Umewahi kumkimbia mtu mliyejuana mtandaoni ile siku ya kukutana, umewahi kum-block baada ya kukutana, tupe mkasa!

Umewahi kumkimbia mtu mliyejuana mtandaoni ile siku ya kukutana, umewahi kum-block baada ya kukutana, tupe mkasa!

Ooooh! JF Imenikutanisha na watu wengi sana na wengi wanaume kwa wanawake.

Mostly of women ambao nakutana nao sio kwa lengo la kuwatongoza ili tuwe wapenzi, Hapana! Ila kwa lengo la kutengeneza cycle ya marafiki ambao watakuwa na faida ktk harakati zetu za maisha

Na wengi nimekutana nao na kuzungumza vitu vingi bila hata kuwabagua na kuwasema kasoro zao Coz kila mmoja wetu kwa namna moja ama nyingine haujakamilika

Na sio kila mwanamke unaye kutana nae mtandaoni ni lazima uwe nae kwenye mahusiano ya kimapenzi, Just productive friendship inatoshaa sana Coz wengine mpk huwa wananiambia Insigne mbona ulinifata PM nikakupa mawasiliano yangu ila mpk leo hujawahi kunitongoza, it's big NO na siwezi kuapproach kila mwanamke ila tu kwangu muhimu ni cycle ya marafiki ambao watakuwa na msaada kwangu na kwao pia

Through JamiiForum nimekutana na mwanamke mwenye Albinism, nimekutana na mwanamke ambaye ana matatizo ya kusikia na kuongea ila mpk sasa huwa tunawasiliana vzr bila kuwakimbia na kuwablock

Ila nashangaa mwanangu sky soldier kisa mwanamke ana meno ya njano sijui ndo unakimbia na ulikuwa na option ya kuendeleza hata urafiki tu wa kawaida na sio lazima mapenzi mkuu

Naomba tutumie mitandao kwa ajili ya kutengeneza connection cycle kwa manufaa yetu na sio sexual desire
 
Kuna Mwana alifahamiana na demu fb tukiwa Chuo akafunga Safari mkoa mwingine kumfuata Manzi,alipofika stand baada ya kumuona huyo demu jamaa alimkataa demu ikabidi aende lodge alale kesho yake arudi Chuo.
 
Bora ninyetuke kuliko kukupm mtu km ww
Nakuzingua bana.

Then the fact is "It's a social media"
The point is NEVER BELIEVE THE PEOPLE IN SOCIAL MEDIA.

Tupo humu kupoteza muda.

Sio kila liandikwalo LIPO SAHIHI.

One love

Chao.

Good night.

#YNWA
 
Mnawakimbia sababu hamuwachukui watu kwa vile walivyo na mtazamo wa "Ni Mzuri".


Bali toka mnapochat mpaka unaenda kukutana naye unakua na matarajioo yako ..


Unajua ukweli NI kwamba, Sio tu yeye alikua ana unjano wa meno... Hata wee unakuta Una jasho linanuka mnoo


Wakat yeye ana umbo usolipenda, hata wewe una sura mbovu .



Kwenye Maisha, lazima tujifunze kupokea vitu " Imperfect " na kuishi navyo kama "Perfect "!!....so long as tulikubali kuanzisha navyo uhusiano hata km sio wakimapenzi.


NASHANGAA.. SIKU HIZI BINADAM AMEKUA WA HOVYO SANAA...

ANATAKA KUDATE NA MWANAMKE ANA KAZI, SURA NZURII NA PESA ZAKEEE YAAN AMEKAMILIKAA....


BINADAM WA LEO, YUKO TAYARI, KUKUULIZA

UNA KAZI GANI MWANANGU??

UNAMILIKI NN???

UCHUMI N.K??


akisha yajua hayo sasa, ndio anaamua akupe HESHIMA ya aina gani !!!.


BADILIKENI... UNAYEMKIMBIA LEO SABABU YA KUKUTANA NAYE USOUSO KWA USO, KESHO NI MWINGINE NA WAMAANA.



IPO hivi... MTU kama HAJAKUVUTIA KIHISIA...kua naye Rafiki wa kawaida tuuu n huo urafiki UTOSHE kulinda heshima zenu.


Kama amekuvutia na ukamtongoza, basi hata siku mtakayokutana, mpokee na ulinde ikoiko alichokuaminia kwako.




