Umewahi kuvielewa vyama vya siasa vya upinzani Tanzania?

Umewahi kuvielewa vyama vya siasa vya upinzani Tanzania?

ryan riz

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
423
Reaction score
683
Moja ya vitu vya kustaajabisha hapa nchini,ni namna vyama vya upinzani vinavyoshindwa kula na kipofu na chama tawala na serikali pia

Watanzania tunajijua na rahisi sana kutekwa kisiasa ni mbinu tu za mtekaji akijipanga vizuri,yaani wapinzani wanashindwa kutumia mbinu hizi kwa serikali na chama tawala? Hivi vyama vya upinzani haviwezi kuendesha upinzani wao kwenye majukwaa mengine.

Kama vile mitandao,magazetini,radio na tv zao au watu binafsi kwani huko hoja ambazo wanazitaka kwenye hadhara zisikike mbona hata kwenye haya majukwaa zitatufikia?

Mbona wanayoyaongea kwenye mikutano ya ndani hutufikia nchi nzima, kama akina amber rutty mambo yao waliyafanyia chumbani na si uwanja wa mpira ila watanzania karibu 80% yaliwafikia na hawa watu sio maarufu ila kupitia haya haya majukwaa watu walipata taarifa.

Hapa na maanisha kwamba hoja zenye nguvu na mantiki zitawafikia walengwa wote hata ikiwa mwenye hoja kazitolea akiwa chooni anajisaidia ili mradi tu ayatumie hayo majukwaa vizuri. HIVI HUKO MITAANI MNAENDA KUONGEA NINI AMBACHO MNASHINDWA KUKIONGELEA KWENYE HAYO MAJUKWAA?

Yaani badala ya kuutumia huu wakati kuwapenyeza watu wenu sehemu mbalimbali nyeti kwa kutumia angalau kampasuko chao ila ndio mnastua mapema aanze kuwaona wale aliokuwa anawapinga kwenye chama chake kwamba walikuwa wako sahihi.......! Na hii itapelekea ajiimarishe kotekote ndani na nje.

Suala la katiba tusidanganyane kama hamjapata nguvu kwa wananchi na ushawishi angalau kwa maafisa wa vyombo vya usalama mtabakia hivyo hivyo,maana kule ndio kuna waanzilishi na ndio wanaowa´boost wananchi kukomalia hiyo inshu lakini nyie kupata msaada wa wananchi kudai katiba mpya kwa sasa bado sana maana hamna kitu kinachowaunganisha pamoja.

Wenzenu wanafanya juu chini kuja na mbinu za kuwatenganisha nao hata hao wachache mlionao. Suala la ajira mmeliacha,suala la huduma za kijamii hususani maji na umeme mmeliacha wakati Serikali inadanganya kwamba wamefikia karibu vijiji vyote kwa huduma hizi mmenyamaza ,uzembe makazini na huduma mbovu mmeliacha n.k. Haya ni baadhi ya mambo yangeweza kuwaonganisha na wananchi mkawashawishi hicho mnachokitaka.
 
Nashangaa mtu mzima anakuja hapa eti hataki katiba mpya. Hii nchi ni ngumu sana
hakuna mtu asietaka katiba mpya,suala ni mbinu za kuweza kuingia na kushawishi upate uungwaji na makundi mbalimbali kwenye kuidai...ukikariri mbinu za jicho kwa jicho basi kwenye maisha utashindwa vitu vingi mno....Mengi huenda kwa ushawishi na sikufichi ndugu...walipata kiongozi mrahisi sana kumuingia sababu alikuwa mpenda sifa sana kupitia hiyo hulka yake wangefanikisha mengi mno,sababu angejichukulia ndio rais wa kihistoria kuweza kuonganisha vyama vyote vya siasa na makundi yote katika jamii ila BAHATI MBAYA WAKAWAACHIA WENZEO WAKAFAIDIKA NAE BAADA YA KUMJULIA....ukweli na waambia hiyo nafasi haitarudi tena KAMA HIVI VYAMA HAVIBADILIKA......
 
