Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Safi sana na ingekuwa mawese ingekuwa safi zaidi ikiongezewa na pilipili mwendokasi dakika za mwisho za mapishi ili isipasukie kwenye mapishi.Dagaa nimechanganya bamia, nyanya chungu,nimeweka hoho/carrot/soy sauce/ kitunguu maji na peanut butter.
View attachment 3076461
🤣🤣💔Hutaki tupeane vikojoleo 😉
Siku moja nitakutembelea dadaangu inaonekana una kautaalamu ka kuipika hiyo soup me naonaga kichefchefu mkuu 😕😕Hamna Wala hawana
😜😜 Najua unataka bana usione aibu don't be scared don't you worry
Vichwa huondolewa kwenye dagaa wachafu wenye mchanga wanaoanikwa chini, kwetu dagaa hao tunawapikia na ugali mbwa wanaobweka.Unapikaje Dagaa na vichwa vyake....aaargh
Alizidisha mafuta kuna wengine karanga(ntwili) wanaweka mengi na futa la kutosha kisamvu kinakuwa km mlenda, ila kisamvu cha karanga ni kitamu kuliko cha naziNilikula kisamvu Cha karanga nilitamni kutema 😃Yani kinatia kinyaa kimehorojeka nikajikaza mwenzangu akashindwa kula 😀
Nikakuta sehemu nyingine kitam tu nikagundua mpishi wa kwanza alizidisha karanga sana inabid ziwe Kwa kiasi
Sema hizo hoho apo sijazielewaaaa! 😂😂😂😁😀Hamna Wala hawana
Mi sipikagi hata nanunuaga daily hivyo sijui chochote hii thread yenyewe nimeivamia, 😜TUJIKITE KWENYE MADA..
"UMEWAHI KUJARIBU KUPIKA DAGAA KWA MTINDO HUU?
Kisamvu cha karanga hakiwekwi mafuta na hakitakiwi kiwe na mchuzi.Ali
Alizidisha mafuta kuna wengine karanga(ntwili) wanaweka mengi na futa la kutosha kisamvu kinakuwa km mlenda, ila kisamvu cha karanga ni kitamu kuliko cha nazi
Kapeace wewe nitakuja kukutembelea kula kisamvu inaonekana una kautaalamu katika hilo ila usije ukaweka kale kajan kenye sumu mkuuAli
Alizidisha mafuta kuna wengine karanga(ntwili) wanaweka mengi na futa la kutosha kisamvu kinakuwa km mlenda, ila kisamvu cha karanga ni kitamu kuliko cha nazi
Wengine hasa wanyamwezi wanakidodeka mafuta,Kisamvu cha karanga hakiwekwi mafuta na hakitakiwi kiwe na mchuzi.
heeee kama mtaelewana unaozeshwa tu bamkweSawa mwanao si naweza kumuoa?
inaonesha ww Kila kitu unanunua😌Mi sipikagi hata nanunuaga daily hivyo sijui chochote hii thread yenyewe nimeivamia, 😜
Kumbe hakitakiw kuwekwa mafuta me huwa naweka mbona mkuuWengine hasa wanyamwezi wanakidodeka mafuta,
Yeah unaweza sema hivyo 😎.inaonesha ww Kila kitu unanunua😌
Mkuu kwamba unanichukia kiasi hiko jamaniii 😂😂Lazima nikutilie shuntama ili utulie
Mafuta ya kuungia kitunguu sawa kuna sehemu niliona maza flani, kisamvu cha nusu au robo tatu kg alimimina fanta nzima ya mafutaKumbe hakitakiw kuwekwa mafuta me huwa naweka mbona mkuu
Kutulizwa ni mapendo sio chukiMkuu kwamba unanichukia kiasi hiko jamaniii 😂😂