saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
MTAPATA SHIDA SN NA NDIYO AMESHAKUFA. MFUATENI KUZIMU KM BADO MNAMZIMIKIA. KUNYWENI SUMU MUWAHI KUFIKA. WENGINE HATUTAKI KUSIKA HABARI ZA YULE SHETANIMagufuli ali-set standard ya Urais juu sana.
Wahuni wanahangaika ila ndio hivyo hawawezi kufikia.
#kataawahuni
Hautakufa?MTAPATA SHIDA SN NA NDIYO AMESHAKUFA. MFUATENI KUZIMU KM BADO MNAMZIMIKIA. KUNYWENI SUMU MUWAHI KUFIKA. WENGINE HATUTAKI KUSIKA HABARI ZA YULE SHETANI
Halafu ukikimbuka kalivyokuwa kanasifiwa mbele ya viongozi wakati wa dhima mbalimbali kalivyokuwa kanasimama na kuinama kwa jeshima!!!! Kweli binadamu hafai bora mbuzi utamnywa mchuzi hata akinya uwanjani pako, loh!Samia akiondoka akaja mwingine,hizi sifa zitahamia Kwake!Hawa wanafiki ni kuwa nao macho sana,wao ni kuangalia fursa tu!
sema mzuri flanii hiiiSijawahi kumwelewa huyu mwanamke..
#MaendeleoHayanaChama
Minafiki kama hii ni ya kuondolewa yote,,inajali matumbo yao tu .Huko nyuma watu hawakujali kuhusu Shule/Vituo Shikizi. Ni Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais @samia_suluhu_hassan ndio imechukua hatua mahususi na za haraka za kujenga madarasa ya kisasa 3,000 tena kwa mpigo ktk Shule Shikizi 970 kwenye Halmashauri mbalimbali nchini.
Niwahakikishie watanzania kuwa @ortamisemi tutazifikia shule shikizi zote zinazokidhi vigezo (nyingine zimejengwa kwenye maeneo ya hifadhi au maeneo hatarishi kama karibu kabisa na machimbo ya migodi) na kujenga miundombinu ya kisasa. #KaziIendelee
Je pamoja na hayo kuna vyoo kutosheleza?!Huko nyuma watu hawakujali kuhusu Shule/Vituo Shikizi. Ni Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais @samia_suluhu_hassan ndio imechukua hatua mahususi na za haraka za kujenga madarasa ya kisasa 3,000 tena kwa mpigo ktk Shule Shikizi 970 kwenye Halmashauri mbalimbali nchini.
Niwahakikishie watanzania kuwa @ortamisemi tutazifikia shule shikizi zote zinazokidhi vigezo (nyingine zimejengwa kwenye maeneo ya hifadhi au maeneo hatarishi kama karibu kabisa na machimbo ya migodi) na kujenga miundombinu ya kisasa. #KaziIendelee
Mmmm uongo mtupu. JPM amekarabati shule zote kongwe kwa misouz kwa sasa zinangaa utafikiri vyuo vikuuu.Huko nyuma watu hawakujali kuhusu Shule/Vituo Shikizi. Ni Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais @samia_suluhu_hassan ndio imechukua hatua mahususi na za haraka za kujenga madarasa ya kisasa 3,000 tena kwa mpigo ktk Shule Shikizi 970 kwenye Halmashauri mbalimbali nchini.
Niwahakikishie watanzania kuwa @ortamisemi tutazifikia shule shikizi zote zinazokidhi vigezo (nyingine zimejengwa kwenye maeneo ya hifadhi au maeneo hatarishi kama karibu kabisa na machimbo ya migodi) na kujenga miundombinu ya kisasa. #KaziIendelee
Wanafiki Kama wanafiki wengine tuHuko nyuma watu hawakujali kuhusu Shule/Vituo Shikizi. Ni Serikali ya Awamu ya 6 ya Rais @samia_suluhu_hassan ndio imechukua hatua mahususi na za haraka za kujenga madarasa ya kisasa 3,000 tena kwa mpigo ktk Shule Shikizi 970 kwenye Halmashauri mbalimbali nchini.
Niwahakikishie watanzania kuwa @ortamisemi tutazifikia shule shikizi zote zinazokidhi vigezo (nyingine zimejengwa kwenye maeneo ya hifadhi au maeneo hatarishi kama karibu kabisa na machimbo ya migodi) na kujenga miundombinu ya kisasa. #KaziIendelee
Wanasiasa wachumia matumbo yaoooAcheni ujinga serkali gani ilikarabati shule zote za zamani! Upuuzi hui wa kujingamba mnautoa wapi? Mkapa alijenga shule kibao!
Hakuna kitu kigumu kukimudu kama tumbo na madaraka!Halafu ukikimbuka kalivyokuwa kanasifiwa mbele ya viongozi wakati wa dhima mbalimbali kalivyokuwa kanasimama na kuinama kwa jeshima!!!! Kweli binadamu hafai bora mbuzi utamnywa mchuzi hata akinya uwanjani pako, loh!
Halafu ndio yeye aliekatoa huko kalikokuwa akakafundishaa kazi, ya uwaziri, kangepaswa kasiingie kabisa kwenye upuuzi huo wa wanafiki, ila shetani ni shetani tu!
Hawa watu ndio waliounda serikali zilizopita leo wanasema serikali haikujali kuhusu madarasa.
Yupo kwenye Baraza la Mawaziri tangu zama za JK.Hawa Ndio CHAWA ambao Samia anatakiwa aondokane nao kwani wamejaa unafiki!! Huyu Ummy si alikuwa kwenye baraza la mawaziri la Magufuli kwanini alifyata matanga yake wakati ule na hakuyasema hayo mapungufu?Kukaa kimya bila kufungua kinywa ni busara waakt mwingine.
Wanatakiwa Kuliwa Vichwa na MchwaHawa watu ndio waliounda serikali zilizopita leo wanasema serikali haikujali kuhusu madarasa.
Magufuli alibinya uhuru wa kujieleza, kwa Mama Samia kila sarafu inajielezea pande zote mbili.
Acheni ujinga serkali gani ilikarabati shule zote za zamani! Upuuzi hui wa kujingamba mnautoa wapi? Mkapa alijenga shule kibao!