Umewahi kujaribu kupika dagaa kwa mtindo huu?

Umewahi kujaribu kupika dagaa kwa mtindo huu?

Dagaa za michuzi nimezikataa kabisa , kuna wale dagaa wa supermarket wapo kwenye vikontena unawapiga hivyo hivyo na ugali wako na kachumbari yenye pilipili nyingi kwisha.
pole, mimi nakula wote shida ni moja baada ya kula napata mafua makali sana lakini huo uroho tu
 
Back
Top Bottom