Kwa hy wewe uli/uta-visha pete umesimama mana hii inaonyesha unyenyekevu kama vile kupiga magoti nk..hadi wazungu wanafanya hivyo, mtanzania kwann asifanye?
Jamaa huyo NI fundi ila Siyo yule IDRISS SULTAN yule ni chenga akiwa kwa stage
MC PILIPILI & MPOKI hawajawahi kuharibu amini kwamba
Hahahaha, na nijuavyo mimi, useng.e hufanywa na waseng.e kwahiyo unataka kutwambia nini mwalimu Kashashahuo ni useng.e kwnn Pete ya ndoa hatupigi magoti ina maana uchumba ni bora kuliko ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiwa analia huwa anachekesha sana. From nowhere anaanza kumwaga mvua ya machozi.Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Kuna siku nilikuwa nacheeka huku namuangalia jamaa lakini nilicheka sababu hanichekeshi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana lolote,na visa vyake havichekeshi ila huwa anajichekesha mwenyeweHabari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
TrueYeye na Idriss Sultan 'wanajichetua tu', hawana vipaji vya kuchekesha
naomba kwenye list yako mtoe mpoki hao wengine waacheHakuna kitu anafanya pale, naona anajikakamua tuu comedy ni talanta sio kila mtu anayo, kwaupande wa standup comedy wakenya wapo mbali sana sana tuu, sio kwamba napinga vitu vya kwetu lakini ukweli sijaona mtanzania mchekeshaji sio JOTI, MPOKI, MC PILIPILI, wote hakuna kitu
Hata masanja na joti hawajawahi nichekesha. Mpoki kidogo anajitahidi akiwa stand up. Huyu pilipili kwa kweli simuelewagi. Hata yule mkenya simuelewi.Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Sasa ulitaka watu wamsifie wakat hajui, ukiona negative nyingi ndo ujue jamaa hajui , mbona king majuto au brother K negative zinakuwa chache ....Ukiangalia comments nyingi wengi tumeponda hapa ndio utaona watanzania wengi Tunaroho mbaya Roho ya kwa nini na wengi tumemkatisha tamaa MC pili pili tena kwa mfano mimi sijawahi kumsikiliza akichekesha sasa ndugu zangu kwa mtindo huu hatutofika
Sent from my iPhone using JamiiForums
Idris anajua kuchekesha sana tena sana .Yeye na Idriss Sultan 'wanajichetua tu', hawana vipaji vya kuchekesha