Umewahi kupigwa tukio gani kwenye mapenzi na huwezi kusahau mpaka leo?


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila we mwamba mkavu sana
 
Pole mkuu japo story yako inachekesha
 
Huyu mwanamke ilibidi nimuachie nyumba baada ya kodi kuisha

Nilisalitiwa mara nyingi hadi alibeba mimba ya mchepuko.Tumepigana mara tatu pamoja na kuzushiwa kuwa mm n malaya

Nikazushiwa maneno ya kuzishiwa kama yote .Sasa nimemuachia Mungu tu nimeanza maisha mapya na mpenzi mpya anayejielewa
 
Nilikopa pesa Benki ili nimpe aongezee kwenye biashara yake lakini mwisho wa siku hata miezi mitatu haikupita tukaachana na million 3 zilienda na maji ya katerero
Wewe ni fala sana mkuu. Kuna mafala wengi kwenye huu uzi, akiwemo huyo alietoroka jeshini kisa mwanamke, ila naona kama wewe umemfunika kabisa!

Nisamehe kwa lugha kali, wewe ni fala sana.

Kwa mara ya mwisho, wewe ni fala sana brother. Fala mno!
 
Manzi angu wa kwanza alikua mlokole saaafi yaani wale walokole wa mapambio kulia na maombi kila muda na alikua muirak na ndio alikua manzi wa kwanza kabisa kumuelewa ile kwei kabisa kabisa
Alituma nudes kwa mwana ambae hamjui waliekutana facebook tu wakahamia whatsApp akamtumia nudes

Time amefahamiana huyo mwamba alikua ananiona mimi kama mbuzi ikafika muda akagundua aliekua anamtumia picha za uchi ni tapeli alikua anataka apate picha ila awe anaomba pesa kwa ajili ya kutokuzisambaza kama ransom hivi

Nilikuja kujua baada ya yeye kurudi kwangu fasta sana na kuanza kuleta mahaba ya motomoto ndo akasema anataka kufuta account ya facebook ila hawezi akaniomba nimfutie ndio kukuta picha ametumiwa na account yeye jina kama la account yake kumbe wana walikua wametengeneza account kama yake na wakaweka picha kama zake Picha aliyotumiwa ilikua imewekewa namba za sim na inasema mimi ni malaya na manzi yuko mtupu,kumuuliza manzi akaanza kubisha mara wameedit sio mimi mara walinipiga nilikua sijui( hapo picha zote anaonekana anaangalia kamera) mwisho akakiri akawa analia kinyama na ulokole wake

Mwisho wa siku nilisovu msala japokua pesa ilinitoka kiaina

Nilikua sijawahi pigwa tukio kali nilihisi kutoa chozi niliishi kwa stress ikabidi nitemane nae tu japokua mpaka leo lazima anicheki anasema mimi ni mume wake na mimi sina taim tena na nawaona hawa madem wanaojiita wameokoka kama malaya na wanafiki tu
 
Wakati nipo O level nilikuaga na jamaa nili fall in love kinyamaaa kwa kifupi nilizama haswaaah.

Siku ya kuachwaa naambiwa "nilikua na wee kwa hisani tyuuh na leo hisani yangu imeisha." Woiiiiiiiiiih nilihisi dege dege LA ukubwani limenipandaa, chizi sio chizi, mwendawazimu sio kichaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Siku tunakutana anasema "nakuona mtoto umazidi kushynee tyuuh" nkamjibu "ndyooo nimempata wa kunisitiri sahv hisani si uliondoka nayo wee"

Now kaanza usumbufu wa kujisogeza kwan, na venye hata mshipa wa nyegee cnaga nae tenaa.

Huyuu jamaa alijua kuninyoosha khaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hisani ya watu wa marekani [emoji23]

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…