Ndiyo ivyo mkuu kule unakuwa makini kama umevamia nini sijui.Arusha unga limited kinanuka anytime ✅😄
Naunga mkono hoja,Singida hapana aisee panaboa no company wala nini, wenyeji wanapiga kinyaturu tu nakunywa magai [emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyomo nyokwe.
Kumbe uliwa kaa singida aisee.Naunga mkono hoja,
Asante sana mkuu.Jinsi ulivyoipata hiyo pisi kirahisi basi na wenzio wataipata hivyo hivyo, karibu bombi hii nyumbi hii
Mbeya mjini vumbi tupu.
Wanakuroga afu wanakupa poleMkoa wa Dar es Salaam ndio baba lao ila, nilikaa Kigoma ni pazuri sana tatizo wenyeji wana mambo ya kiwaki!
Wanakuloga huku wanakupa pole.
Tanga napo ni pazuri ila mzunguko wa hela ni mdogo... Kilimanjaro napo mzunguko ni mdogo... Arusha hadi usome ramani kwa muda mrefu alafu uwe na mtaji wa uhakika... Manyara napo hapaeleweki ila ukipata chimbo lako unabeba mali hadi unakinai.
Hydom ipo wapi!? Pale Hospitali kuna cases za watu kuliwa na Fisi hadi unaogopa mkuuFisi wa mkoa wa Manyara hawana tatizo na ni nadra kusikia mtu kaliwa. Shinyanga na Simiyu ndo kuna upuuuzi wa fisi kula na kujeruhi watu.
Ulifika Magu au Buchosa Mkuu!??Arusha
Mwanza
Daresalaam.
Nilipapenda zaidi dar es salaam kwasababu Kuna mzunguko mkubwa WA pesa , hivyo ni jiji zuri kwaajili ya biashara ,masoko yapo kwasababu ya wingi wa watu ....
Lakin pia napenda Hali ya hewa ya Joto ndiyo maana nilipapenda ...
Lakin daresalaam huwezi kukosa vibarua hatakama ulikuwa unafanya Kaz ikaishia njian kupata vibarua ni rahisi ...
Napenda Daresalaam ni jiji la kibiashara Yan pamechangamka Sanaa ,
na MZUNGUKO WA PESA NI MKUBWA .
Arusha Ni mji Wa Gharama Sanaa kuishi
Na Kuna baridi Sanaa
Lakin pia Arusha biashara unafanya strategical hauanzishi tu gafla gafla hivyo sipendelei Sanaa .
Mwanza ni pana Hali ya hewa nzuri lakin pia watu wake ni wakarimu mnoo , watu wenye Upendo Sanaa ,
Shida yake ni kwamba mzunguko Wa pesa ni mdogo Sanaa na pia hata kwenye swala la biashara hakujachangamka kabisa kabisa .... Hivyo sipapendelei Sana pia .