Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

Wakati wa utawala wa Magufuli kulikuwa na mpango kazi wa kuua vyama hivi vya upinzani vilivyopo hasa CDM, hii ni baada ya tathmini kuwa CCM imepoteza mvuto, na haichaguliki tena kwa kura, kisha kianzishwe chama kingine kitakachofanya siasa za upinzani zitakakazoratibiwa na dola. Naona sasa ndio dola imeona ianzishe hiki chama ili kifanye siasa za kuratibiwa na dola.

Kwa taarifa yenu hizo siasa za kuratibiwa na dola zilishashindikana kwa vyama shikizi vya CCM kama TLP, UDP, CUF nk.
Shida ni mawasiliano ya ulimi na ubongo wako hayako vzr.
 
Hicho ni Sukuma gang party, angalia wanaokiunga mkono ukiwemo wewe
Naona unawachukia sana wasukuma!! Lakini wasukuma wataendelea kuwepo hata uwachukie vipi na mambo yao yataendelea kunyooka tu.
 
Naona unawachukia sana wasukuma!! Lakini wasukuma wataendelea kuwepo hata uwachukie vipi na mambo yao yataendelea kunyooka tu.

Sukuma gang sio wasukuma, bali ni kundi katili lililokuwa linaamini katika ukatili wa magu.
 
Naona unawachukia sana wasukuma!! Lakini wasukuma wataendelea kuwepo hata uwachukie vipi na mambo yao yataendelea kunyooka tu.
Sukuma gang siyo Wasukuma kama kabila, kwani Ndungayi, Sabaya, Bashiru ni wasukuma? Mbona wao pia ni Sukuma gang
 
Sukuma gang sio wasukuma, bali ni kundi katili lililokuwa linaamini katika ukatili wa magu.
Uongo!! Kwanini jina likahusisha na kabila wa wasukuma? Acha ujinga basi mkuu tunajitambua na tunajua kuchambua mambo usifikiri sisi ni nyumbu!!
 
Uongo!! Kwanini jina likahusisha na kabila wa wasukuma? Acha ujinga basi mkuu tunajitambua na tunajua kuchambua mambo usifikiri sisi ni nyumbu!!

Kwahiyo uluguru mountain ni mlima wa kabila la waluguru? Usambara mountains ni milima ya kabila la wasambaa?
 
Tatizo hao wababaishaji hawaeleweki.

Kuna jisehemu humu nilishaposti kuwa kuna mazingaombwe kwenye maridhiano, kwamba upo uwezwkano kuna kadelay tactic(maneno yangu niliyotumia, yalikuwa -'hawana mda') nikielewe fika CCM lazima wapeleke wangalau muswada wa kuwa na dhamira wa mchakato mpya wa Katiba Bungeni. Nilibezwa. Na nina uhakika sikuwa peke yangu na mtazamo huo kwani wapo wabobezi wengi tu wa masuala ya kisiasa nchini ambao walikuwa na mtazamo huo.

Sasa braza Lissu kadai hayo. Aiseee na inaonekana wanataka kutoa ka Altimamu fulani hivi au kuanza kudai wanadhulumiwa-isitoshe, inaonekana hapo ndipo kwenye msuguano kati ya Lissu na Mbowe[katiba vs maridhiano] na inaonyeeha hata hayo maridhiano Lissu hakuwa involved some how-nafikiri- in the decision making.... hapo basi.

Hakika nchi inahitaji mbadala na dira nyoofu-na inayoeleweka [sera thabiti za mambo ya ndani na nje] Is Umoja ready and Capable?

Kuna watu wanajitolea.
Anzisha chama chako
Fanya siasa zako
Wenye akili wataona hoja zako
Ila usilazimishe mtazamo wako kuwa sahihi.
CHADEMA hukuianzisha wewe
Hawakukushirikisha kuijenga, na mgongano wa mawazo unapopata muafaka mnasonga mbele.
Hapa walipofika hadi wakaitwa kwenye maridhiano kwa sababu wana influence, wana hoja, wana nguvu za kisiasa nchini na si wa kubezwa.
Kuwashambulia inaonyesha una mapungufu unatafuta umaarufu kwa mgongo wao
 
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.

Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
Nipo tayar kujitolea kitengo cha kuwawezesha walinda legacy Uwezo wa kujenga hoja ili wajapo humu wawe very accurate kweny kujib hoja!!
 
