Umewahi kutana na Mpenzi kichefuchefu wa namna hii?

Umewahi kutana na Mpenzi kichefuchefu wa namna hii?

Demu nimekaa naye kwenye uhusiano kama miezi kama 10 hivi. Namsaidia anapokuwa na uhitaji sababu kwa muda sasa hayupo kazini. Namlipia pesa ya chakula, umeme n.k

Juzi juzi kaomba nimpatie pesa aende kwenye harusi ya ndugu yake Kilimanjaro. Nikamwambia sidhani kama ni lazima sana aende maana hayupo kazini na anataka mchango 150,000. Nauli na matumizi 100,000 na 100,000 ya sare.

Nikamwambia hapana sipo vizuri nami mambo yametindinganya kidogo.but nikamkumbusha kuwa nlimwambia atafute biznez ya mtaji wa wastani tu kiasi kisichozidi *********** then nimpe mtaji miezi 4 imekatika hamna majibu.

Akawa mkali. " Usitake kuninyanyasa na vicent vyako. Kukuomba tu pesa umeanza kunichambua, kama hutaki nisaidia basi niache.nitapambana mwenyewe wala sikulazimishi"

hii ni kama mara ya 4 anatumia kauli hiyo.Kuwa tuachane kama vipi huwa namwambia tu yaishe tusigombane.

Nikamjibu tu "Sawa" sikuandika kingine nika mblock. Baada ya siku 3 akajifanya amekosea kutuma msg ya kawaida tu.sikujibu kitu. Akakosea tena mara ya pili. Sikujibu kitu. Mara ya tatu akapiga simu nikapokea nikamuuliza nani mwenzangu. Akakata simu.

Akaanza kutuma msg kuwa "yaani hatujawasiliana siku mbili umeshatafuta malaya wako. Hukuwa ukinipenda...na nitakuja mvuruga huyo malaya wako mpaka ashindwe kujitambua"

Sikumjibu. Baadaye akapiga this time ametulia na kuanza niuliza nipo wapi akitaka tuonane, nimemwambia tu sina nafasi nipo busy sana kwa sasa. Ameanza tuma msg akilaani nimemchezea tu nimemwacha, mungu wake atamlipia...hakutegemea n.k.

Mi ndo nimesha move on na ninashukuru zile pesa nlikuwa namtumia sasa nazisave na kuwapa wahitaji wengine na kutumia mimi binafsi. Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi.

Nikakumbuka waswahili wanasema "UNATISHIA KUJAMBA WAKATI UNAHARISHA"
Wenye roho za ki russia tuko wachache sana dunia hii,big up...
 
Demu nimekaa naye kwenye uhusiano kama miezi kama 10 hivi. Namsaidia anapokuwa na uhitaji sababu kwa muda sasa hayupo kazini. Namlipia pesa ya chakula, umeme n.k

Juzi juzi kaomba nimpatie pesa aende kwenye harusi ya ndugu yake Kilimanjaro. Nikamwambia sidhani kama ni lazima sana aende maana hayupo kazini na anataka mchango 150,000. Nauli na matumizi 100,000 na 100,000 ya sare.

Nikamwambia hapana sipo vizuri nami mambo yametindinganya kidogo.but nikamkumbusha kuwa nlimwambia atafute biznez ya mtaji wa wastani tu kiasi kisichozidi *********** then nimpe mtaji miezi 4 imekatika hamna majibu.

Akawa mkali. " Usitake kuninyanyasa na vicent vyako. Kukuomba tu pesa umeanza kunichambua, kama hutaki nisaidia basi niache.nitapambana mwenyewe wala sikulazimishi"

hii ni kama mara ya 4 anatumia kauli hiyo.Kuwa tuachane kama vipi huwa namwambia tu yaishe tusigombane.

Nikamjibu tu "Sawa" sikuandika kingine nika mblock. Baada ya siku 3 akajifanya amekosea kutuma msg ya kawaida tu.sikujibu kitu. Akakosea tena mara ya pili. Sikujibu kitu. Mara ya tatu akapiga simu nikapokea nikamuuliza nani mwenzangu. Akakata simu.

