usipime...ukiangalia ndo utajua watanzania bdoo sana...mtazamoHakuna kitu anafanya pale, naona anajikakamua tuu comedy ni talanta sio kila mtu anayo, kwaupande wa standup comedy wakenya wapo mbali sana sana tuu, sio kwamba napinga vitu vya kwetu lakini ukweli sijaona mtanzania mchekeshaji sio JOTI, MPOKI, MC PILIPILI, wote hakuna kitu
Wajumbe wamekerwa na kuchafukwa haswaaKuchekeshwa sikumbuki
Labda kukerwa
Mie mwenzenu huwa ananichekesha sana huyu kijana. Unajua huyu yuko ngazi ya kimataifa ndo wengine hawawezi kujua au kubaini anachekesha au la hasha.Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Ringo no habari nyingineSi mkubali kabisa huyu jamaa hawez kuchekesha bora hata mkwere au Tin white masantura na Ringo hawa jamaa nawakubali kwakuchekesha hapa Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie mwenzenu huwa ananichekesha sana huyu kijana. Unajua huyu yuko ngazi ya kimataifa ndo wengine hawawezi kujua au kubaini anachekesha au la hasha.
Na ijulikaane tu kuwa comedian asipokuchekesha haimaniishi hajui kuchekesha ,wengine wanachekeshwa nae ,,mfurahie anaekuchekesha ,,pia huwezi kataa ukweli kuwa Mc pilipili kwa Tz yupo level kubwa sana ,japo inawezekana wapo wadogo wanafanya vizuri zaidi yake
Amepata ngapi hukoNdo amenichekesha juzi kwenye kuomba kura!
Amepata ngapi huko
Duh! Si wanasema yeye kashinda ama? Kwa hiyo katoa draw na Steve Nyerere!?Kura 6 taslimu!
Duh! Si wanasema yeye kashinda ama? Kwa hiyo katoa draw na Steve Nyerere!?
Mbavu zangu! 🤣 🤣 🤣Ni kweli, alishinda NJAA siku hiyo!