Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Sukuma gang wanahangaikahiki chama hakifiki popote kitajifia chenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gang wanahangaikahiki chama hakifiki popote kitajifia chenyewe
Sasa huyu si tayari bibi mileage imeenda sana..Mrembo naye hakuachwa mbali mwenye number yake anichek DM View attachment 2193881
Sasa ccm wajisumbue kote hivyo kwa ajiri ya nani au nini? Tunaamini ccm hawahitaji hata kufanya kampeni ili kuendelea kubaki madarakani sasa hayo ya kuanzisha chama kipya na kufoji migogoro ili iweje?Mwambie msajili aache usaniii akidhani atatupumbaza. Hicho chama kimeundwa na ccm kwa kushirikiana na Tiss, lengo ni kuipa ccm back up kwenye uchaguzi. Mbinu hizi za kizee za ccm ni kupoteza muda maana wananchi kwa sasa wanauelewa mpana.
Kutatengenezwa mgogoro fake ndani ya ccm ili kukitengenezea hicho chama popularity. Lakini mchezo wote tunaujua tumebaki tunawachora tu.
Chadema kwa sasa haina ushawishi wowote kwa wananchi.kilishapoteza focus mapema mmno,leo chadema wanaona kupambana mtu kama makonda na sukuma gang kutawapa political milage kuliko kuzungumzia upandaji ovyo wa bei za bidhaa.tawi la ccm kuelekea 2025 kimeundwa kimkakati kuwatoa wapinzani kwenye focus hasa chadema
Picha za wote zinaashiria zaidi kuwa ni watu wanategemea zaidi miili kulikp akili. Haishangazi kuona walifurahia utawala wa kidikteta.Mrembo naye hakuachwa mbali mwenye number yake anichek DM View attachment 2193881
Nadhani itakuwa, "NGUVU BILA AKILI, NGUVU HILA BUSARA, NGUVU BILA WELEDI"Kaulimbiu ya hiki chama ni nini?
Wasije sema wanatekeleza nasaha za mama.Magufuli alikuwa ni Mkabila,mdini na mkanda🐒🐒🐒
View attachment 2193963
Sera kubwa ya chama itakuwa kuua, kuteka na kupoteza watu wote wanaokosoa kiongozi.Masharti yake ni lazima uwe mwana sukuma gang.
Sasa ccm wajisumbue kote hivyo kwa ajiri ya nani au nini? Tunaamini ccm hawahitaji hata kufanya kampeni ili kuendelea kubaki madarakani sasa hayo ya kuanzisha chama kipya na kufoji migogoro ili iweje?
Kama chama ndicho kinaleta ilani na dila ya nchi unategema nini?Chama hakiwezi kuwakomboa, mnajikomboa wenyewe.
Kupanda kwa bei za vitu wananchi wanajua kwamba ccm wameshindwa kazi,na kupanda kwa bei za vitu kwanini unataka chadema waizungumzie kwani ccm hamuoni au nyie haiwahusuChadema kwa sasa haina ushawishi wowote kwa wananchi.kilishapoteza focus mapema mmno,leo chadema wanaona kupambana mtu kama makonda na sukuma gang kutawapa political milage kuliko kuzungumzia upandaji ovyo wa bei za bidhaa.
Hao wazungu si ndio tunasemaga wanayajua vizuri mambo yanayoendelea nchini kwetu? Ina maana ccm huwafanya wazungu wajinga miaka yote na kuchukua hela zao?Kuzuga wazungu wakati wa kutembeza bakuli.
Kwani hayo ndio mambo yenye kufanya Jiwe apendwe na wanaompenda?Sera kubwa ya chama itakuwa kuua, kuteka na kupoteza watu wote wanaokosoa kiongozi.
Hao wazungu si ndio tunasemaga wanayajua vizuri mambo yanayoendelea nchini kwetu? Ina maana ccm huwafanya wazungu wajinga miaka yote na kuchukua hela zao?
Kwani hayo ndio mambo yenye kufanya Jiwe apendwe na wanaompenda?
Li chama la majitu yasiyojielewa! Yanafikri watanzania wote walikuwa wanamkubali?Unajua sera zetu zinaendana mrengo wa falsafa za yule anayeonekana katika picha (Hayati John Magufuli) kwenye fulana. Ni harakati za kujitangaza kwa wananchi na hatuna nia mbaya. Kama ni kosa kisheria basi tupo tayari kujirekebisha," amesema.
Nauliza, kwa sababu sijawahi kuwasikia wakisema wanampenda Jiwe kwa sababu anawauwa na kuwateka.Unauliza au unapigia jibu mstari?
Kwaiyo unaona ni bora kupambana na makonda ili mpate kuungwa mkono[emoji23][emoji23]Kupanda kwa bei za vitu wananchi wanajua kwamba ccm wameshindwa kazi,na kupanda kwa bei za vitu kwanini unataka chadema waizungumzie kwani ccm hamuoni au nyie haiwahusu