Nyie hamjui nahuenda unajua ila makusudi...... Hamna kitu kinachomuumiza mwanamke, kama umemtongoza, umemrubun kwa kila mbinu, ameamua kukubalia, " wanawake WANAPENDA emotionally " , anapoamua mpaka kukukubalia, unakua umeshika hisia zake,... ...Leo unakutana naye, unamkimbia na kumblok ........ UNAMUUMIZA SANA KULIKO CHOCHOTE... HERI UMPIGE MAKOFI LKN SIO KUMTENDA IVO...


Unamuacha na maswali mengi. Maswali yanayoumiza Akili Yake juu ya miguu Yake, hips zake ,makalio..kiuno...matiti..sura, macho, masikioo, puaa, meno, nywele, shingooo....


Na kwa mwanamke , hamna kitu kinachomuumiza kama kitu hiko kitagusa MWILI WAKE NA HISIA ZAKE.




BADILIKENI, na MUACHE UTAHIRA.



Kuna majinga yatakuja hapa kuniattack, ohooo umeandika ili upate demu wa humu....


JIBU NALOWAPA NI MOJA...... SIANDIKI ILI KUMVUTIA MWANAMKE YOYOTE HUMU.. MIMI NIKIWA NA NIA. NAKUFATA. ,SIO MPAKA NIANDIKE KUKUVUTIA.
Umeongea kwa hisia sana
 
Nakumbuka enzi hizo nilijenga yrafiki na binti mkali acha tu, ilikuwa ni mtandao wa facebook, tulikuwa marafiki, alafu tukaja kupeana namba, hapo ndipo nilitupia ndoano na ndipo tukaingia rasmi kwenye mahusiano.

Sio siri mtoto alikuwa na kisauti flani hivi cha upole mixer aibu, akiniita mpenzi, nywele za nyuma ya kichwa zinasisimka.

Uvumilivu wa kuongea nae kenye simu na kucheki picha zake ulinishinda, ni muda sasa ulifika tukutana uso kwa uso nimshike mkono, nimkumbatie , n.k

Basi bwana tukapanga kuonana park flani ya wazi kabisa, Hio siku nilitupia pamba acha tu, mimi ndie niliewahi kufika kuandaa mazingira na kununua vinywaji maana pale park ni sehemu haina watu wengi, alipofika nikampungia mkono akaniona

Basi bwana ile kafika, bint mkali acha tu, sasa si akatabasamu bwana, ehhh meno yana ule ucnjano njao flani ivi, yani kwa zile picha za simu huez kuuona

Kiukweli nilipanga ukae hata masaaa manne ila tulikaa masaa mawili tu, kila akifungua kinywa nikiona ule unjano nakosa pozi.

Baada ya kuagana, sikuwa interested nae tena, ilibidi nidanganye tu kwamba nilikuwepo kikazi na nimondoka huo mkoa.
Ulitaka kukutana na malaika au
 
Haijawahi kutokea na haitokaa itokee kwakuwa sina mategemea makubwa kwa mtu yeyote ninayekutana nae mtandaoni.kumkimbia au kumblock mtu ni kwa kuwa umeweka mategemeo makubwa mno
Haitokaa itokee? Unaweza kujua mpangilio wa namna utaishi dk 1 ijayo? (Achana na vile umepanga, jiulize utaongea maneno mangapi na nani, wapi, saa na dk n.k) kisha tafakari.
 
Haitokaa itokee? Unaweza kujua mpangilio wa namna utaishi dk 1 ijayo? (Achana na vile umepanga, jiulize utaongea maneno mangapi na nani, wapi, saa na dk n.k) kisha tafakari.
We jamaa hivi unajua hakuna kitu kinaumiza kama kuweka malengo makubwa kwa mtu ambae Hamjafahamiana/hamjuani hata kwa sura?

Hebu imagine kwa mfano,tumewasiliana kwa muda mrefu na kama unavyojua miandiko yetu tena mtu anaweza kukuchukulia tofauti.unaanza kujenga picha kichwani Chakorii atakuwa mrembo,anamaisha mazuri nk mwisho wa siku tunakuja kuonana nakuwa tofauti unajisemea moyoni “kidubwasha gani hiki jamani”na vile ambavyo ulidhani hapo ndipo makasiriko huanziaga mara kumkimbia mtu stand,kumblock,yote hayo ya nini?chamsingi usiweke mategemeo makubwa kwa mtu.chukulianeni kawaida mkikutana mtaanzia hapo na kuendelea.

