Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

Nimecheka kipumbaf mie.

Hayo majitu machafu chafu kwa jinsia zote yapo kibao na hayajitambui ujue.

Kwa kweli ni kero.

Ukute mtu ashakusumbua sana, sasa imefika siku ya kuchinja, ndiyo unakumbana na taka taka kama hizo, unafikiri utajisikiaje!
Mpaka unajiuliza, alikuwa anataka nn kwaniπŸ™Œ
 
Ungevaa gloves aisee
 
Naona kila mwanaume analalamikia suala la harufu mbaya kwenye papuchi,ina maana wanawake wameshindwa kbsa kuzingatia usafi
 
Hapo bado harufu ya mdomo, makwapa lazima uzimie.
Ila mie nawashangaa sana nyie wanawake...where do u get such kind of men? Kha! Mbona hamjipendi nyie wanawake. Ebu njooni kwa wanaume kama sie wakina mzabzab hela hatuna lakini kendez inanukia kipapli papli mwenye unatamabi kumeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…