Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kabisa ata kwangu piaDagaa ikishakua na mchuzi kwangu haipandi kabisa , napenda zikaangwe nipige na ugali bila mchuzi .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa ata kwangu piaDagaa ikishakua na mchuzi kwangu haipandi kabisa , napenda zikaangwe nipige na ugali bila mchuzi .
Inshallah 😊🥲🤣Ahahahah kwanini sasa embu upike unikaribishe
Wa jf nao wajua mimi wanajua kuliko mtoa madahuyu angepika wale dagaa nyama wale kwa nazi hua watam sana sio kauzu uchanganye na kitu ya kulia mkate hell no!! kauzu wapikwe liwe roast dikodiko ukijichanganya ukajua ni mchuzi wa nyama ya kusaga kumbe ni kauzu hao dagaa nyama kam unatumia naz nao wana upikwaji wake na ni nazi og ukae chin ukune sasa kuna huyu na wale wa kuanza kukaanga kitunguu maji na mafuta mwisho wanamiminamo tui bubu mtu anakwambia amepika mchuz wa nazi hatari, ila unajua nn dagaa waliowekwa kitu ya kulia mkate kwangu ni brand new!! tena nisingeweza hata kula.
Unakula na unashibaa kabisaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Lini sasaInshallah 😊🥲🤣
TakwambiaLini sasa
Naijua iyooooTakwambia
Wewe ni mwenyeji wa pwani ama tanga bila shaka , huku umatumbini tunapikiwa dagaa wanaogelea kwenye maji yaliyochanganywa na vitunguu na nyanya , dagaa wanakutazama mpaka unaona aibu kuwala, mchuzi unashuka na mkono mpaka kwenye kiwiko😁huyu angepika wale dagaa nyama wale kwa nazi hua watam sana sio kauzu uchanganye na kitu ya kulia mkate hell no!! kauzu wapikwe liwe roast dikodiko ukijichanganya ukajua ni mchuzi wa nyama ya kusaga kumbe ni kauzu hao dagaa nyama kam unatumia naz nao wana upikwaji wake na ni nazi og ukae chin ukune sasa kuna huyu na wale wa kuanza kukaanga kitunguu maji na mafuta mwisho wanamiminamo tui bubu mtu anakwambia amepika mchuz wa nazi hatari, ila unajua nn dagaa waliowekwa kitu ya kulia mkate kwangu ni brand new!! tena nisingeweza hata kula.
Yaan na enjoy hapo na ki ugali changu Donna nachanganya na unga wa muhogo yaaan .... huwez kuelewa 🤣🤣🤣🤣Unakula na unashibaa kabisaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 me wa hapo daslam tu, sipen michuzi ya maji maji yan mchuzi mwaaa nyama chini hapana na niko hivo nikiingia jikoni kama naenda sehem ina familia always mchuzi hautoshi kwenye tembea tembea nikakuta mtu anapika makande ya karanga nilistaajabu sjawah kuonaWewe ni mwenyeji wa pwani ama tanga bila shaka , huku umatumbini tunapikiwa dagaa wanaogelea kwenye maji yaliyochanganywa na vitunguu na nyanya , dagaa wanakutazama mpaka unaona aibu kuwala, mchuzi unashuka na mkono mpaka kwenye kiwiko😁
Mimi ni bachela ukinipa nakula mboga nakunywa na maji then naingia kwenye harakati za mtu mweusi
Peanut haitumiwi kwenye mkate tu hizi karanga za kusaga ziko na matumizi mengihuyu angepika wale dagaa nyama wale kwa nazi hua watam sana sio kauzu uchanganye na kitu ya kulia mkate hell no!! kauzu wapikwe liwe roast dikodiko ukijichanganya ukajua ni mchuzi wa nyama ya kusaga kumbe ni kauzu hao dagaa nyama kam unatumia naz nao wana upikwaji wake na ni nazi og ukae chin ukune sasa kuna huyu na wale wa kuanza kukaanga kitunguu maji na mafuta mwisho wanamiminamo tui bubu mtu anakwambia amepika mchuz wa nazi hatari, ila unajua nn dagaa waliowekwa kitu ya kulia mkate kwangu ni brand new!! tena nisingeweza hata kula.
Unamaanisha huwa huoshi dagaa vizuriHata mie napikaga hivyo nitram balah
Dagaa za michuzi nimezikataa kabisa , kuna wale dagaa wa supermarket wapo kwenye vikontena unawapiga hivyo hivyo na ugali wako na kachumbari yenye pilipili nyingi kwisha.😂😂😂 me wa hapo daslam tu, sipen michuzi ya maji maji yan mchuzi mwaaa nyama chini hapana na niko hivo nikiingia jikoni kama naenda sehem ina familia always mchuzi hautoshi kwenye tembea tembea nikakuta mtu anapika makande ya karanga nilistaajabu sjawah kuona