Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
AlaaYes.
Huyo jamaa tulikuja kufumaniwa nae kwenye gari...sio kumaniwa ile tunafanya mamboz, ni ile tu mtu wangu alitukuta ndo ananishusha kituoni.
Ikatokea vurugu jamaa akapigwa, gari yake ikavunjwa vunjwa vioo..kesi hadi polisi.
Kesho yake mie nikamtafuta jamaa kumpa pole na kumpatia hela ya matibabuπ π . Tukastop kwa muda baadae tukaendeleza kama kawa.
Mtu wangu tuliendelea nae muda mrefu maana ni baba mtoto wangu. Mchepuko nae tuliendelea kwa miaka na miaka nikipata chance ya kumuona maana nilihama mkoa. Hatujawahi kuachana ni ile kupotezeana tu kutokana na majukumu ya kifamilia.π€£π€£π€£ Daah asee!
Sasa kwanini mliachana baadae? sema ww Demi kisa chako kitamu bana elezea vizuri.
Kati ya huyo mchepuko na bwana wako ni nani ndie wa 1 kuachana na ww na kwanini?
Mambo yako?Alaa
Duuh kwa wanaume sisi sio ishu we are very cheap! Na kila mtu anajua kuwa "mwanaume ni wa wote"Mtu wangu tuliendelea nae muda mrefu maana ni baba mtoto wangu. Mchepuko nae tuliendelea kwa miaka na miaka nikipata chance ya kumuona maana nilihama mkoa. Hatujawahi kuachana ni ile kupotezeana tu kutokana na majukumu ya kifamilia.
Baadae nilichoka tu kuwa nae lkn ni mtu ambae hata nikimtafuta leo kutaka kukumbushia itawewezekana. Miaka 4 iliyopita nilikutana nae mahali akaniambia bado hajaoa..sijui ni kataa ndoa yule maana umri umeenda tayari 40 plus
Na bestie yako je? Kwanini waliachana au ni kuchokana tu?Mtu wangu tuliendelea nae muda mrefu maana ni baba mtoto wangu. Mchepuko nae tuliendelea kwa miaka na miaka nikipata chance ya kumuona maana nilihama mkoa. Hatujawahi kuachana ni ile kupotezeana tu kutokana na majukumu ya kifamilia.
Baadae nilichoka tu kuwa nae lkn ni mtu ambae hata nikimtafuta leo kutaka kukumbushia itawewezekana. Miaka 4 iliyopita nilikutana nae mahali akaniambia bado hajaoa..sijui ni kataa ndoa yule maana umri umeenda tayari 40 plus
Lazima achapiwe kama ambavyo alikuwa anachapa vya wenzie.Duuh kwa wanaume sisi sio ishu we are very cheap! Na kila mtu anajua kuwa "mwanaume ni wa wote"
Ila kumpata mwanamke atakayekuwa anakupa anytime mpaka kifo hapo ndo kisanga sasa.
Bora jamaa ni kataa ndoa maana ameshtuka atakuwa anachapiwa sana tu π€£
π π Haya bana asante kwa experience yakoLazima achapiwe kama ambavyo alikuwa anachapa vya watu.
Kuimba kupokezana
Nadhani umbali uliwatenganisha. Kipindi hicho hakuna smartphones kama hivi so mawasiliano hayakuwa na mvuto.Na bestie yako je? Kwanini waliachana au ni kuchokana tu?
Je bestie yako kaolewa?
Ok sawaNadhani umbali uliwatenganisha. Kipindi hicho hakuna smartphones kama hivi so mawasiliano hayakuwa na mvuto.
Best yangu kaolewa kitambo. ana watoto watatu. Naishi nae mkoa mmoja
Wabongo kila kitu wanataka mashindano hata ungeadisia matatizo yako angetokea mtu kusema hujampitaKwani tunekuja kushituana, kuoneshana umwamba au tuna share story tu kwa tuliyopitia?
π πWabongo kila kitu wanataka mashindano hata ungeadisia matatizo yako angetokea mtu kusema hujampita
Kuna mwana ananichapia demi japo sijao Wala siishi name inauma naweka kwenye radar wakijaaa tu nabwaga wote demu na ushikajiLazima achapiwe kama ambavyo alikuwa anachapa vya watu.
Kuimba kupokezana
Za mwizi ni arobaini.......Mie nilishakula mke wa adui yangu.
Na bado namla hadi leo nikitaka. Na huwa anamtukana sana jamaa nikiwa napiga paipu, na mm namkorezea amtukane zaidi
Ila kumla mke wa rafiki yako ni upuuzi.
π€£π€£π€£πYes.
Huyo jamaa tulikuja kufumaniwa nae kwenye gari...sio kumaniwa ile tunafanya mamboz, ni ile tu mtu wangu alitukuta ndo ananishusha kituoni.
Ikatokea vurugu jamaa akapigwa, gari yake ikavunjwa vunjwa vioo..kesi hadi polisi.
Kesho yake mie nikamtafuta jamaa kumpa pole na kumpatia hela ya matibabuπ π . Tukastop kwa muda baadae tukaendeleza kama kawa.
π π π dawa ni kupiga chini kabla hujapigwa chini.Kuna mwana ananichapia demi japo sijao Wala siishi name inauma naweka kwenye radar wakijaaa tu nabwaga wote demu na ushikaji
Baraka nimjaze maana mwana anajua kuwa Mimi nakula nae anaenda kula hapo hapo! Kuna mwana kwenye gambe aliingizia bila ya kujuaπ π π dawa ni kupiga chini kabla hujapigwa chini.
Afadhali hujaoa maana ingeuma zaidi
MabayaMambo yako?