Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ukijitathmini wewe na uka grow inatosha sana. Kama nipo sehemu salama na nzuri why should i move?Mkuu ila mbona ni kama you don't grow!! Uko palepale miaka kadhaa sasa. Embu jitathmini
Wewe unadate na mwandishi wa vitabu, kazi unayo magazeti kama ya Mange Kimambi. Vijana mna kazi nawapa pole.Mpenzi wangu mimi ni kichefuchefu hasa, anataka nimpe muda wangu wote.
Wakati mwingine namchunia tu,mana anielewi kabisa,kama leo nimemjuza nina deal nafuatilia.
AelewiView attachment 2384232
Serious na ndio tunakosa na barakaKuhonga kwangu mwisho Elfu 50 tena kwa mwezi ikizidi hapo ni kibuti tu,wanaume tunapoteza pesa na muda wetu kipumbavu wakati mama zetu tunawapa pesa kwa mbinde!,wakati kila siku tunahonga
Haahahahaa. Sawa.Mkuu ukijitathmini wewe na uka grow inatosha sana. Kama nipo sehemu salama na nzuri why should i move?
Chizi Maarifa jibu nimekusaidia.
Sasa si ingepungua?So kaliamini ile 50 elfu umekapa ya mapambo? Kwa nini kasingetumia kununulia gas?
Huyu na vingrezaa uchwaraa hivi naee anadangaaa????[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mpenzi wangu mimi ni kichefuchefu hasa, anataka nimpe muda wangu wote.
Wakati mwingine namchunia tu,mana anielewi kabisa,kama leo nimemjuza nina deal nafuatilia.
AelewiView attachment 2384232
Tunakutanaga na wanawake wa ovyo basi tu wanaojua kupretend maisha we jiulize mwanamke kama huyo akija kuachwa anajiona kama kaonewa we mtu umetoka ghetto langu nimeona mpenzi wangu usiende hivi hivi nakupa elfu 20 eti unaanza kunipangia Cha kukupa alafu anaishika hiyo hela kama vile ni makaratasi kwa nyodo no Asante dawa yake ndio alinyooka hata nyodo zake ziliisha ila sababu ilinifanye niachane nae alikuwa ana drama nyingi sana tofauti na hiki nilichoandika
miezi 10 sio miaka 10 🤣🤣🤣Miaka 10 imepotea kirahisi hivyo??? Duh noma sana
PolesanaTunakutanaga na wanawake wa ovyo basi tu wanaojua kupretend maisha we jiulize mwanamke kama huyo akija kuachwa anajiona kama...
😁😁😁😁😁😊😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁Kwa kweli mashuhuri yanamaliza sana pesa.
Ifikie stage tuwe tunawachangia kidogo na hakuna kwenda.
Maana sisi wanawake kuhudhuria sherehe gharama sana sijui kitambaa lace mita moja 25,000 ukiweka na mashono hapo lazima ikatike si chini ya 140,000...
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Polesana
Demu nimekaa naye kwenye uhusiano kama miezi kama 10 hivi. Namsaidia anapokuwa na uhitaji sababu kwa muda sasa hayupo kazini. Namlipia pesa ya chakula...
Sijaona kosa lake.Mpenzi wangu mimi ni kichefuchefu hasa, anataka nimpe muda wangu wote.
Wakati mwingine namchunia tu,mana anielewi kabisa,kama leo nimemjuza nina deal nafuatilia.
AelewiView attachment 2384232
Hapo hakuna mwenye makosa, maisha ndo yapo hivyo. Huyo jamaa na yeye ipo sehemu analialia kama anavyolia huyo mwanamke.Sijaona kosa lake.
Huyu mwanamke inaonekana anakupenda ila wewehujali hilo.
Yaani mnapanga kutoka unaghairi humuambii unakaa kimya?
Unakuja kumuambia last minute na hujali hata.
Usimpotezee muda na maumivu zaidi muache tu aende atapata mwingine.
miezi 10Miaka 10 imepotea kirahisi hivyo??? Duh noma sana
Fungua pmKwa kweli mashuhuri yanamaliza sana pesa.
Ifikie stage tuwe tunawachangia kidogo na hakuna kwenda...
Yaan hata hakutaka kuniuliza zaidi kazi ikoje,maana mimi nilimuuliza angependelea kazi yenye mshahara kias gan kwa mwez,akawa kimya akawa anauliza kama naweza msaidia hela tuMkuu alijua utamtafutia kazi yenye mshahara mdogo siunajua dada zetu wanapenda kazi za kuonekana wapo ofisi kubwa.