Bwasheee cencer9, hivi ni nani anayemshambulia mwenzake hapa??
Kuwashambulia inaonyesha una mapungufu unatafuta umaarufu kwa mgongo

Anzisha chama chako
Fanya siasa zako

CHADEMA hukuianzisha wewe


Ni nani anayemlazimisha mwenzake hapa?
Hawakukushirikisha kuijenga
Unalazimisha hapo, unajua kwanini? Kwasababu hujui tu
wana hoja, wana nguvu za kisiasa nchini
Hoja ipi hiyo? Nguvu Kuishinda Umoja Party?
una mapungufu unatafuta umaarufu
Mbona unahadaa jamii wewe? SYLLO maarufu huyo? Wacha weee

Sasa bila mapungufu ninaamkaje asubuhi kuanza kutafuta Chai yangu Ndimu na Asali na Kiazi kitamu? Ugali na Kisamvu cha mbaazi mchana, Wali maharage Usiku halafu nitokee humu nijidai nimetosheka!....tena inabidi nifanye kazi kwa sababu nina mapungufu ya hela,Mke, watoto,wote wanahitaji bima! na bosi wangu naye kwa mapungufu ya hela ananifanyisha kazi nimtengenezee hella Bunge nalo lina mapungufu, hawajalipa msharaha nasikia, Serikali nayo ina mapungufu, kila kukicha wanakopa kujaza maeneo yenye mapungufu.....sasa umeacha kuwaambia hao leo umeanzia kwa Syllo! kha

Niache na mapungufu yangu yakhee manake ndio kinachoniamsha kila kukicha.
 
Ruzuku wanatoaga kiasi gani?
 
Mapungufu yako mpelekee mkeo siyo CHADEMA, wako vizuri kwa ajenda zao na nyinyi anzisheni chama chenu na ajenda zenu
Bwasheee cencer9, hivi ni nani anayemshambulia mwenzake hapa??







Ni nani anayemlazimisha mwenzake hapa?

Unalazimisha hapo, unajua kwanini? Kwasababu hujui tu

Hoja ipi hiyo? Nguvu Kuishinda Umoja Party?

Mbona unahadaa jamii wewe? SYLLO maarufu huyo? Wacha weee

Sasa bila mapungufu ninaamkaje asubuhi kuanza kutafuta Chai yangu Ndimu na Asali na Kiazi kitamu? Ugali na Kisamvu cha mbaazi mchana, Wali maharage Usiku halafu nitokee humu nijidai nimetosheka!....tena inabidi nifanye kazi kwa sababu nina mapungufu ya hela,Mke, watoto,wote wanahitaji bima! na bosi wangu naye kwa mapungufu ya hela ananifanyisha kazi nimtengenezee hella Bunge nalo lina mapungufu, hawajalipa msharaha nasikia, Serikali nayo ina mapungufu, kila kukicha wanakopa kujaza maeneo yenye mapungufu.....sasa umeacha kuwaambia hao leo umeanzia kwa Syllo! kha

Niache na mapungufu yangu yakhee manake ndio kinachoniamsha kila kukicha.
 
Mapungufu yako mpelekee mkeo siyo CHADEMA, wako vizuri kwa ajenda zao na nyinyi anzisheni chama chenu na ajenda zenu
Ndio nimesema wewe ndio unayelazimisha. Nipo na Mke wangu kwasababu ya mapungufu yangu, and that is given. Hoja yangu nimeijibu. Wewe umang'ang'ania ajenda zao. Ni zipi hizo? Ushaona hapa Umoja Party....ajenda ya kuwa na mjengo ishapigwa alama ya ✓ au hukusoma mada? Sasa ya kuanzisha "chama chenu" imetoka wapi, mbona unachanganya mambo?
 
Wito kwa wote wanaopenda mabadiliko na Upinzani wa kweli.

Popote ulipo, tunaomba ujisikie kukijenga chama hiki cha ukombozi wa awamu ya tatu.

Binafsi najitole kujenga ofisi ya chama katika ngazi ya Mkoa au wilaya. Nitajenga kwa pesa zangu mwenyewe.

Karibu ewe mpenda haki, karibu na ubarikiwe.
Tunataka vitendo dhahiri sio maneno matupu ya wasiasa wezi
 
Back
Top Bottom