Umezaje kuzaa watoto wasio na virusi na wewe una UKIMWI??

Kwahiyo unategemea mtu mwenye ngoma aje akwambie kaweza? Siyo kila mtu yuko tayari kuweka wazi maradhi yake, we meza dawa zingatia masharti unayopewa na daktari
Hapa umemkazia mno aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…