Ummy Mwalimu: Rais Samia amejenga madarasa 3,000 huko nyuma Serikali haikujali kuhusu madarasa na shule

Ummy Mwalimu: Rais Samia amejenga madarasa 3,000 huko nyuma Serikali haikujali kuhusu madarasa na shule

Magufuli ali-set standard ya Urais juu sana.

Wahuni wanahangaika ila ndio hivyo hawawezi kufikia.

#kataawahuni
MTAPATA SHIDA SN NA NDIYO AMESHAKUFA. MFUATENI KUZIMU KM BADO MNAMZIMIKIA. KUNYWENI SUMU MUWAHI KUFIKA. WENGINE HATUTAKI KUSIKA HABARI ZA YULE SHETANI
 
Sasa huyu Ummy si alikua kwenye cabinet za awamu ya nne na ya tano?
Ameshiriki kuharibu Sasa anataka tumuelewe Kama vile alikua CUF?
 
Jiwe acha na yeye anyanyaswe na yeye alinyanyasa Watu Sana!
 
Samia akiondoka akaja mwingine,hizi sifa zitahamia Kwake!Hawa wanafiki ni kuwa nao macho sana,wao ni kuangalia fursa tu!
Halafu ukikimbuka kalivyokuwa kanasifiwa mbele ya viongozi wakati wa dhima mbalimbali kalivyokuwa kanasimama na kuinama kwa jeshima!!!! Kweli binadamu hafai bora mbuzi utamnywa mchuzi hata akinya uwanjani pako, loh!
Halafu ndio yeye aliekatoa huko kalikokuwa akakafundishaa kazi, ya uwaziri, kangepaswa kasiingie kabisa kwenye upuuzi huo wa wanafiki, ila shetani ni shetani tu!
 
Huko nyuma watu hawakujali kuhusu Shule/Vituo Shikizi. Ni Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais @samia_suluhu_hassan ndio imechukua hatua mahususi na za haraka za kujenga madarasa ya kisasa 3,000 tena kwa mpigo ktk Shule Shikizi 970 kwenye Halmashauri mbalimbali nchini.

Niwahakikishie watanzania kuwa @ortamisemi tutazifikia shule shikizi zote zinazokidhi vigezo (nyingine zimejengwa kwenye maeneo ya hifadhi au maeneo hatarishi kama karibu kabisa na machimbo ya migodi) na kujenga miundombinu ya kisasa. #KaziIendelee
Minafiki kama hii ni ya kuondolewa yote,,inajali matumbo yao tu .
 
Huko nyuma watu hawakujali kuhusu Shule/Vituo Shikizi. Ni Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais @samia_suluhu_hassan ndio imechukua hatua mahususi na za haraka za kujenga madarasa ya kisasa 3,000 tena kwa mpigo ktk Shule Shikizi 970 kwenye Halmashauri mbalimbali nchini.

Niwahakikishie watanzania kuwa @ortamisemi tutazifikia shule shikizi zote zinazokidhi vigezo (nyingine zimejengwa kwenye maeneo ya hifadhi au maeneo hatarishi kama karibu kabisa na machimbo ya migodi) na kujenga miundombinu ya kisasa. #KaziIendelee
Je pamoja na hayo kuna vyoo kutosheleza?!
Je kuna maji kwenye hizo shule?!
Kijijini kwangu shule ya msingi na sekondari sijaona hata tofali au mchanga kumwagwa?

Labda yamejengwa mijini tuu.
 
Uwongo unapolazimishwa kuwa ukweli!

Hivi hawa watu wanatufanya sisi tulikuwa watoto wadogo,?

Pale ubungo kwenye ile shule mliijenga usiku na mchana kwa wiki moja, likuwa awamu ya Nani kama ilikuwa haijali kuhusu elimu
 
Huko nyuma watu hawakujali kuhusu Shule/Vituo Shikizi. Ni Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais @samia_suluhu_hassan ndio imechukua hatua mahususi na za haraka za kujenga madarasa ya kisasa 3,000 tena kwa mpigo ktk Shule Shikizi 970 kwenye Halmashauri mbalimbali nchini.

Niwahakikishie watanzania kuwa @ortamisemi tutazifikia shule shikizi zote zinazokidhi vigezo (nyingine zimejengwa kwenye maeneo ya hifadhi au maeneo hatarishi kama karibu kabisa na machimbo ya migodi) na kujenga miundombinu ya kisasa. #KaziIendelee
Mmmm uongo mtupu. JPM amekarabati shule zote kongwe kwa misouz kwa sasa zinangaa utafikiri vyuo vikuuu.
 
Huko nyuma watu hawakujali kuhusu Shule/Vituo Shikizi. Ni Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais @samia_suluhu_hassan ndio imechukua hatua mahususi na za haraka za kujenga madarasa ya kisasa 3,000 tena kwa mpigo ktk Shule Shikizi 970 kwenye Halmashauri mbalimbali nchini.

Niwahakikishie watanzania kuwa @ortamisemi tutazifikia shule shikizi zote zinazokidhi vigezo (nyingine zimejengwa kwenye maeneo ya hifadhi au maeneo hatarishi kama karibu kabisa na machimbo ya migodi) na kujenga miundombinu ya kisasa. #KaziIendelee
Wanafiki Kama wanafiki wengine tu
 
Halafu ukikimbuka kalivyokuwa kanasifiwa mbele ya viongozi wakati wa dhima mbalimbali kalivyokuwa kanasimama na kuinama kwa jeshima!!!! Kweli binadamu hafai bora mbuzi utamnywa mchuzi hata akinya uwanjani pako, loh!
Halafu ndio yeye aliekatoa huko kalikokuwa akakafundishaa kazi, ya uwaziri, kangepaswa kasiingie kabisa kwenye upuuzi huo wa wanafiki, ila shetani ni shetani tu!
Hakuna kitu kigumu kukimudu kama tumbo na madaraka!
 
Hawa watu ndio waliounda serikali zilizopita leo wanasema serikali haikujali kuhusu madarasa.

Hawa Ndio CHAWA ambao Samia anatakiwa aondokane nao kwani wamejaa unafiki!! Huyu Ummy si alikuwa kwenye baraza la mawaziri la Magufuli kwanini alifyata matanga yake wakati ule na hakuyasema hayo mapungufu?Kukaa kimya bila kufungua kinywa ni busara wakati mwingine. She is one of the most hopeless ministers.
 
Hawa Ndio CHAWA ambao Samia anatakiwa aondokane nao kwani wamejaa unafiki!! Huyu Ummy si alikuwa kwenye baraza la mawaziri la Magufuli kwanini alifyata matanga yake wakati ule na hakuyasema hayo mapungufu?Kukaa kimya bila kufungua kinywa ni busara waakt mwingine.
Yupo kwenye Baraza la Mawaziri tangu zama za JK.
 
Mkapa is unsung hero.

Hajatokea Rais kama Mkapa nchi hii.Rais aliyeweka misingi ya mifumo mingi inayofanya kazi sasa
Acheni ujinga serkali gani ilikarabati shule zote za zamani! Upuuzi hui wa kujingamba mnautoa wapi? Mkapa alijenga shule kibao!
 
Back
Top Bottom