Moja ya vitu vya kustaajabisha hapa nchini,ni namna vyama vya upinzani vinavyoshindwa kula na kipofu na chama tawala na serikali pia

Watanzania tunajijua na rahisi sana kutekwa kisiasa ni mbinu tu za mtekaji akijipanga vizuri,yaani wapinzani wanashindwa kutumia mbinu hizi kwa serikali na chama tawala? Hivi vyama vya upinzani haviwezi kuendesha upinzani wao kwenye majukwaa mengine.

Kama vile mitandao,magazetini,radio na tv zao au watu binafsi kwani huko hoja ambazo wanazitaka kwenye hadhara zisikike mbona hata kwenye haya majukwaa zitatufikia?

Mbona wanayoyaongea kwenye mikutano ya ndani hutufikia nchi nzima, kama akina amber rutty mambo yao waliyafanyia chumbani na si uwanja wa mpira ila watanzania karibu 80% yaliwafikia na hawa watu sio maarufu ila kupitia haya haya majukwaa watu walipata taarifa.

Hapa na maanisha kwamba hoja zenye nguvu na mantiki zitawafikia walengwa wote hata ikiwa mwenye hoja kazitolea akiwa chooni anajisaidia ili mradi tu ayatumie hayo majukwaa vizuri. HIVI HUKO MITAANI MNAENDA KUONGEA NINI AMBACHO MNASHINDWA KUKIONGELEA KWENYE HAYO MAJUKWAA?

Yaani badala ya kuutumia huu wakati kuwapenyeza watu wenu sehemu mbalimbali nyeti kwa kutumia angalau kampasuko chao ila ndio mnastua mapema aanze kuwaona wale aliokuwa anawapinga kwenye chama chake kwamba walikuwa wako sahihi.......! Na hii itapelekea ajiimarishe kotekote ndani na nje.

Suala la katiba tusidanganyane kama hamjapata nguvu kwa wananchi na ushawishi angalau kwa maafisa wa vyombo vya usalama mtabakia hivyo hivyo,maana kule ndio kuna waanzilishi na ndio wanaowa´boost wananchi kukomalia hiyo inshu lakini nyie kupata msaada wa wananchi kudai katiba mpya kwa sasa bado sana maana hamna kitu kinachowaunganisha pamoja.

Wenzenu wanafanya juu chini kuja na mbinu za kuwatenganisha nao hata hao wachache mlionao. Suala la ajira mmeliacha,suala la huduma za kijamii hususani maji na umeme mmeliacha wakati Serikali inadanganya kwamba wamefikia karibu vijiji vyote kwa huduma hizi mmenyamaza ,uzembe makazini na huduma mbovu mmeliacha n.k. Haya ni baadhi ya mambo yangeweza kuwaonganisha na wananchi mkawashawishi hicho mnachokitaka.
Kula na kipofu ndo nini, kwamba ndo amebeba O2 za watu ,yule ni mtumishi Kama watumishi wengine ila wakiwango Cha juu , ni Katiba tu ndo inafanya yeye kuonekana ndo kila kitu ndani ya nchi , angalia SA Jamaa kapigwa ndani ,Sasa unategemea rais wa nchi yao atafanya ,au atakua mungu mtu?

Mfano Jambo ambalo ni KWA ajili ya taifa letu la kesho , ambalo ni letu wote , una omba ili iweje ,wakati nae rais ana watoto, wajukuu ambao ni taifa Hili Hili wataendelea kuishi , na kinachopiganiwa walikute taifa likiwa bora,
 
Moja ya vitu vya kustaajabisha hapa nchini,ni namna vyama vya upinzani vinavyoshindwa kula na kipofu na chama tawala na serikali pia

Watanzania tunajijua na rahisi sana kutekwa kisiasa ni mbinu tu za mtekaji akijipanga vizuri,yaani wapinzani wanashindwa kutumia mbinu hizi kwa serikali na chama tawala? Hivi vyama vya upinzani haviwezi kuendesha upinzani wao kwenye majukwaa mengine.

Kama vile mitandao,magazetini,radio na tv zao au watu binafsi kwani huko hoja ambazo wanazitaka kwenye hadhara zisikike mbona hata kwenye haya majukwaa zitatufikia?

