Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unatakiwa ukamatwe,hapa ni porini kabisa ndio makazi yake kwanini umemuua??nimetoka kuua hili dude masaa machache yaliyopitaView attachment 2892845
Ngurutuuu unadojiiii fatikiiiiiii....!!Wakati tupo jkt makuyuni Ile kambi ipo mbuga ya wanyama , tulikua tumedoji fatiki 🤣 🤣 🤣 tumeenda kisima cha chini kwa laiboni (wamasai) tukakutana na nyati live Yesu wangu . Hata sikumbuki tulifikaje kambini
Asante sana
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 nilipewa lonja na sister kazi za jeshi haziishiNgurutuuu unadojiiii fatikiiiiiii....!!
Mda mrefu 2015 nafikir nikaja Tena 2019 ila hii niliishia pale hospitaliMara ya mwisho kufika ilikua lini mkuu..,?
Maana sasa hivi ni hatare na nusu sio Kivinje ile ya zamani 😂😂😂😂
Oooh ni mda sana aiseee duuuhMda mrefu 2015 nafikir nikaja Tena 2019 ila hii niliishia pale hospitali
Lami had pwani Tena bas kumekucha mm nilikuwa nakaa karibia pwaniOooh ni mda sana aiseee duuuh
Basi sasa hivi huku ni lami mpaka pwani kule.....
Pia watu wamejua kujenga an kiufupi hutojutia kuja kivinjeni...
Mji umeendelea sana sana
ila yule mzungu alipoua mamba mlimshangiliaunatakiwa ukamatwe,hapa ni porini kabisa ndio makazi yake kwanini umemuua??
😀kwani kesi iliishajeila yule mzungu alipoua mamba mlimshangilia
hakuna aliyeshangilia,mzungu aliandamwa na kwa kufanya dhurma ya uhai wa kiumbe kama starehe.lakini alikuwa na kibali cha kufanya yale kisheria hakuwa na kosa.ila yule mzungu alipoua mamba mlimshangilia
BINADAMU.Mimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko nyengedi napanda Milima ya rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.
Kuna siku tena natoka makangaka naelekea kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asbh niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwez amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.
Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.
Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.
Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto ruvuma daraja la mkenda.hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndo anakuwa mkali.
Nyoka ndo sana barabarani nishkutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.
Aisee tunaoishi huku lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndo sijawahi kumuona.
Hayo majina ya huko unapoishi yanaonesha ni maporini Sasa unashangaa nini,we ndiyo umevamia maeneo ya wanyama pori.Angalia tu usiingie kwenye 18 zao.Mimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko nyengedi napanda Milima ya rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.
Kuna siku tena natoka makangaka naelekea kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asbh niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwez amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.
Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.
Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.
Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto ruvuma daraja la mkenda.hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndo anakuwa mkali.
Nyoka ndo sana barabarani nishkutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.
Aisee tunaoishi huku lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndo sijawahi kumuona.
kwamba alitaka akule😂😂.Siku nakatiza misitu ya Mabwe Pande nikakutana na Mamba wawili wanatiana. Kuniona wakashtuka. Wakaanza nikimbiza. Nilikimbia sana nikapanda juu ya mti mrefu yule dume naye akawa anapanda anile. Nikamtemea mate usoni halafu nikamtoboa jicho moja na kijiti ndo kurudi chini.