Umoja Party waelezea sababu ya kutumia picha ya John Magufuli

BORA CCM IGAWIKE NAYO
WAMEZOWEA KUWAGAWA VYAMA VYA WENZAO TUU.
LAKINI NAHISI KAMA MSAJILI ANAANZA KULETA FIGISU.

Natamani Ndungae awemo kwenye chama Hicho,
Kabudi na Lukuvi.
Mashetani wakikutana nyasi huwaka moto.
 
Nauliza, kwa sababu sijawahi kuwasikia wakisema wanampenda Jiwe kwa sababu anawauwa na kuwateka.

Kawaulize sukuma gang maana ndio walikuwa wanamkubali the likes of Makonda etc
 
Chama hicho ni Sukuma Gang na hakina mashiko.
 
Kawaulize sukuma gang maana ndio walikuwa wanamkubali the likes of Makonda etc
Basi wanayo yaliyokuwa yanawafanya wampende Jiwe, kuteka na kuuwa si miongoni mwa hayo mambo.

Tatizo ni kutaka watu wote tumtazame Jiwe kwa mtazamo kama Zitto kabwe.
 
Kaole sanaa group.

You can fool some peow sometime.

Chama cha Mtungi hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…