Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

Ndio nimesema wewe ndio unayelazimisha. Nipo na Mke wangu kwasababu ya mapungufu yangu, and that is given. Hoja yangu nimeijibu. Wewe umang'ang'ania ajenda zao. Ni zipi hizo? Ushaona hapa Umoja Party....ajenda ya kuwa na mjengo ishapigwa alama ya ✓ au hukusoma mada? Sasa ya kuanzisha "chama chenu" imetoka wapi, mbona unachanganya mambo?
Kujenga mjengo na CHADEMA kuna mahusiano gani?
 
Back
Top Bottom