Mbona wanayoyaongea kwenye mikutano ya ndani hutufikia nchi nzima, kama akina amber rutty mambo yao waliyafanyia chumbani na si uwanja wa mpira ila watanzania karibu 80% yaliwafikia na hawa watu sio maarufu ila kupitia haya haya majukwaa watu walipata taarifa.

Hapa na maanisha kwamba hoja zenye nguvu na mantiki zitawafikia walengwa wote hata ikiwa mwenye hoja kazitolea akiwa chooni anajisaidia ili mradi tu ayatumie hayo majukwaa vizuri. HIVI HUKO MITAANI MNAENDA KUONGEA NINI AMBACHO MNASHINDWA KUKIONGELEA KWENYE HAYO MAJUKWAA?

Yaani badala ya kuutumia huu wakati kuwapenyeza watu wenu sehemu mbalimbali nyeti kwa kutumia angalau kampasuko chao ila ndio mnastua mapema aanze kuwaona wale aliokuwa anawapinga kwenye chama chake kwamba walikuwa wako sahihi.......! Na hii itapelekea ajiimarishe kotekote ndani na nje.

Suala la katiba tusidanganyane kama hamjapata nguvu kwa wananchi na ushawishi angalau kwa maafisa wa vyombo vya usalama mtabakia hivyo hivyo,maana kule ndio kuna waanzilishi na ndio wanaowa´boost wananchi kukomalia hiyo inshu lakini nyie kupata msaada wa wananchi kudai katiba mpya kwa sasa bado sana maana hamna kitu kinachowaunganisha pamoja.

Wenzenu wanafanya juu chini kuja na mbinu za kuwatenganisha nao hata hao wachache mlionao. Suala la ajira mmeliacha,suala la huduma za kijamii hususani maji na umeme mmeliacha wakati Serikali inadanganya kwamba wamefikia karibu vijiji vyote kwa huduma hizi mmenyamaza ,uzembe makazini na huduma mbovu mmeliacha n.k. Haya ni baadhi ya mambo yangeweza kuwaonganisha na wananchi mkawashawishi hicho mnachokitaka.
Wapinzani wako vizuri ccm wameharibu hii nchi, matatizo tuliyo nayo ni ccm wapinzani hawajawahi ongoza serekali
Kuwalaumu ni kuwaonea tu
 
Inatakiwa tuzichape tufe,watakao baki watapata katiba mpya.Haiwezekani tuwe na rais Mungu hata afanye mauaji kama ya kina Ben na weingine eti asishitakiwe.Huwo ni ujinga kama wa mwendazake
 
Moja ya vitu vya kustaajabisha hapa nchini,ni namna vyama vya upinzani vinavyoshindwa kula na kipofu na chama tawala na serikali pia

Watanzania tunajijua na rahisi sana kutekwa kisiasa ni mbinu tu za mtekaji akijipanga vizuri,yaani wapinzani wanashindwa kutumia mbinu hizi kwa serikali na chama tawala? Hivi vyama vya upinzani haviwezi kuendesha upinzani wao kwenye majukwaa mengine.

Kama vile mitandao,magazetini,radio na tv zao au watu binafsi kwani huko hoja ambazo wanazitaka kwenye hadhara zisikike mbona hata kwenye haya majukwaa zitatufikia?

Mbona wanayoyaongea kwenye mikutano ya ndani hutufikia nchi nzima, kama akina amber rutty mambo yao waliyafanyia chumbani na si uwanja wa mpira ila watanzania karibu 80% yaliwafikia na hawa watu sio maarufu ila kupitia haya haya majukwaa watu walipata taarifa.

Hapa na maanisha kwamba hoja zenye nguvu na mantiki zitawafikia walengwa wote hata ikiwa mwenye hoja kazitolea akiwa chooni anajisaidia ili mradi tu ayatumie hayo majukwaa vizuri. HIVI HUKO MITAANI MNAENDA KUONGEA NINI AMBACHO MNASHINDWA KUKIONGELEA KWENYE HAYO MAJUKWAA?

Yaani badala ya kuutumia huu wakati kuwapenyeza watu wenu sehemu mbalimbali nyeti kwa kutumia angalau kampasuko chao ila ndio mnastua mapema aanze kuwaona wale aliokuwa anawapinga kwenye chama chake kwamba walikuwa wako sahihi.......! Na hii itapelekea ajiimarishe kotekote ndani na nje.

Suala la katiba tusidanganyane kama hamjapata nguvu kwa wananchi na ushawishi angalau kwa maafisa wa vyombo vya usalama mtabakia hivyo hivyo,maana kule ndio kuna waanzilishi na ndio wanaowa´boost wananchi kukomalia hiyo inshu lakini nyie kupata msaada wa wananchi kudai katiba mpya kwa sasa bado sana maana hamna kitu kinachowaunganisha pamoja.

Wenzenu wanafanya juu chini kuja na mbinu za kuwatenganisha nao hata hao wachache mlionao. Suala la ajira mmeliacha,suala la huduma za kijamii hususani maji na umeme mmeliacha wakati Serikali inadanganya kwamba wamefikia karibu vijiji vyote kwa huduma hizi mmenyamaza ,uzembe makazini na huduma mbovu mmeliacha n.k. Haya ni baadhi ya mambo yangeweza kuwaonganisha na wananchi mkawashawishi hicho mnachokitaka.
Mkuu naomba nichangie tena kwa kusemaaa...

Watakaoandamana ni hawa wanasiasa tuuu,mwananchi wa kawaida mama ntilie anatafuta ugali wake pale karume kwa kuuza chakula huwezi kumuweka mtaani aandamane.

Na kama hawa wananchi wa kawaida(sisemi wanasiasa)hawajaelimisha umuhimu wa katiba basi wadai katiba hakuna watakachopata.

Ili jambo liwe na nguvu ya maandamano basi unatakiwa jambo hilo hasa la maslahi ya nchi inatakiwa kila mwanachi wa sehemu fulani aone umuhimu huo.

Sio unadai katiba lakini mwalimu hayupo kwenye maandamano.

Sio unadai katiba alafu daktari hayuo kwenye maandamano.

Sio unadai katiba alafu mwanafunzi hayupo.

Sio unadai katiba alafu mkulima hayupo.

Sio unadai katiba alafu wasanii na waigizaji hawapo kwenye maandamano.

Hapo mtajikuta mnasimama nyie tu wenye mrengo mmoja wa chama pinzani ati kudai katiba kwa maslahi ya watanzania wenye mirengo mingine.


Kama uongo acha waite watu mtaani waandamane alafu uone kitakachojiri kama kuna watanzania watakuwa na muitikio huo.
 
Inatakiwa tuzichape tufe,watakao baki watapata katiba mpya.Haiwezekani tuwe na rais Mungu hata afanye mauaji kama ya kina Ben na weingine eti asishitakiwe.Huwo ni ujinga kama wa mwendazake
Mkuu watu walishindwa kuandamana kwa lisu kuibiwa kura kama anavyosema usitegemee wataandamana kwa jambo hili.

Watu wanafanya mambo mengine sasa hivi.

Hawa wanaohamasisha maandamao sio yanawapa kula ndo mitaji yao ilipo.
 
Vyama maslahi hivyo si bora tuendelee kubanana huku huku ccm kutafuta maslahi?
 
Wapinzani kuhamasisha kuandamana huku wao wako nyuma ya migongo ya watu kujificha huo ni uwendawazimu kiwango cha kimataifa, kwanza watu hawataki kuongozwa na mtu mwenye risasi makalioni
weraweraaaaaaaa! Nimekuelewa sana mzee baba. Umesema mle mle. Aendelee kuinama watafute risasi zilizobaki.
 
Chama kinaongozwa na Dj [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Moja ya vitu vya kustaajabisha hapa nchini,ni namna vyama vya upinzani vinavyoshindwa kula na kipofu na chama tawala na serikali pia

Watanzania tunajijua na rahisi sana kutekwa kisiasa ni mbinu tu za mtekaji akijipanga vizuri,yaani wapinzani wanashindwa kutumia mbinu hizi kwa serikali na chama tawala? Hivi vyama vya upinzani haviwezi kuendesha upinzani wao kwenye majukwaa mengine.

Kama vile mitandao,magazetini,radio na tv zao au watu binafsi kwani huko hoja ambazo wanazitaka kwenye hadhara zisikike mbona hata kwenye haya majukwaa zitatufikia?

Mbona wanayoyaongea kwenye mikutano ya ndani hutufikia nchi nzima, kama akina amber rutty mambo yao waliyafanyia chumbani na si uwanja wa mpira ila watanzania karibu 80% yaliwafikia na hawa watu sio maarufu ila kupitia haya haya majukwaa watu walipata taarifa.

Hapa na maanisha kwamba hoja zenye nguvu na mantiki zitawafikia walengwa wote hata ikiwa mwenye hoja kazitolea akiwa chooni anajisaidia ili mradi tu ayatumie hayo majukwaa vizuri. HIVI HUKO MITAANI MNAENDA KUONGEA NINI AMBACHO MNASHINDWA KUKIONGELEA KWENYE HAYO MAJUKWAA?

Yaani badala ya kuutumia huu wakati kuwapenyeza watu wenu sehemu mbalimbali nyeti kwa kutumia angalau kampasuko chao ila ndio mnastua mapema aanze kuwaona wale aliokuwa anawapinga kwenye chama chake kwamba walikuwa wako sahihi.......! Na hii itapelekea ajiimarishe kotekote ndani na nje.

Suala la katiba tusidanganyane kama hamjapata nguvu kwa wananchi na ushawishi angalau kwa maafisa wa vyombo vya usalama mtabakia hivyo hivyo,maana kule ndio kuna waanzilishi na ndio wanaowa´boost wananchi kukomalia hiyo inshu lakini nyie kupata msaada wa wananchi kudai katiba mpya kwa sasa bado sana maana hamna kitu kinachowaunganisha pamoja.

Wenzenu wanafanya juu chini kuja na mbinu za kuwatenganisha nao hata hao wachache mlionao. Suala la ajira mmeliacha,suala la huduma za kijamii hususani maji na umeme mmeliacha wakati Serikali inadanganya kwamba wamefikia karibu vijiji vyote kwa huduma hizi mmenyamaza ,uzembe makazini na huduma mbovu mmeliacha n.k. Haya ni baadhi ya mambo yangeweza kuwaonganisha na wananchi mkawashawishi hicho mnachokitaka.
Huuuu mtego wa mabeberu ilitugombane ndugu na ndugu kisa tuuu itikadi ya vyamaa. Niafadhali tuvitupilie mbali tujenge maendeleo yetu wwatanzania.
 
Ulichokiandika hujui kabisa ,,,ni kwa vile tyu jana uliskia kuhusu katiba mpya na unahisi hilo limeanza jana,,nikuhakikishie kwamba ,,katika nyakati ambazo vyama vya upinzani hasa chadema inawafikia watu wengi kwa njia ya mtandao ni sasa,,,nenda twitwer ukutane na jamuhuri kuu iliyopo kule,,,haya maswala ya afya,maji na mengine mengi,si ya kwanza kusikika masikioni mwa watanzania toka tupate uhuru 1961 na wanasiasa wa ccm wamekua wakirudi na ajenda hizoizo kila mwaka,,ni dhahiri watu aina yako wewe ndiyo mnaodangwanya kipindi cha kampeni kwa tisheti na kofia za ccm za low quality,mnaacha kuzungumzia hoja zenye tija kama katiba mpya,,uhuru wa kujieleza na vyombo vya habari,,nimegundua piah makundi mawili ya ccm,moja ni wale wasiojua nchi inapoelekea ,wao husapoti tyu ujinga kisa kapewa kanga na t-shirt na kofia za ccm,,la pili ni wale wanafiki wanaojua nchi inakwendwa ndivyo sivyo ila kwa sababu ya matumbo yao,bado wanabaki ccm ili wale vya watanzania wapambanaji ,,kuna siku mtatapika...
Tumia piah mtandao kifuatilia mambo ya msingi,,imagine mambo ya kina amber ruty unayajua ika katiba mpya movement huijui,,bladiofaken kabisa
 
Back
Top Bottom