Umewahi kuwaza nani atashika simu yako ukifa?


Mimi kama boss wako hadi hapa nishakujua...
 
Sasa kama umerudisha jezi hiyo aibu itakupataje?
 

Mpaka hapo umeshajiharibia kazi
 
Duh mimi huwa si log out natumia web na app sasa kwakuwa umesema inabidi niwe na log out kabisa kuna mtu akijua id yako vizur shida mimi kuna jamaa nilimkuta pale seacrif anatumia jf kajiachia kabisa nika nasa id yake chap

Mda mwingine ata ukiwa matembezi ni vyema kuwa makini
 
It's dangerous Kwa kweli ukitaka ku log out had uninstall application ni usumbufu. Nimewahi banwa sehemu thanks God nilikuwaga sijalog in long time and I deleted the application. Wafikirie security hasa nchi hii ukitumia jf unakuwa ka suspect
Kabisa, wengi tunajidanganya tulo salama lakini tumapoteza simu, wanaoziokota/ziiba na wakatuta hazina passwords wanajua mangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…