Maisha ni Haya haya mkuu na yanabadilika kila siku..na Mungu asivyopindisha njia zake sasa😁😁 unamkataa/mdharau/mblock mtu na mengineyo...mwisho wa siku huyo huyo anakuwa msaada kwa namna moja au nyingine katika familia yako.

Utu umepotea watu wengi tu napenda mtu kitu inasikitisha sana.


Cha msingi usiweke mategemeo makubwa kwa mtu ambaye hamjawahi kuonana
 
Mimi niliwahi kataliwa na manzi baada ya kuonana kisa kimbaumbau hakutegemea aliona kama kwa picha nina mwili nikaambiwa sina afya na probably na ngwesa/nina juliana alidiriki kuteta haya,,,

Aiseee sitasahau. N'way yeye mwenyewe alkua na kasoro ake ni wale "mutu ya congo ya msituni aka kiburushuti" ila mimi sikujali hilo na kuona kama ana kasoro basi bana ikaishia ivo..
 
Mnawakimbia sababu hamuwachukui watu kwa vile walivyo na mtazamo wa "Ni Mzuri".


Bali toka mnapochat mpaka unaenda kukutana naye unakua na matarajioo yako ..


Unajua ukweli NI kwamba, Sio tu yeye alikua ana unjano wa meno... Hata wee unakuta Una jasho linanuka mnoo


Wakat yeye ana umbo usolipenda, hata wewe una sura mbovu .



Kwenye Maisha, lazima tujifunze kupokea vitu " Imperfect " na kuishi navyo kama "Perfect "!!....so long as tulikubali kuanzisha navyo uhusiano hata km sio wakimapenzi.


NASHANGAA.. SIKU HIZI BINADAM AMEKUA WA HOVYO SANAA...

ANATAKA KUDATE NA MWANAMKE ANA KAZI, SURA NZURII NA PESA ZAKEEE YAAN AMEKAMILIKAA....


BINADAM WA LEO, YUKO TAYARI, KUKUULIZA

UNA KAZI GANI MWANANGU??

UNAMILIKI NN???

UCHUMI N.K??


akisha yajua hayo sasa, ndio anaamua akupe HESHIMA ya aina gani !!!.


BADILIKENI... UNAYEMKIMBIA LEO SABABU YA KUKUTANA NAYE USOUSO KWA USO, KESHO NI MWINGINE NA WAMAANA.



IPO hivi... MTU kama HAJAKUVUTIA KIHISIA...kua naye Rafiki wa kawaida tuuu n huo urafiki UTOSHE kulinda heshima zenu.


Kama amekuvutia na ukamtongoza, basi hata siku mtakayokutana, mpokee na ulinde ikoiko alichokuaminia kwako.




Nyie hamjui nahuenda unajua ila makusudi...... Hamna kitu kinachomuumiza mwanamke, kama umemtongoza, umemrubun kwa kila mbinu, ameamua kukubalia, " wanawake WANAPENDA emotionally " , anapoamua mpaka kukukubalia, unakua umeshika hisia zake,... ...Leo unakutana naye, unamkimbia na kumblok ........ UNAMUUMIZA SANA KULIKO CHOCHOTE... HERI UMPIGE MAKOFI LKN SIO KUMTENDA IVO...


Unamuacha na maswali mengi. Maswali yanayoumiza Akili Yake juu ya miguu Yake, hips zake ,makalio..kiuno...matiti..sura, macho, masikioo, puaa, meno, nywele, shingooo....


Na kwa mwanamke , hamna kitu kinachomuumiza kama kitu hiko kitagusa MWILI WAKE NA HISIA ZAKE.




BADILIKENI, na MUACHE UTAHIRA.



Kuna majinga yatakuja hapa kuniattack, ohooo umeandika ili upate demu wa humu....


JIBU NALOWAPA NI MOJA...... SIANDIKI ILI KUMVUTIA MWANAMKE YOYOTE HUMU.. MIMI NIKIWA NA NIA. NAKUFATA. ,SIO MPAKA NIANDIKE KUKUVUTIA.
Umeongea ukwelii mtupu
 
Mnawakimbia sababu hamuwachukui watu kwa vile walivyo na mtazamo wa "Ni Mzuri".


Bali toka mnapochat mpaka unaenda kukutana naye unakua na matarajioo yako ..


Unajua ukweli NI kwamba, Sio tu yeye alikua ana unjano wa meno... Hata wee unakuta Una jasho linanuka mnoo


Wakat yeye ana umbo usolipenda, hata wewe una sura mbovu .



