Umewahi kutana na Mpenzi kichefuchefu wa namna hii?

Unyamaaz Sanaa yaani
 
Toa hela wewe. Kama hutoi pesa endelea na punyere hakuna mwanamke wa bure siku Hz maisha yashabana
 
Huyu pisi ni Kama huyu mkuu
 
Haha jana kuna demu nikakwambia nitumie majina yako nikukatie ticket yq ndege uje nilipo akasema sawa ila changamoto hana kitambulisho chochote... nikamwambia ndege bila ID yenye jina lako watakuzingua hvyo panda bus.. HAPO NDO NILIONA NJAA YA DEMU

akaniambia unanikatie ticket? nikamjibu ndiyo so wewe ukiww tayari niambie... akaanza kuuliza maswali ya kisenge unanikatia online au ofisin? nikamwambia acha kuuliza ujinga mbona wakati tunaongea kuhusu ticket yw ndege ukuuliza hayo maswali...

baadaye akaniambia kwa hiyo ukinitumia Hiyo nauli nikakata mwenyewe hilo bus unaona nitakutapeli [emoji23][emoji23][emoji23] nikaona tayar nataka kupigwa.. Nikamwambia mbona Ndege ujaomba nauli ukate mwenyewe? akakaa kimya mwisho nikamwambia Tulia kwenu hadi upate kitambulisho cha kupiga kula, Leseni au NIDA utakuja na ndege.

wanawake njaa sana
 
Dah unyama sana mwanangu!
 
Kuna kamoja kalikuwa kamepanga nikakatembelea kwake, nikakapa elfu 50 ya matumizi, nafika home kananipigia gesi imeisha, kalikuwa kanatumia mtungi mdogo kanataka elfu 23.
Endelea na episode Yako basss
 
Vinachukuliaga pesa kirahis rahis sana,yaan wanawake wa sasa sjui akili zao zipoje,kwel utumie 300 000 kisimple simple tu

Kuna kengine niliwah kukaambia nikatafutie kazi kakawa kimya,yaan kumbe kanapenda pesa za kupewa tu
Hao wapo wengi sana yaani hiki kizazi tumefeli sana unasubiri pesa ya kupewa wakati mtu una uwezo wa kufanya KAZI na ukapata pesa yako menyewe!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]subirii uliweee helaa
 
[emoji1787][emoji23] tumeshakubaliana hapa ni kuwachezea na kuwatupa mpka wabadilike.. hakun kuoa takataka kama hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…