Umewahi kukataliwa hadharani kinyume na ulivyotarajia?

there is no next time siwezi kuyafanya hayo tena.
 
Mkuu sisi wanaume uongo mwingi sana aisee hasa kama hujapata tunda.

Sababu inakua jamaa anakua keshamchoka manzi, hawezi kufake ten zile out za mara kawa mara, mawasiliano ya kila muda hawezi.
Na hapo mwanamke anaanza kukumbuka mtu ambae alikuwa anamjali na kumpa mda wake, tatizo lao wanaharibu sana.
 
In onyesha bado mtoto kwenye hii tasinia, weka akiba ya maneno.
 
Aliandika kwenye wasap status kua

Nikikupenda ukanikera nakuacha kama nilivokukuta

Kilichotokea sasa bora nisimalizie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…