Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Masharti yake ni lazima uwe mwana sukuma gang.Mrembo naye hakuachwa mbali mwenye number yake anichek DM View attachment 2193881
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masharti yake ni lazima uwe mwana sukuma gang.Mrembo naye hakuachwa mbali mwenye number yake anichek DM View attachment 2193881
Demu ana sura mgumu kama bogaMkuu unawajua kweli warembo?[emoji1787]
Sukuma gang 4 everKaulimbiu ya hiki chama ni nini?
Sukuma gangChifu nisingependa kukaa mbali na wewe namba. 11 itapendeza halafu ninaishonea pamoja na kichinjio kwa lamination.
siunajua pepo la kike likikuingia!Magufuli alikuwa ni Mkabila,mdini na mkanda🐒🐒🐒
View attachment 2193963
Safari hii na mimi nataka kumiliki kadi ya chama cha kisiasa. Nifanyieni mpango kadi namba 12.Chifu nisingependa kukaa mbali na wewe namba. 11 itapendeza halafu ninaishonea pamoja na kichinjio kwa lamination.
CCM ndo imekupa umaskini huo ulionao? Mbona mimi sio ccm lakini nimejikwamua sipo kwenye hayo unayolalamika.Chama kinakuja kwa kasi walahi.
Kimefunika mambo yote yanayoendelea duniani.
Kadi yangu iwe namba 10.
Hofu yangu wanaweza kukibania hiki chama maana hawataki tukombolewe kwenye lindi la Ujinga na Umasikini.
Chama kinakuja kwa kasi walahi.
Kimefunika mambo yote yanayoendelea duniani.
Kadi yangu iwe namba 10.
Hofu yangu wanaweza kukibania hiki chama maana hawataki tukombolewe kwenye lindi la Ujinga na Umasikini.
Kumbe hicho chama kipo kushinda a na chadema?. Chadema Ina kazi Sana. Huku CCM huku wafuasi wa Magufuli wenye hasira kwa Nini Magufuli amefariki na tundu Lissu yupo hai.Waanzishe magufuli part Ili tuwape nchi Chadema imeshindwa
Nendeni kwenye ofisi mkajisajili sio Happ JF. Nachojua hakuna Mwana CCM anapenda kwenda upinzani na wengi huwa hawadumu upinzani. Upinzani kule game analiweza chadema tu wengine wanchungulia na kukimbia.Safari hii na mimi nataka kumiliki kadi ya chama cha kisiasa. Nifanyieni mpango kadi namba 12.
Hicho ni Sukuma gangHii ni CCJ part II
Na wanajua kucheza na watu. Halafu Cha kushangaza wanaokishabikia hicho chama wanaiponda chadema Happ ndipo niliposhtuka.Watanzania tutachezewa sana na ccm. Hicho chama kimeundwa kimkakati na ccm ili kuwapumbaza watu waelekeze mijadala kwenye vyama wasahau matatizo yaliyopo...
Mwambie msajili aache usaniii akidhani atatupumbaza. Hicho chama kimeundwa na ccm kwa kushirikiana na Tiss, lengo ni kuipa ccm back up kwenye uchaguzi. Mbinu hizi za kizee za ccm ni kupoteza muda maana wananchi kwa sasa wanauelewa mpana.Chama kinakuja kwa kasi walahi.
Kimefunika mambo yote yanayoendelea duniani...