Umewahi kumuonea huruma mwenza wako ukaahirisha mechi licha ya kukubaliana?

Umewahi kumuonea huruma mwenza wako ukaahirisha mechi licha ya kukubaliana?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
kwamba mmekubaliana kwenda kufanya mapenzi kwa hiyari, makubaliano, mapenzi na ridhaa zenu wenyewe...

ghafla mmeingia eneo la faragha tayari kwa game kunako 6kwa6, then ghafla unajawa huruma, hofu na stimu inakata kwa unachoshuhudia kwa macho, mathalani kutoka kwa mwenza wako?..

Je,
ni kitu gani kiliwahi kukufanya uka ahirisha kufanya mapenzi licha ya kwamba mko kunako 6kwa6 tayari, na ulie kubaliana nae kugegedana?🐒
 
kwamba mmekubaliana kwenda kufanya mapenzi kwa hiyari, makubaliano, mapenzi na ridhaa zenu wenyewe...

ghafla mmeingia eneo la faragha tayari kwa game kunako 6kwa6, then ghafla unajawa huruma, hofu na stimu inakata kwa unachoshuhudia kwa macho, mathalani kutoka kwa mwenza wako?..

Je,
ni kitu gani kiliwahi kukufanya uka ahirisha kufanya mapenzi licha ya kwamba mko kunako 6kwa6 tayari, na ulie kubaliana nae kugegedana?🐒
Alivyovua tu "k" ikaanza kutema!! Hapo hapo mzee saidi kainamisha kichwa chini akasema hiki chakula sili! 😁😀😀! Namimi nikasema isiwe shida twende zetu ili hali nimeishagharamika saana!
 
Back
Top Bottom