Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi huu mwingine sijui nmerogwa yan napenda mitindi kwerikweriii hiiiihMtindi unaotokana na maziwa ya ng'ombe mkuu. Huo mwingine usinikumbushe nikaacha kazi zangu, una sehemu yake maalumu🤪
kukosoa wenzako tu kuoga aaaah!❌
Janabi✅
Hahahahaha najua jua kupika sio haba, ila vyakula vya michuzi huwa siwezi havipandi , hata kuku nikishachemsha nakula na ugali tu basi nakunywa na supu ,labda akaangwe pia nakula.Ukute min me unajua kuchemsha chai tu😂😂😂
pole, mimi nakula wote shida ni moja baada ya kula napata mafua makali sana lakini huo uroho tuDagaa za michuzi nimezikataa kabisa , kuna wale dagaa wa supermarket wapo kwenye vikontena unawapiga hivyo hivyo na ugali wako na kachumbari yenye pilipili nyingi kwisha.
Samaki wazuri sana hasa wawe wabichiNataka samaki na kuku☺️
😂🙌kukosoa wenzako tu kuoga aaaah!
atakona si tunakula tuKaranga ni hatari Kwa afya Zina mafuta mengi 😀😀
umeyataka...
Napenda supu yake nitie na ndizi za wachaga plus matunda☺️Samaki wazuri sana hasa wawe wabichi
Hujawa na familia mbona samaki watatu maji lita 2😀Hahahahaha najua jua kupika sio haba, ila vyakula vya michuzi huwa siwezi havipandi , hata kuku nikishachemsha nakula na ugali tu basi nakunywa na supu ,labda akaangwe pia nakula.
anhaa! taste yake ikoje? nikija kwako peanut butter niweke kwenye mkate tu mamy au upike nisijue nile nimalize uniambie nimekula ubwabwa wenye peanut butter sawa ehPeanut haitumiwi kwenye mkate tu hizi karanga za kusaga ziko na matumizi mengi
Au utoke kula bia nyingi , ukale wali maharage 😁😁😁Yani ni sawa ule vitumbua ushushie na K Vant...
Halaf unakuta watu tunaokula hiv na ugal tunaitwa masikin hapa Jf , aisee!!..Unajua sana bimama hapo na dona saaf kabisa
Sawa Wakwetu...😅Duh hakuna wa kwetu ukitia na hizo karanga ndio nachafukwa zaidi , mimi napenda dagaa kavu tu kachumbari na ugali wangu pembeni 😁
Tuko pamoja katika hilo mkuu 🤣Mimi huu mwingine sijui nmerogwa yan napenda mitindi kwerikweriii hiiiih
Kama tupo watatu kila mmoja anapata samaki wake wakukaanga mkononi , kachumbari pembeni ugali mkubwa na chumvi nyingi 😁😁Hujawa na familia mbona samaki watatu maji lita 2😀
Halaf unashangaa tunaokula hiv wala hatu post wala hatuna shobo, ila ngoja watu waende Kfc au pizza hut uone wanavyokua busy 🤣Tunakula mlo sawa ila tofauti inakuwa mi ni
Bamia nyanya chungu kitunguu nyanya na maji kidogo hakuna mafuta ndim kwa mbali