Umiza akili katika maswali matatu, uongeze IQ yako

Mkuu hutendi haki, naumiza kichwa mtaani na jf pia?

Huku mimi nafurahi tu umiza wewe bhana aah
 
1: Mi mtu wa kwanza
2: Mbuzi 0 make wote wamekufa
3: Doctor ni mchepuko

Tuma kwa namba hii hii jina litakuja Evelyn
Hivi unakimbiliaga kujibu maswali uonekane wakwanza au ubongo wako ndio huu mfumo wake wa ufikiriaji?
 
Majibu ya Maswali
Swali no: 1 , Jibu : Wapili
Swali no2: Jibu: Huna mbuzi yani (zero)
Swali no: Jibu πŸ˜€k ni yule baba Aliyekufa pale pale
 
Nilikwambia, majibu haya yalishatolewa.
 
Nini maana ya mbuzi "wote kufa".... hao 7 walifufuka?
 
1.mtu wa 3
2.watabaki 7
3.doctor ni mama wa mtoto
 
Ukimpita mtu wa pili si ndio wewe unakuwa wa pili?
Ukimpita mtu wa pili obviously utakuwa mtu wa tatu kaka😁😁
Yaani tayari alikuwa mtu wa kwanza,na wa pili,na wewe utakuwa mtu wa tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…