Akaanza kutuma msg kuwa "yaani hatujawasiliana siku mbili umeshatafuta malaya wako. Hukuwa ukinipenda...na nitakuja mvuruga huyo malaya wako mpaka ashindwe kujitambua"

Sikumjibu. Baadaye akapiga this time ametulia na kuanza niuliza nipo wapi akitaka tuonane, nimemwambia tu sina nafasi nipo busy sana kwa sasa. Ameanza tuma msg akilaani nimemchezea tu nimemwacha, mungu wake atamlipia...hakutegemea n.k.

Mi ndo nimesha move on na ninashukuru zile pesa nlikuwa namtumia sasa nazisave na kuwapa wahitaji wengine na kutumia mimi binafsi. Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi.

Nikakumbuka waswahili wanasema "UNATISHIA KUJAMBA WAKATI UNAHARISHA"
Nipe Mimi huo mtaji mkuu,nitauzalisha faida tutagawana(au hutuamini tena wanawake?)
 
Demu nimekaa naye kwenye uhusiano kama miezi kama 10 hivi. Namsaidia anapokuwa na uhitaji sababu kwa muda sasa hayupo kazini. Namlipia pesa ya chakula, umeme n.k

Juzi juzi kaomba nimpatie pesa aende kwenye harusi ya ndugu yake Kilimanjaro. Nikamwambia sidhani kama ni lazima sana aende maana hayupo kazini na anataka mchango 150,000. Nauli na matumizi 100,000 na 100,000 ya sare.

Nikamwambia hapana sipo vizuri nami mambo yametindinganya kidogo.but nikamkumbusha kuwa nlimwambia atafute biznez ya mtaji wa wastani tu kiasi kisichozidi *********** then nimpe mtaji miezi 4 imekatika hamna majibu.

Akawa mkali. " Usitake kuninyanyasa na vicent vyako. Kukuomba tu pesa umeanza kunichambua, kama hutaki nisaidia basi niache.nitapambana mwenyewe wala sikulazimishi"

hii ni kama mara ya 4 anatumia kauli hiyo.Kuwa tuachane kama vipi huwa namwambia tu yaishe tusigombane.

Nikamjibu tu "Sawa" sikuandika kingine nika mblock. Baada ya siku 3 akajifanya amekosea kutuma msg ya kawaida tu.sikujibu kitu. Akakosea tena mara ya pili. Sikujibu kitu. Mara ya tatu akapiga simu nikapokea nikamuuliza nani mwenzangu. Akakata simu.

Akaanza kutuma msg kuwa "yaani hatujawasiliana siku mbili umeshatafuta malaya wako. Hukuwa ukinipenda...na nitakuja mvuruga huyo malaya wako mpaka ashindwe kujitambua"

Sikumjibu. Baadaye akapiga this time ametulia na kuanza niuliza nipo wapi akitaka tuonane, nimemwambia tu sina nafasi nipo busy sana kwa sasa. Ameanza tuma msg akilaani nimemchezea tu nimemwacha, mungu wake atamlipia...hakutegemea n.k.

Mi ndo nimesha move on na ninashukuru zile pesa nlikuwa namtumia sasa nazisave na kuwapa wahitaji wengine na kutumia mimi binafsi. Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi.

Nikakumbuka waswahili wanasema "UNATISHIA KUJAMBA WAKATI UNAHARISHA"
Mwamba hii umeipiga kitaalamu sana. Keep it up.
 
Kuna kamoja kalikuwa kamepanga nikakatembelea kwake, nikakapa elfu 50 ya matumizi, nafika home kananipigia gesi imeisha, kalikuwa kanatumia mtungi mdogo kanataka elfu 23.
Mimi kuna mmoja alikuja home wakati wa kuondoka nikampa hela ya matumizi nikamwambia ukifika home nijulishe.
Alivyofika kwao akanibip nikampigia nikamuuliza vipi mbona unabeep akasema sina vocha akaomba nimtumie salio!!!

