Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kabisa jamaa yangu pale mikumi barabarani alikimbizwa na mamba kama wanne hivi wenye njaa.kwamba alitaka akule😂😂.
lakini mamba wa mabwepande jau sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa jamaa yangu pale mikumi barabarani alikimbizwa na mamba kama wanne hivi wenye njaa.kwamba alitaka akule😂😂.
lakini mamba wa mabwepande jau sana.
Chunusi wa majini..Moray eel,sifahamu kwa kiswahili anaitwaje ila alikuwa mkubwa sana.
Wapi apa kama singida fulani ivi?nimetoka kuua hili dude masaa machache yaliyopitaView attachment 2892845
Ok,samaki ana meno makubwa na makali sana,alijeruhi mmoja wetu mguuni ni kama alikuwa anahitaji kuondoka naye.Chunusi wa majini..
Au simply Chunusi
Ok,samaki ana meno makubwa na makali sana,alijeruhi mmoja wetu mguuni ni kama alikuwa anahitaji kuondoka naye.
Ni Mimi Mzee habar ya ukoSalama,habari!
Ni wewe mdogo wangu?😅
Habari ya hapa Nyumbani ni nzuri kabisa,nimekutafuta sana tena sana.Ni Mimi Mzee habar ya uko
Duh 🙄 pHabari ya hapa Nyumbani ni nzuri kabisa,nimekutafuta sana tena sana.
Unamaanisha nini? "P"Duh 🙄 p
Huyu alikuwa anapita zake usingemgusanimetoka kuua hili dude masaa machache yaliyopitaView attachment 2892845
Makosa ya uandishiUnamaanisha nini? "P"