Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 3,506
- 2,606
- Thread starter
- #61
Sawa, lakini wizara ya afya haihusiani na diniNdio ni sahihi, si alialikwa kama Waziri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, lakini wizara ya afya haihusiani na diniNdio ni sahihi, si alialikwa kama Waziri?
angewaambia wakazane pia kusoma elimu shuleni kama wanavyokazana kusoma kuraniMkuu,, sasa kwenye mashindano ya kusoma Quran ulitegemee awambie nini .... wote waliokuwepo pale ni Waislam. Wangekuwepo Wakrito halafu akasema hao ningekuelewa.
Ummy ni mdini snWizara inatakiwa iftute hicho kitu kwenye Twitter
Anaangalia upepo uvumako kipindi cha Magufuli ambaye alikuwa mkatoliki, Ummy Mwalimu mwanamke wa kiislamu alikuwa mwasiasa kipenzi katika wanasiasa vipenzi kisiasa wa Magufuli 😄 🤣 😂Ummy ni mdini sn
Nakubaliana na weweAnaangalia upepo uvumako kipindi cha Magufuli mkatoliki alikuwa mwasiasa kipenzi katika wanasiasa vipenzi kisiasa wa Magufuli
Kaja Samia kahamia huko
Nadhani naeleweka.Wanasiasa huangalia upepo unavumia wapi wawe wakristo au waislamu akina Ummy Mwalimu 😂😂
Wgalatia hawana shida. Busara tu itumike maana Wizara ya Afya haina dini. Kiongozi yeyote wa serikali naye hajazuiwa kuhudhuria magongamano ya kidini.Wagalatia bana, wana shida sana
Binafsi sina shida na uwakilishi wake wala ujumbe aliowapa watoto wa kiislam. Shida ipo kwenye kutumia account ya twitter(X) ya wizara ya afya kuelezea mambo ya kidini.Umeshasema amemuwakilisha Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan sasa suala la Uwaziri wa Afya linakujaje?
Ummy ni mdini sn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna shida hapo, yeye ni kobaz Yuko kwenye hafla ya kobaz wenzake
Sijawahi ona kazi ya huyu mama ktk wizara anazoongoza.Ummy ana mhaho saivi hajui future yake ikoje.
Alimbushwe kulikuwa na akina shamsa mwangunga, maua daftari, Sophia Simba, Ana Abdallah, mwantumu mahiza, Ritha Mlaki na the like.
Kama vipi apumzike. Sio lazima aendelee kuwa Waziri ubunge unamtosha
Wako wenye uwezo zaidi yake tena wenye fani husika katika sekta anayosimamia.
Sio kwa sababu ni mwanamke, Bali uwezo Hana tena apumzike.
Ayatollah ndo nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alienda pale kumwakilisha raisi sio kuwakilisha dini ya kiislamu
Je raisi angemtuma Mkristo kumwakilisha hiyo hafla angesemaje ? Alitakiwa kama mwakilishi wa Raisi atoe salamu kama zisizo za kidini hata kuwaambia wazaxi kupeleka watoto kliniki nk salamu zake hapo katoa kama Ayatollah wa kike sio kama mwakilishi wa Raisi
Kiongozi wa kidini ya kiislamu wa IraniAyatollah ndo nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unamtetea mtu wa Ijumaa mwenzakowewe ndio mdini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbeeeKiongozi wa kidini ya kiislamu wa Irani