Baada ya kukata simu sikumtafuta tena nasubiri mpaka Yesu arudi.

Mkuu naona hasira zako na zangu kama mapacha [emoji23]
 
Kwa kweli mashuhuri yanamaliza sana pesa.
Ifikie stage tuwe tunawachangia kidogo na hakuna kwenda.
Maana sisi wanawake kuhudhuria sherehe gharama sana sijui kitambaa lace mita moja 25,000 ukiwekana mashoni hapo lazima ikatike si chini ya 140,000.
Bado make up.
Bado nauli.
Bado hujapeleka zawadi.
Sijui kumfuta jasho.
Afu huyo demu wako mpige chini tu.
Maana hana aibu anaombaje hela ya harusi nyingi hizo?
Na mineno ya karaha juu.
Hajui kwamba sasa hivi wanaume wachache sana wanaohudumia wanawake wengi wa wanaume wanapenda mserereko na free k.
Ila mkuu jiandae huyo demu akishapigwa na jua lazima ajute na atakusumbua sana.
Umenena vyema!
 
Kwa kweli mashuhuri yanamaliza sana pesa.
Ifikie stage tuwe tunawachangia kidogo na hakuna kwenda.
Maana sisi wanawake kuhudhuria sherehe gharama sana sijui kitambaa lace mita moja 25,000 ukiwekana mashoni hapo lazima ikatike si chini ya 140,000.
Bado kiatu.
Bado make up.
Bado kucha.
Bado nywele.
Bado nauli.
Bado hujapeleka zawadi.
Sijui kumfuta jasho.
Afu huyo demu wako mpige chini tu.
Maana hana aibu anaombaje hela ya harusi nyingi hizo?
Na mineno ya karaha juu.
Hajui kwamba sasa hivi wanaume wachache sana wanaohudumia wanawake wengi wa wanaume wanapenda mserereko na free k.
Ila mkuu jiandae huyo demu akishapigwa na jua lazima ajute na atakusumbua sana.
Naona kama wanaume wenye hela nyingi ni wachache sana, wanawake wanaohitaji wanaume wenye hela ni wengi sana, yaani ni rahisi kukutana na mdada mwenye tako kubwa, kuliko kukutana na mwanaume mwenye hela nyingi amu
 
Kwa kweli mashuhuri yanamaliza sana pesa.
Ifikie stage tuwe tunawachangia kidogo na hakuna kwenda.
Maana sisi wanawake kuhudhuria sherehe gharama sana sijui kitambaa lace mita moja 25,000 ukiwekana mashoni hapo lazima ikatike si chini ya 140,000.
Bado kiatu.
Bado make up.
Bado kucha.
Bado nywele.
Bado nauli.
Bado hujapeleka zawadi.
Sijui kumfuta jasho.
Afu huyo demu wako mpige chini tu.
Maana hana aibu anaombaje hela ya harusi nyingi hizo?
Na mineno ya karaha juu.
Hajui kwamba sasa hivi wanaume wachache sana wanaohudumia wanawake wengi wa wanaume wanapenda mserereko na free k.
Ila mkuu jiandae huyo demu akishapigwa na jua lazima ajute na atakusumbua sana.
Mi ndo nimesha move on. Sitaki tena kuwa na mwanamke mpumbavu
 
Kuna kamoja kalikuwa kamepanga nikakatembelea kwake, nikakapa elfu 50 ya matumizi, nafika home kananipigia gesi imeisha, kalikuwa kanatumia mtungi mdogo kanataka elfu 23.
So kaliamini ile 50 elfu umekapa ya mapambo? Kwa nini kasingetumia kununulia gas?
 
