Umewahi kukataliwa hadharani kinyume na ulivyotarajia?

Hizi mambo za kukataliwa bn 🤣🤣 nliwahi kukaziwa na demu sura ya baba kinoma sema alikua na big mata core wanangu wa kwenye pool table walinicheka kinoma

Kuna manzi wahuni wengi walipita naye dadeq mi alinikazia
unaweza hisi una gundu pisi kitonga alafu inakukazia. Hao sura za baba wanakuwaga na wamenyimwa sura tu ila mambo mengine wapo vizuri.
 
Chai
 
😀😀😀Huu Uzi Umenikumbusha mbali sana niliwahi mkataa mtu kikatili sana Kuna mda namuoneaga huruma niliuza utu japo pia ulikuwa utoto kipind sijakua Bado Half american
Dah mpaka nine ogopa😃😃, una mkataa mtu mpaka ana ends kwenye Mizimu yao😂😂😂.
👉Ana iuliza amekosea wapi😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…