Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Kwahiyo wanajua kwamba ccm wanawafanya wajinga ila hawana la kufanya ila ni kuwapa hela tu?Hawaruhusiwi kuingilia mambo ya ndani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wanajua kwamba ccm wanawafanya wajinga ila hawana la kufanya ila ni kuwapa hela tu?Hawaruhusiwi kuingilia mambo ya ndani.
Makonda ni jambazi anapambana na wenye ccm siyo chademaKwaiyo unaona ni bora kupambana na makonda ili mpate kuungwa mkono[emoji23][emoji23]
Nauliza, kwa sababu sijawahi kuwasikia wakisema wanampenda Jiwe kwa sababu anawauwa na kuwateka.
Ua CCM tuiokoe nchiKaulimbiu ya hiki chama ni nini?
Wawape hela gani hao majizi ya kura?Kwahiyo wanajua kwamba ccm wanawafanya wajinga ila hawana la kufanya ila ni kuwapa hela tu?
Si umesema wanawadanganya wazungu ili waweze kuwatembezea bakuri?Wawape hela gani hao majizi ya kura?
Basi wanayo yaliyokuwa yanawafanya wampende Jiwe, kuteka na kuuwa si miongoni mwa hayo mambo.Kawaulize sukuma gang maana ndio walikuwa wanamkubali the likes of Makonda etc
Kaole sanaa group.Mwanzilishi wa Chama cha Umoja Party, Seif Maalim ametoa sababu za kwanini chama hicho kinatumia picha ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika fulana zao.
Maalim amesema chama hakina nia mbaya kutumia picha hiyo kwa kuwa ni moja ya njia ya kujitangaza kwa wananchi.
"Unajua sera zetu zinaendana mrengo wa falsafa za yule anayeonekana katika picha (Hayati John Magufuli) kwenye fulana. Ni harakati za kujitangaza kwa wananchi na hatuna nia mbaya. Kama ni kosa kisheria basi tupo tayari kujirekebisha," amesema.
Hata hivyo, taarifa iliyotolewa na Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, ilidai kuwa Umoja Party imewasilisha maombi ya usajili wa muda na mchakato bado unaendelea lakini chama hicho kimekuwa kikikiuka utaratibu wakati maombi yao yakishughulikiwa.
Ameongeza kuwa, kuna picha zinasambaa mtandaoni zikionesha watu wanaonekana kuwa wanachama na wamevalia fulana zenye bendera ya chama hicho pamoja na picha ya kiongozi ambaye si mwanachama wao.
"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa inatumia fursa hii kuwakumbusha wanaotengeneza, wanaovaa fulana hizo na Watanzania wote kuwa, ni kosa la kisheria kwa taasisi yoyote kufanya kazi kama chama cha siasa wakati sio chama cha siasa kilichosajiliwa," ameeleza
---
Pia soma - Kwanini Umoja Party wanaweka picha ya Hayati Magufuli kwenye tisheti zao?