To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣🙌🏿Nilikutana na chatu inchi 8 kwenye 6*6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🙌🏿Nilikutana na chatu inchi 8 kwenye 6*6
Hii chai wapelekee watoto wenzakoMimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko nyengedi napanda Milima ya rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.
Kuna siku tena natoka makangaka naelekea kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asbh niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwez amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.
Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.
Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.
Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto ruvuma daraja la mkenda.hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndo anakuwa mkali.
Nyoka ndo sana barabarani nishkutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.
Aisee tunaoishi huku lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndo sijawahi kumuona.
Hili joka linapendwa sana To yeyeNilikutana na chatu inchi 8 kwenye 6*6
Ukafanye?Nilikutana na chatu inchi 8 kwenye 6*6
Maliasili wanakuonanimetoka kuua hili dude masaa machache yaliyopitaView attachment 2892845
mhhhhUkafanye?
Nilikutana na chatu inchi 8 kwenye 6*6
Mimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko nyengedi napanda Milima ya rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.
Kuna siku tena natoka makangaka naelekea kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asbh niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwez amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.
Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.
Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.
Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto ruvuma daraja la mkenda.hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndo anakuwa mkali.
Nyoka ndo sana barabarani nishkutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.
Aisee tunaoishi huku lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndo sijawahi kumuona.
Usinambie ukammwagia mafuta aingie pangoniNilikutana na chatu inchi 8 kwenye 6*6
Komwe nini?mhhhh
Bado yapo ...Aise nimefika mdasana hivi Yale magofu Bado yapo
Nami nilisikia hivoNasikia nyoka wanatembea Bibi na Bwana 'Koira'
Sasa nyoka yuko porini kwenye maeneo yake kwanini umuue?nimetoka kuua hili dude masaa machache yaliyopitaView attachment 2892845
Hivi kama hilo linaweza kukumeza wewe...nimetoka kuua hili dude masaa machache yaliyopitaView attachment 2892845
Asante Sana Kwa biadha pale usiku Ilikuwa pazuri seafood kma zote pweza aah weeBado yapo ...
Tunainjoi na kilwa yetu..
Karibu sana tena sana mkuu
Vijana wa dasalam 😂😂🙌🙌Kuna jamaa wa humu Jf alikutana na mjusi huko daslam, njebma ili changanyikiwa...🤣🤣
Baada ya kufanikiwa kumuua kwa kutimia fimbo ya ufagio, basi akaja hapa chap kujimwambafai jinsi alivyo pambana na mnyama mkali ndani kwake....😂😂
Mbaya zaidi akatupia na picha ya huyo mnyama (mjusi) kwenye ule uzi...😜😜
Mara ya mwisho kufika ilikua lini mkuu..,?Asante Sana Kwa biadha pale usiku Ilikuwa pazuri seafood kma zote pweza aah wee
Karibu sanaAsante Sana Kwa biadha pale usiku Ilikuwa pazuri seafood kma zote pweza aah wee