Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.

Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
 
Naisubiri hiyo kwa hamu. Wakati wa kudeal na wababaishaji umekwisha!
Tatizo hao wababaishaji hawaeleweki.

Kuna jisehemu humu nilishaposti kuwa kuna mazingaombwe kwenye maridhiano, kwamba upo uwezwkano kuna kadelay tactic(maneno yangu niliyotumia, yalikuwa -'hawana mda') nikielewe fika CCM lazima wapeleke wangalau muswada wa kuwa na dhamira wa mchakato mpya wa Katiba Bungeni. Nilibezwa. Na nina uhakika sikuwa peke yangu na mtazamo huo kwani wapo wabobezi wengi tu wa masuala ya kisiasa nchini ambao walikuwa na mtazamo huo.

Sasa braza Lissu kadai hayo. Aiseee na inaonekana wanataka kutoa ka Altimamu fulani hivi au kuanza kudai wanadhulumiwa-isitoshe, inaonekana hapo ndipo kwenye msuguano kati ya Lissu na Mbowe[katiba vs maridhiano] na inaonyeeha hata hayo maridhiano Lissu hakuwa involved some how-nafikiri- in the decision making.... hapo basi.

Hakika nchi inahitaji mbadala na dira nyoofu-na inayoeleweka [sera thabiti za mambo ya ndani na nje] Is Umoja ready and Capable?

Kuna watu wanajitolea.
 
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.
Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
UP ni 💥
 
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.
Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
Chama hata hakijasajiliwa wewe tayari unapiga makelele!
 
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.
Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
Mkuu
Hebu tuambie. Chama kimeshasajiliwa?
 
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.
Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.

Hata ACT ilianza kwa mikwara.
 
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.

Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
kwani kishapata usajiri?
 
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.

Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
Keep on dreaming. Some dreams come true, some don't......!!!
 
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.

Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
jengo muhimu zaidi ni ufahamu ni bora kwanza kutumia fedha kuwaelomisha watu kabla ya kusimamisha matofali
 
Back
Top Bottom