Wanaume kusaidia kwenye biashara hawana shida kwasababu ni jambo la msingi lakini sio kwenye mambo ambayo hayana faidaNipe Mimi huo mtaji mkuu,nitauzalisha faida tutagawana(au hutuamini tena wanawake?)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume kusaidia kwenye biashara hawana shida kwasababu ni jambo la msingi lakini sio kwenye mambo ambayo hayana faidaNipe Mimi huo mtaji mkuu,nitauzalisha faida tutagawana(au hutuamini tena wanawake?)
Mapenzi ni kama una bet kuna wengine anajua kuact haswa ukishaingia nae kwenye uhusiano ndio unaona rangi yake halisi mimi kuna mmoja alikuja ghetto ulivyofika muda wa kuondoka nikampa elfu 20 ya matumizi eti anasema ni ndogo akawa anasema kwa uzuri wake huo nampaje elfu 20 nikamuuliza kwa upole na unyenyekevu ulitaka nikupe sh ngapi akasema elfu 50 at least basi nikamdanganya basi lete hiyo 20 nilipe umeme nina hela ipo kwenye simu nikupe hiyo 50 unayoitaka si akanirudishia nikamwambia sepa sikupi chochote uondoka kama ulivyo unaniletea ustaa kwenye hela kikaanza kujiliza kikataka nikape hiyo hiyo 20 nilitaka nisimamie msimamo wangu kikaanza kutia huruma nikaamua nimpunguzie kutoka 20 nikakipa 5000 anajikuta sister duu kumbe akina loloteMnawatoaga wapi hao?
🤣🤣🤣Mapenzi ni kama una bet kuna wengine anajua kuact haswa ukishaingia nae kwenye uhusiano ndio unaona rangi yake halisi mimi kuna mmoja alikuja ghetto ulivyofika muda wa kuondoka nikampa elfu 20 ya matumizi eti anasema ni ndogo akawa anasema...
Vinachukuliaga pesa kirahis rahis sana,yaan wanawake wa sasa sjui akili zao zipoje,kwel utumie 300 000 kisimple simple tuVidemu vingi vina roho ya chuma ulete hapa mjini
Alafu ukute demu mwenyewe anakitambi
Duh!,hv hawa madem wanatuonaje!,yaan kwasasa hawana aibu hata kidogo ndo maana jamaa wanawazibua mitaroKuna kamoja kalikuwa kamepanga nikakatembelea kwake, nikakapa elfu 50 ya matumizi, nafika home kananipigia gesi imeisha, kalikuwa kanatumia mtungi mdogo kanataka elfu 23.
Ulimkomesha buku 5 daah🤣🤣🤣Mapenzi ni kama una bet kuna wengine anajua kuact haswa ukishaingia nae kwenye uhusiano ndio unaona rangi yake halisi mimi kuna mmoja alikuja ghetto...
😂😂😂Nimecheka balaaMjasiliauchi ndio biashara anayoiweza, anakushangaa wewe unataka kumuingiza kwenye biashara zingine wakati tako analo.
Nimecheka sana.... Nlitamani niwepo nasikiliza mazungumzo yenu au nikione sasa kinapotoka..... Ulifanya jambo la kiume sana. Katakuwa kamejifunza.Mapenzi ni kama una bet kuna wengine anajua kuact haswa ukishaingia nae kwenye uhusiano ndio unaona rangi yake halisi mimi kuna mmoja alikuja...
Wajinga sana hawa. Hawataki kazi. Wanataka wawe kama Kajala au Wema.... Yaani msichana kwenye profile yake kaweka picha ya Kajala....tayari naona hana akili.Vinachukuliaga pesa kirahis rahis sana,yaan wanawake wa sasa sjui akili zao zipoje,kwel utumie 300 000 kisimple simple tu
Kuna kengine niliwah kukaambia nikatafutie kazi kakawa kimya,yaan kumbe kanapenda pesa za kupewa tu
Mkuu alijua utamtafutia kazi yenye mshahara mdogo siunajua dada zetu wanapenda kazi za kuonekana wapo ofisi kubwa.Vinachukuliaga pesa kirahis rahis sana,yaan wanawake wa sasa sjui akili zao zipoje,kwel utumie 300 000 kisimple simple tu
Kuna kengine niliwah kukaambia nikatafutie kazi kakawa kimya,yaan kumbe kanapenda pesa za kupewa tu
Very good commentMalezi ya kuaminisha kuwa mtoto chochote anachotaka akililia atapewa huwa yanakuja kuleta changamoto kubwa sana kitabia kama hizi...
Kwani mkuu unaweza kuniambia kw pm Ni mtaji wa Kia's gani umempa na ukapoteaDemu nimekaa naye kwenye uhusiano kama miezi kama 10 hivi. Namsaidia anapokuwa na uhitaji sababu kwa muda sasa hayupo kazini. Namlipia pesa ya chakula...
HV wako serious kweli mm nilimbloku mtu jusi tu baada ya kuunita mm bahili eti nilikPa elf tano ya kula anasema mm bahili nikamwambie Mbna ulikuwa umepauka umekah stand unanisubiria s ungenda hotel kunisubir Kama una ubavuMapenzi ni kama una bet kuna wengine anajua kuact haswa ukishaingia nae kwenye uhusiano ndio unaona rangi yake halisi mimi kuna mmoja ...
Ni mjinga alafu ana nyodo za kipuuzi kuna mademu wanaenda kwa wapenzi wao na wanarudi wakavu no kupewa hela mimi nimejaribu kukupa elfu 20 eti unaanza kunipangia as if kama tuliingia mkataba yaani anabahati hata ya kumpa hiyo buku 5 bila kujiliza nisingempa chochote hii ndio dawa ya watu wenye nyodoUlimkomesha buku 5 daah🤣🤣🤣
Wengi wa hivyo njaa zinawasumbua
Bora mtu akuuzie ujue moja unanunua akupe bei elekezi kuliko drama za kijinga
Ni njaa zinakusumbua ,,daah kiukweli sijui mnapataga wapi ujasiri wa kuitolea nje mbususu,na hata haujawahi kuifumania!!,
kiukweli kwangu mimi, kama mbususu ikishatambua makosa yake na ikarudi kinyumenyume kama hiyo yako huwa sinaga ujanja kabisa,kiufupi hua ninakuwa taabani kabisa
Hili swali lilikuwa zuri. Alikujibu nini? Mtu anawezaje kuita bahili pesa ya wenzie? Yeye ambaye hakuwa bahili alikupa nini?HV wako serious kweli mm nilimbloku mtu jusi tu baada ya kuunita mm bahili eti nilikPa elf tano ya kula anasema mm bahili nikamwambie Mbna ulikuwa umepauka umekah stand unanisubiria s ungenda hotel kunisubir Kama una ubavu
Miezi.Miaka 10 imepotea kirahisi hivyo??? Duh noma sana
Visa vya hao ni vingi sana na vya kuumiza, alikuwa na kisimu cha ajabu ajabu, nikajichanga nikamnunulia simu nzuri tu baada ya wiki 2 akaja ananiambia ile simu aliisahau alipokuwa amekaa wakaiba, Toka siku hiyo nikaachana naye.Mimi kuna mmoja alikuja home wakati wa kuondoka nikampa hela ya matumizi nikamwambia ukifika home nijulishe.
Alivyofika kwao akanibip nikampigia nikamuuliza vipi mbona unabeep akasema sina vocha akaomba nimtumie salio!!!
Baada ya kukata simu sikumtafuta tena nasubiri mpaka Yesu arudi.
Mkuu naona hasira zako na zangu kama mapacha [emoji23]