Umewahi tembea umbali gani mrefu kwa miguu ndani ya jiji la Dar es Salaam?

road to road mzee mpaka tandika, hapo nikapata shortcut moja nikatokea stendi ya shamba mbele ya mtongani kidogo, baada ya hapo ni kunyooka mpaka mbagala.

safari ilianza saa 12 jioni nikafika saa 6 usiku nilikuwa napumzika pumzika njiani umo
Ina maana ulipitia njia ya kimara ubungo then riverside then vetenari then changombe hospital then tandika sokoni then njia ya stend ya shamba ukatokea darajani mtongani then msikitini then misheni mpaka sabasaba afu mdogo mdogo mpaka kizuiani,zhakiem afu rangi tatu?????
 
Kutoka keko mpaka kinondoni kwenda na kurudi, kutoka kijitonyama makumbusho hadi pasta masaa manne. Kutoka kariakoo mpaka mpaka makumbusho, makumbusho kwenda kawe, makumbusho kwenda mwenge na kurudi. Joto la dar unatembea kwa miguu mpaka vest inalowa jasho linaambukiza shati. Maji yananyweka sana jiji hili. Ni jiji kubwa sana kutembea kwa miguu ni shughuli pevu kulimaliza. Utoke kimara mpaka posta, gongolamboto kwenda kawe, kawe kwenda mbagala kwa miguu utachemsha tu
 
42km kwa mkimbiaji nzuri na kimashindano ni masaa 2+
Weweeee 59km kwa masaa 10 ilikuwa n milima gani hiyooo ulipanda mkuu
Ni kipaji alichonijalia Mungu mbali na mazoezi ninayofanyaga, ingawa sometimes nakimbiaga kwa zaidi ya dakika 70-75 lakini zoezi la kutembea huwa naenjoy sana.

NB:

Huwa naamka saa 8 au saa 9 usiku kutembea umbali namna hiyo.

Nilitokea Pugu, nikanyooka hadi Njiapanda Segerea, Kinyerezi hadi Magufuli Stand Mbezi mwisho na kugeuka.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nane hadi tisa usiku ni mida ya matukio mengi ya uhalifu , kuwa makinibusije ukauwawa au kupata kesi mbaya ya jinai
 
Posta 2 magomeni, sevaral times! Fire to mnazi mmoja many times
 
Chai
 
Nane hadi tisa usiku ni mida ya matukio mengi ya uhalifu , kuwa makinibusije ukauwawa au kupata kesi mbaya ya jinai
Huwa naamini nimezaliwa siku 1 na nitakufa siku 1 ambayo imepangwa na aliyenileta duniani.

Pia natokaga;

• Mwenge Mlalakuwa, Buguruni, Tazara hadi Gongo la Mboto. Kwa masaa matatu.

• Bandarini Posta hadi Gongo la Mboto.

• Chanika Zingiziwa hadi Gongo la Mboto.

• Mbagala Zakeem hadi Airport.

• Uhasibu, Mtongani kwa Aziz Ally, Tandika, Buza, Airport. Banana.

MOROGORO:

• Kihonda, Modeko, Msamvu, Masika.

• Mazimbu B (Solomoni), Tupendane, Stendi Mafiga, Misufini, Boma road, Stendi kuu ya zamani, Masika, Chamwino.

Huwa napenda sana kutembea hasa usiku au alfajiri kuepuka jua na naenjoy kama natalii vile.



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…