Ummy Mwalimu: Wazazi na walezi wasimamie watoto kusoma dini

Ummy Mwalimu: Wazazi na walezi wasimamie watoto kusoma dini

Haihalalishi kuchanganya dini serikalini. Angetumia account yake binafsi
Waziri Ummy Mwalimu kwa siku hiyo alimwakilisha Rais katika hafla hiyo, Ujumbe mahususi wa Rais Dkt. Samia ulikuwa ni huo wa dini. Hata hivyo Waziri Ummy Mwalimu alitumia fursa hiyo kuhabarisha umma ulioshiriki kuhusu masuala mbalimbali ya afya ikiwemo kuzingatia mtindo bora wa maisha ili kujiepusha na magonjwa yasiyoambukiza.
 
KAKOSEA SANA HANDLE YA WIZARA YA AFYA NI YA TAIFA LA TANZANIA INAHUSISHA WATANZANIA WOTE NA SIO YA DINI YA KIISLAM MPAKA AITUMIE KUZUNGUMZIE MASUALA YA DINI HIYO

ANGETUMIA BARUA ZA BAKWATA HUKO AU A4 ZA STATIONARY HII NCHI SIO YA KIISLAMU
 
Mimi ni Mkristo Safi kabisa ila kwa hili hakuna tabu. Yeye amemuwakilisha boss wake kwenye hiyo shughuli ya usomaji wa vitabu vyao. Sasa ulitaka awaambie watoto wakasome Biblia wakati ni Waislam? Hata Sisi Wakristo tunakazia watoto wasome Elimu dunia na dini pia. Ndiyo maana kuna mafundisho ya Komunio na Kipaimara. Humo watoto wanafundishwa kwa undani dini. Pia mashuleni kuna vipindi vya dini hasa shule za kanisa. Hivyo Ummy yuko sahihi kabisa kwenye hili.
 
Hoja yako inaonyesha dhahiri kuwa wewe ni product ya 'madrasa' unless uniprove wrong Kwa kuweka ushahidi hapa
Sina haja ya kuprove itoshe tu kusema watu waliosoma hawana judgemental kama ulizonazo wewe. Mtu mwenye maarifa unawezaje kumhukumu mtu usiyemjua? Waliopita madrasa hawafiki vyyuo vikuu? Wale akina ASAD siyo products za madrasa? Kule mbare Uganda hakuna products za madrasa? Nchi za kiarabu hazina maprofesa ?
Ukoloni wa kimagharibi unakusumbua wewe
 
Mimi ni Mkristo Safi kabisa ila kwa hili hakuna tabu. Yeye amemuwakilisha boss wake kwenye hiyo shughuli ya usomaji wa vitabu vyao. Sasa ulitaka awaambie watoto wakasome Biblia wakati ni Waislam? Hata Sisi Wakristo tunakazia watoto wasome Elimu dunia na dini pia. Ndiyo maana kuna mafundisho ya Komunio na Kipaimara. Humo watoto wanafundishwa kwa undani dini. Pia mashuleni kuna vipindi vya dini hasa shule za kanisa. Hivyo Ummy yuko sahihi kabisa kwenye hili.
Yupo sahihi kutumia handle ya Wizara ya afya kutoa ujumbe huo mahsusi wa kidini? Binafsi sina shida na waziri kuhimiza wattoto wasome dini ya kiislam. Ni jambo jema. Shida ipo kwene tovuti ya serikali kutumika kutoa ujumbe usiohusina na shughuli zake.
 
Mlitaka aseme nini kwenye Kongamano wa Dini?

Me nadhani ametoa Hotuba kulingana na eneo husika.

Wanasema "Ukienda Dodoma Ishi Kulingana na wanavyoishi Wenyeji wa Dodoma"

"Vya Kaisari mpeni Kaisari na Vya Mungu Mpeni Mungu"
Hakua tatizo na kile alichokisema kwenye kongamano la kidini. Binafsi naona busara haikutumika kutumiaa tovuti ya wizara ya afya kuripoti suala la kidini
 
Waziri Ummy Mwalimu kwa siku hiyo alimwakilisha Rais katika hafla hiyo, Ujumbe mahususi wa Rais Dkt. Samia ulikuwa ni huo wa dini. Hata hivyo Waziri Ummy Mwalimu alitumia fursa hiyo kuhabarisha umma ulioshiriki kuhusu masuala mbalimbali ya afya ikiwemo kuzingatia mtindo bora wa maisha ili kujiepusha na magonjwa yasiyoambukiza.
Ni busara mngejikita kwenye masuala ya afya na mambo ya dini mngeacha vyombo vingine vishughulike nayo.
 
Hakua tatizo na kile alichokisema kwenye kongamano la kidini. Binafsi naona busara haikutumika kutumiaa tovuti ya wizara ya afya kuripoti suala la kidini
Nadhani wamekosea walio ichapisha hiyo habari kwenye website ya Afya.

Kuna wakati kama Kiongozi unaweza kusema jambo fulani lakini wasaidizi ama watu wa habari wakaripoti tofauti.

Nadhani wanatakiwa kuomba radhi Kwa hilo
 
Sasa kakosea nini ?? yupo katika hafla ya kiislamu basi anatoa mawaidha ya nayohusu hadhara hiyo.

Kwa hiyo ulitaka atoe mawaidha ya kusema wasome biblia ?? ndo ungeona sawa ?

Mbona kina Philip mpango wanakwenda makanisani na wanawekwa mpaka kurasa za mbele za magazeti hatusemi ?

Acha hizo we zima na hata jina lako tu laonyesha we umezima hujielewi.

Hii Inanikumbusha wakati mzee wetu marehemu mzee mwinyi akiwa raisi wa TZ alihudhuria taarab pale Diamond Jubilee basi mate wangu mmoja akaponda, eti itakuwaje raisi ahudhurie taarab ? nikamwambia wee vp kwa hiyo akihudhuria dansi ndio sawa ?

Tuache ukoloni wa fikra ewe zimmerman
Alienda pale kumwakilisha raisi sio kuwakilisha dini ya kiislamu

Je raisi angemtuma Mkristo kumwakilisha hiyo hafla angesemaje ? Alitakiwa kama mwakilishi wa Raisi atoe salamu kama zisizo za kidini hata kuwaambia wazaxi kupeleka watoto kliniki nk salamu zake hapo katoa kama Ayatollah (kiongozi wa dini ya kiislamu) wa kike sio kama mwakilishi wa Raisi
 
Alienda pale kumwakilisha raisi sio kuwakilisha dini ya kiislamu

Je raisi angemtuma Mkristo kumwakilisha hiyo hafla angesemaje ? Alitakiwa kama mwakilishi wa Raisi atoe salamu kama zisizo za kidini hata kuwaambia wazaxi kupeleka watoto kliniki nk salamu zake hapo katoa kama Ayatollah wa kike sio kama mwakilishi wa Raisi
Tatizo siyo salamu. Ametoa ujumbe mzuri sana kwa watoto wa kiislam. Tatizo ni kutumia tovuti ya serikali kuripoti suala la kidini. Imagine ngekuwa upande wa pili wanahimizwa waende sunday school na kusoma Biblia halafu iwekwe kwenye tovuti ya wizara fulani
 
Siyo 'conglution' ni 'conclusion'

Hivi huko madrasa huwa mnaenda kusomea ujinga?
Huyo ni Mnyakyusa mkuu au Mbena au huenda mhehe kabisa sasa unafikir Atasemaje Conclusion Huwa hawawezi..

Na mimi Nasema Asandeni sana
 
Back
Top Bottom