Demu nimekaa naye kwenye uhusiano kama miezi kama 10 hivi. Namsaidia anapokuwa na uhitaji sababu kwa muda sasa hayupo kazini. Namlipia pesa ya chakula, umeme n.k

Juzi juzi kaomba nimpatie pesa aende kwenye harusi ya ndugu yake Kilimanjaro. Nikamwambia sidhani kama ni lazima sana aende maana hayupo kazini na anataka mchango 150,000. Nauli na matumizi 100,000 na 100,000 ya sare.

Nikamwambia hapana sipo vizuri nami mambo yametindinganya kidogo.but nikamkumbusha kuwa nlimwambia atafute biznez ya mtaji wa wastani tu kiasi kisichozidi *********** then nimpe mtaji miezi 4 imekatika hamna majibu.

Akawa mkali. " Usitake kuninyanyasa na vicent vyako. Kukuomba tu pesa umeanza kunichambua, kama hutaki nisaidia basi niache.nitapambana mwenyewe wala sikulazimishi"

hii ni kama mara ya 4 anatumia kauli hiyo.Kuwa tuachane kama vipi huwa namwambia tu yaishe tusigombane.

Nikamjibu tu "Sawa" sikuandika kingine nika mblock. Baada ya siku 3 akajifanya amekosea kutuma msg ya kawaida tu.sikujibu kitu. Akakosea tena mara ya pili. Sikujibu kitu. Mara ya tatu akapiga simu nikapokea nikamuuliza nani mwenzangu. Akakata simu.

Akaanza kutuma msg kuwa "yaani hatujawasiliana siku mbili umeshatafuta malaya wako. Hukuwa ukinipenda...na nitakuja mvuruga huyo malaya wako mpaka ashindwe kujitambua"

Sikumjibu. Baadaye akapiga this time ametulia na kuanza niuliza nipo wapi akitaka tuonane, nimemwambia tu sina nafasi nipo busy sana kwa sasa. Ameanza tuma msg akilaani nimemchezea tu nimemwacha, mungu wake atamlipia...hakutegemea n.k.

Mi ndo nimesha move on na ninashukuru zile pesa nlikuwa namtumia sasa nazisave na kuwapa wahitaji wengine na kutumia mimi binafsi. Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi.

Nikakumbuka waswahili wanasema "UNATISHIA KUJAMBA WAKATI UNAHARISHA"
"Usimuonee huruma mwanamke" nukuu ya taikon wa fasihi ROBERT HERIEL
 
daah kiukweli sijui mtapataga wapi ujasiri wa kuitolea nje mbususu,na hata haujawahi kuifumania!!,

kiukweli kwangu mimi, kama mbususu ikishatambua makosa yake na ikarudi kinyumenyume kama hiyo yako huwa sinaga ujanja kabisa,kiufupi hua ninakuwa taabani kabisa
Braza we sio mtu mzuri.Yan unataka Mbususu ikufanyie mchezo wakurudi kinyumenyume..aahhhh
 
Hakuna kitu sipendi kama kuombwa ombwa hela.
Ndio mana nikishakutusua basi nafanya kukulipa ili kila mtu ashike 50 zake.Nikihitaji tena nitakulipa ila hapa kati tuwe tu washkaji.Kama kuwasiliana tuwasiliane kishkaji mbona yako mambo mengi tu ya kuongelea mbali na ishu ya hela????

Mara 100 basi niombe hela ya kufanya shughuliya msingi ya uzalishaji hapo naweza kuingia utu nikakutafutia ila pesa ya ku spend kisa tu mbususu hapo sahau.Nakupa ukishanipa till next time
 
Mimi kuna mmoja alikuja home wakati wa kuondoka nikampa hela ya matumizi nikamwambia ukifika home nijulishe.
Alivyofika kwao akanibip nikampigia nikamuuliza vipi mbona unabeep akasema sina vocha akaomba nimtumie salio!!!

Baada ya kukata simu sikumtafuta tena nasubiri mpaka Yesu arudi.

Mkuu naona hasira zako na zangu kama mapacha [emoji23]
Mi sijajua huwa wanakuwa na tatizo ganj wadada wa namna hii. Hawataki kabisa kushirikisha ubongo wao
 
Back
Top Bottom