Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kabisa, wala hachekeshiHabari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Asa wote tuchangie hivo kweli jamani. Dunia ingekuajeHii ni aina ya uchangiaji tunaopaswa kujifunza hongera mkuu kwa kua positive
Sent from my iPhone using JamiiForums
Dhana ya ushoga iache, njoo kwenye dhana ya unyenyekevu!
Dhana ya ushoga iache, njoo kwenye dhana ya unyenyekevu!
nikionaga ata tangazo lake tu nazima TvHabari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Huu sio uzi wakwanza kumjadili kama ungekua unatumia browser ungeona suggestion nyingi za nyuzi ambazo zina relate na hiiIlitakiwa hapa tuje na maoni ya Mc pili pili afanye nini ili awe bora zaidi ya alivo kipi aongeze ili asonge mbele yaani roho zetu watanzania ni mbaya sijawahi kuona hii tabia ya kukatisha watu tamaa ni mbaya sana inawarudisha nyuma watu wengi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wabongooo salute!
Nishawahi kuchekeshwa nae mara moja, kuna clip alikuwa anaongelea tabia za skuli enzi hizo. Ilikuwa nzuri
Ila Kwa Bongo kuna CHEKA TU inaoneshwa EATV, kuna jamaa ana madevu. He is talented sana
Sent using Jamii Forums mobile app
HAHAHAAMC Pilipili kaamua kuongeza products ktk soko lake..
yy kuwa mchekeshaji ni njia ya kujipatia kipato zaidi na hata baadae anaweza pia kuwa mchungaji kama Masanja Mkandamizaji.
pia kwa sasa ana family;lazima ajiongeze
kikubwa hakabi...so anahitaji support!
Sent using Jamii Forums mobile app
BhahahahahahahaUkiziamini media za bongo unaweza kudhani wewe ni mtu wa maana kumbe kikaragosi tu.
Ndivyo walivyo hawa watanganyika!Ilitakiwa hapa tuje na maoni ya Mc pili pili afanye nini ili awe bora zaidi ya alivo kipi aongeze ili asonge mbele yaani roho zetu watanzania ni mbaya sijawahi kuona hii tabia ya kukatisha watu tamaa ni mbaya sana inawarudisha nyuma watu wengi
Sent from my iPhone using JamiiForums