Kwenye Maisha, lazima tujifunze kupokea vitu " Imperfect " na kuishi navyo kama "Perfect "!!....so long as tulikubali kuanzisha navyo uhusiano hata km sio wakimapenzi.


NASHANGAA.. SIKU HIZI BINADAM AMEKUA WA HOVYO SANAA...

ANATAKA KUDATE NA MWANAMKE ANA KAZI, SURA NZURII NA PESA ZAKEEE YAAN AMEKAMILIKAA....


BINADAM WA LEO, YUKO TAYARI, KUKUULIZA

UNA KAZI GANI MWANANGU??

UNAMILIKI NN???

UCHUMI N.K??


akisha yajua hayo sasa, ndio anaamua akupe HESHIMA ya aina gani !!!.


BADILIKENI... UNAYEMKIMBIA LEO SABABU YA KUKUTANA NAYE USOUSO KWA USO, KESHO NI MWINGINE NA WAMAANA.



IPO hivi... MTU kama HAJAKUVUTIA KIHISIA...kua naye Rafiki wa kawaida tuuu n huo urafiki UTOSHE kulinda heshima zenu.


Kama amekuvutia na ukamtongoza, basi hata siku mtakayokutana, mpokee na ulinde ikoiko alichokuaminia kwako.




Nyie hamjui nahuenda unajua ila makusudi...... Hamna kitu kinachomuumiza mwanamke, kama umemtongoza, umemrubun kwa kila mbinu, ameamua kukubalia, " wanawake WANAPENDA emotionally " , anapoamua mpaka kukukubalia, unakua umeshika hisia zake,... ...Leo unakutana naye, unamkimbia na kumblok ........ UNAMUUMIZA SANA KULIKO CHOCHOTE... HERI UMPIGE MAKOFI LKN SIO KUMTENDA IVO...


Unamuacha na maswali mengi. Maswali yanayoumiza Akili Yake juu ya miguu Yake, hips zake ,makalio..kiuno...matiti..sura, macho, masikioo, puaa, meno, nywele, shingooo....


Na kwa mwanamke , hamna kitu kinachomuumiza kama kitu hiko kitagusa MWILI WAKE NA HISIA ZAKE.




BADILIKENI, na MUACHE UTAHIRA.



Kuna majinga yatakuja hapa kuniattack, ohooo umeandika ili upate demu wa humu....


JIBU NALOWAPA NI MOJA...... SIANDIKI ILI KUMVUTIA MWANAMKE YOYOTE HUMU.. MIMI NIKIWA NA NIA. NAKUFATA. ,SIO MPAKA NIANDIKE KUKUVUTIA.
Mimi nawashangaa sana hawa Raia
 
Lakini jamaa mtoa mada ulizingua sana unakimbia mtu kisa meno ya njano.? Je sasa ungekutana na mnyantuzu, mnyaturu au chuga girls baadhi wana meno yaliyoungua hii ni kutokana na kutumia maji chumvi kwa muda mrefu and dey are still beautiful. Acha ushamba kijana..
 
Mm nakumbuka wakati nasoma moshi, airtel walikuwa na huduma yao flan ya bure ilikuwa inaitwa airtel chat, basi bana nikajaga kupataga manzi huko yy alikuwa anaishi chuga maeneo ya ngulelo, weekend moja nika force kumtembelea kwa miadi ya game,

basi bana nikafika mpaka pale ngulelo yule mgeni wangu akanipa namba ya boda yaan nikifika pale nimchek boda anipeleke kwa manzi, kweli yule boda akanipeleka mpaka room kwa yule mgeni wangu ebana ile kufika pale kwake huuo manzi yaan ni rasta woman alafu anapiga msuba, akanikaribisha ndani na msosi akanipikia ugali wa bada na nyama choma mzee baada ya msosi akaniambia sasa ? Tuingie kiwanjani ...ebana ikabidi nivae vazi la ujasiri nikala mbususu ya yule rasta woman alikuwa sura ya kigaidi ila mbususu yake ilikuwa tamuuu badalaa alikuwa fundiii

Nawashauri msiwe mnawakimbia wengine mbususu zao ni tamu .. alafu mwanaume risaji hachagui kiwanja cha mchezo wala hachagui afungejeee iwe kwa kichwa, krosi, fauloo, au penati cha maingi Rungu lizame
Hiki mimi ndiyo ninachojua sasa unakuta raia anakuja anasema nilishindwa kabisa huwa najisemea
Hiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom