hakuna mtu asietaka katiba mpya,suala ni mbinu za kuweza kuingia na kushawishi upate uungwaji na makundi mbalimbali kwenye kuidai...ukikariri mbinu za jicho kwa jicho basi kwenye maisha utashindwa vitu vingi mno....Mengi huenda kwa ushawishi na sikufichi ndugu...walipata kiongozi mrahisi sana kumuingia sababu alikuwa mpenda sifa sana kupitia hiyo hulka yake wangefanikisha mengi mno,sababu angejichukulia ndio rais wa kihistoria kuweza kuonganisha vyama vyote vya siasa na makundi yote katika jamii ila BAHATI MBAYA WAKAWAACHIA WENZEO WAKAFAIDIKA NAE BAADA YA KUMJULIA....ukweli na waambia hiyo nafasi haitarudi tena KAMA HIVI VYAMA HAVIBADILIKA......